Masanja Mkandamizaji aonesha mjengo wa Kanisa lake la Feel Free Church kwa mara ya kwanza

Hela katoa wapi huyu dogo?

Kama hauzi unga atakuwa member wa secret society
 
Mtu akishasoma mistari miwili mitatu ya mtume Paulo ,anatafuta mabanzi na vitambaa vyekundu ,vyeupe, spika ya JBL ,mic mbili ,na suti ya mtumba ,anajiita mtume na nabii anafungua kanisa

Serikali ipo inakula nao
Kagame aliwakomesha
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…