Masanja awachana 'live' wambea wa ndoa yake

Masanja awachana 'live' wambea wa ndoa yake

Hakuna kitu kibaya kama maneno ya watu na hapo si kweli kama anavyoonekana kutojali ila deep in side anapitia kipindi kigumu kuliko chote iwe ni kweli aliliwa au hajaliwa,tayari maneno tuu yameshabadilisha mustakabali na peace of his or her mind. Mfano Jackline wolper alipoambiwa na Mange ananuka K hivi unafikiri hilo neno mpk leo limemtoka Jack?.kila akikumbuka lazima aumie iwe ni kweli au uongo. So nachotaka kusema ni hiki maneno yana distruct moyo wa mtu kuliko hata ugonjwa. Ngoja tuendelee kuona
Hapo kunuka K hadi sasa nikimuona naona sauti ya kunuka k
 
Masanja kawaweza wambea na waanzisha mada za kipumbavu hapa jf.. sasa mnabaki na aibu zenu.

Safi sana brother mkandamizaji. Mungu akubariki kwa kusimama kama mkristo wa kweli.
 
Oa mke ambae akipita wana mitaani hawageuki wala kupata wenge. Huyu boya kaoa mke mzuri afu kamfanya awe maarufu kama yeye. Wana watadinya tuu.
 
Katibu amejiua bure kumbe Masanja hana noma na MTU.
Jamaaa mjanja kuliko tunavyofikiria.
Huenda ndani walizipiga lakini wakitoka nje wako pamoja hii ni zaidi ya unguvu, ukuta mzito sana.

Jamaa ameshinda kijinga lkn namsifu
 
Lakin kumbuka kuna mtu amejiua walitakiwa wakae kimya na kutoa pole kwa msiba angebalance sasa wanafurahi utafikiri kawaida tu wakati mtu kajiua kwaajili ya mkeo
Kwahiyo aweke msiba kwa ajili ya yule mpuuzi? Kwasasa asonge mbele maana ili kanisa lipone ni lazima yeye aoneshe ujasiri na upendo wa Kristo.
 
Dunia ya kupata mbaya Sana masanja kaona ohoooo! Kanisa langu litakimbiwa acha nijisafishe na nakuomba masanja tafuta na wakukusafisha Kama alivyofanya lowasa, Watanzania sisi waelewa Sana tunajua kuwa mambo mengine ni ya kuwaachia wenyewe na tutawaachiwa wenyewe muhahe nayo.
 
Haya mambo ya kufatilia maisha ya watu ya kijinga kabisa.
 
haibadilishi ukweli kuwa mke wake ni malaya tuu anapigwa nje ya ndoa, angekuwa ni girlfriend sawa ila mke...mama mchungaji kupachikwa utambi nje ya ndoa ni fedhea kweli kweli
Hata wake zetu wanaliwa nje ya ndoa sana, nao ni malaya tu kama malaya wengine sema story zao hazijafika kitaa kama zao.

Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
 
Akumbukwe katibu !

images - 2022-10-04T202427.234.jpeg
 
Ndugu umeoa?
Masanja hayupo sawa to be fair, na ndiyo maana anatoa conflicting messages kwenye public.

Watu wanaomzunguka wanapaswa kuwa very very careful asijidhuru. Still bado halijawa stabilised moyoni mwake.

Mke wake kamuumiza sana sana, zaidi ya sana. Hizi clip za mke wake za kutumia mlango haramu kufanya mapenzi ni very disturbing.

I am feeling very sorry for Masanja, ila the best way ni kuachana na huyo mwanamke.

Mwanamke angekuwa anatumia mlango wa mbele it's OK mtu waweza puuzia, ila huko kwengine ambapo Mungu alikulaani it's a big not.
 
Back
Top Bottom