Chief Sanze
JF-Expert Member
- Jun 13, 2014
- 1,668
- 3,736
Janjajanja sana hii mtu
Kalikataa sasa unafanyaje labda kwenye kulikataa alimwambia akalitie kiberitiUungwana kama hutaki tena kitu ulichopewa na mtu mrudishie tu aliyekupa maana kuna wahitaji wengi sema yule kijana ana matatizo yupo kama mtoto wa kike na ni mtu wa kujisikia sikia hivi huenda maisha yake aliyokulia yalikuwa tia maji tia maji sasa analeta ulimbukeni wake.
Mbona ameweka hapo mkuuVideo yake ipo wapi
Hawa watu wana mungu wao wanaojuana naye.Bishop Masanja Mkandamizaji amefunguka kwa uchungu.....
"Nimeona story ya Kuchomoa gari!!
ninachojua Nabii @geordavietv amewapa Magari watu Kadhaa!"
Ameendelea kusema....
"Ombi langu kwa yeyote aliyepewa gari na Nabii, kama anataka na yeye kuchoma naliomba mimi na ninalifata mwenyewe ulipo!!"
Pia ametuma ombi kwa Nabii mkuu...
"Kama Nabii ana nyingine yoyote Pale ndani anasikia ndani kumbariki mtu wala usipige simu nabii mkuu nikuni beep tu ntakuwa Kisongo shaaaaa
Nakumbuka wakati wa uzinduzi wangu wa albamu ya HAKUNA JIPYA uwanja wa SHEKHE AMRI ABEID ARUSHA
Nabii mkuu alishuka na helcopta akanipa Milioni kadhaa na mpaka leo namalizia ghorofa na nyota inazidi kung’aa".
#Nimelia sana ile Benz inavyounguaaaaa😌
#JiweWalikoKataaWaashi
Bishop Masanja Mkandamizaji.
Ushauri wangu ni huu...
Mliopewa zawadi na nabii mkuu wasilianeni na Bishop kabla mapepo ya kuteketeza zawadi hayajawavagaa. View attachment 3213736
Wapi ipo? Nipe linkMbona ameweka hapo mkuu
Dogo ni mhanga wa jani 😂Kuna watu ni wehu ila hawajijui
Kuna shida mahaliDogo ni mhanga wa jani 😂
Wapi ipo? Nipe link
Wapi ipo? Nipe link
View: https://vm.tiktok.com/ZMkCD94rq/ This post is shared via TikTok Lite. Download TikTok Lite to enjoy more posts: TikTok
Kama kweli mwenyewe amelikataa angelitelekeza hapohapo.Kalikataa sasa unafanyaje labda kwenye kulikataa alimwambia akalitie kiberiti
Ndio kaliteketeza na kumuonyesha hapohapo au hujaonaKama kweli mwenyewe amelikataa angelitelekeza hapohapo.
Kalikataa kamwambia akalichome motoDogo alikosea kulichoma moto lile gari. Kama aliona halimfai au limemletea nuksi, angemrudishia mhusika aliyempa! Na siyo kulichoma moto. Ule siyo uungwana hata kidogo.
Tuchukulie kwamba lilirudishwa, mtu akakataa kulipokeaMambo ya kiroho ni magumu sana kuchoma moto au kurudisha kwa mwenyenalo lipi lingekuwa bora ,yuda aliye pewa vipande 30’vya pesa na kumsaliti yesu alipoona mambo yameenda ndivyo sivyo alirudisha kwa wakuu waliompa wakazikaaa akatupa mle hekaruni
Mathayo 27:3 Kisha Yuda, yule mwenye kumsaliti, alipoona ya kuwa amekwisha kuhukumiwa, alijuta, akawarudishia wakuu wa makuhani na wazee vile vipande thelathini vya fedha, akasema, Nalikosa nilipoisaliti damu isiyo na hatia. Then Judas, which had betrayed him, when he saw that he was condemned, repented himself, and brought again the thirty pieces of silver to the chief priests and elders,
Mathayo 27:4 Wakasema, Basi, haya yatupasani sisi? Yaangalie haya wewe mwenyewe. Saying, I have sinned in that I have betrayed the innocent blood. And they said, What is that to us? see thou to that.
Mathayo 27:5 Akavitupa vile vipande vya fedha katika hekalu, akaondoka; akaenda, akajinyonga. And he cast down the pieces of silver in the temple, and departed, and went and hanged himself.
Mathayo 27:6 Wakuu wa makuhani wakavitwaa vile vipande vya fedha, wakasema, Si halali kuviweka katika sanduku ya sadaka, kwa kuwa ni kima cha damu. And the chief priests took the silver pieces, and said, It is not lawful for to put them into the treasury, because it is the price of blood.
Mathayo 27:7 Wakafanya shauri, wakavitumia kwa kununua konde la mfinyanzi liwe mahali pa kuzika wageni. And they took counsel, and bought with them the potter's field, to bury strangers in.
Mathayo 27:8 Kwa hiyo konde lile huitwa konde la damu hata leo. Wherefore that field was called, The field of blood, unto this day.
Umejijibu mwenyewe mkuuMajibu mepesi kwenye masuala magumu.
Muziki wako hauendi, unadhani umeibiwa nyota!
Sema na hawa manabii wa mchongo utajiri wao unatia mashaka, wanafanya gani?
Christina shushoFaustine Munishi
Harmo rapa
Kingwendu
Mc Pilipili
Wote hao ni wanufaika wa pesa / mali za anayejiita nabii mkuu sasa sijui kama wameshatoboa 🤔