Masanja Mkandamizaji aililia Benz iliyochomwa moto na Goodluck Gozbert

Bishop Masanja Mkandamizaji🥺🥺🥺😂duh
 
Mkuu
Mkuu ungetuchambulia hilo tukio Kwa muktadha wa kiroho, badala ya kutumiminia vifungu tuu, sisi mangumbaru wa mambo ya neno tupate japo picha!
 
Masanja umeanza kujenga kabla ya Jo Davie kukubless.

Bora Gozbati kastukia MCHONGO maana alipotea sana ,kwa kulichoma gari Soon ataanza kusikika...Si umeona ametrend kinoma.
 
Ina maana masanja hajui kuwa mtu aliyeokoka yuko juu ya nyota? Kuamini nyota ni ushirikina, uchawi, uaguzi na ushetani. Hawa ndio wale wanaohubiria waumini wao kuwa wameibiwa nyota
 
Sio kila mnaloliona gari ni gari halisi,Mengine rohoni,jicho la tatu likifunguka ni fisi,majeneza tu hayo...pengine kaoneshwa ya rohoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…