Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
ndio maanna mikataba yao ina kamisheni/bonasi,kwa watangazo yatakayoingia kwa ushawishi wake na pia haiwabani ktk tvVijana tupambaneee
Masanja - mwigizaji /comedian
Masanja - mfanya biashara - mchele etc
Masanja - mkulima - mpunga
Masanja - mchungaji wa mito ya baraka
Masanja - mtangazaji /mchambuzi wa habari
Masanja - etc
shughuli zote izo ni mifereji ya fedha kwake
Huwezi kuamini na pesa zote za masanja ila alichapiwa [emoji23][emoji23]wanawake bhnVijana tupambaneee
Masanja - mwigizaji /comedian
Masanja - mfanya biashara - mchele etc
Masanja - mkulima - mpunga
Masanja - mchungaji wa mito ya baraka
Masanja - mtangazaji /mchambuzi wa habari
Masanja - etc
shughuli zote izo ni mifereji ya fedha kwake
power breakfast haina mpinzani, ktk share listen ya vipindi vya asubuhi, efm na wasafi wanapambania share zilizobaki walau wawe namba 2Hamna Mtu anapenda hayo mambo watu tunapenda uchambuzi wa kina
Na kumbuka vipindi vya Ahsubui usikilizwa na watu wanaofatilia Mambo ya ustawi wa nchi so Mambo ya commedy hayana impact that why clouds wanazidi kuonekana Bora kila siku Ahsubui ni Muda wa watu makini Kupata habari za kina za nchi na uchambuzi
Sio wote mzee ingekua hvo wakina maulid na utu uzima ule wasingekua wanajichetua, Halaf majority ya wasikilizaji wa wasaf na Efm ni vjana kwa hyo no sweat habari inachambuliwa kwa mtindo tofauti ( ubunifu).Hamna Mtu anapenda hayo mambo watu tunapenda uchambuzi wa kina
Na kumbuka vipindi vya Ahsubui usikilizwa na watu wanaofatilia Mambo ya ustawi wa nchi so Mambo ya commedy hayana impact that why clouds wanazidi kuonekana Bora kila siku Ahsubui ni Muda wa watu makini Kupata habari za kina za nchi na uchambuzi
Of course clouds wapo juu kwenye kipindi chao na wana wasikilizaji wao, ila pia wasafi na efm kwa ubunifu wao wana wasikilizaji wao hasa vijana maana sio kwamba haupati uchambuzi unapata uchambuzi na commed kdg.power breakfast haina mpinzani, ktk share listen ya vipindi vya asubuhi, efm na wasafi wanapambania share zilizobaki walau wawe namba 2
Itakuwa aliwaza tafuta helaa akasahau ziba masikio ya wifeHuwezi kuamini na pesa zote za masanja ila alichapiwa [emoji23][emoji23]wanawake bhn
time frame ya vipindi vya asubuhi si kwa kijana wakawaida, kila muda una msikilizaji wake.Of course clouds wapo juu kwenye kipindi chao na wana wasikilizaji wao, ila pia wasafi na efm kwa ubunifu wao wana wasikilizaji wao hasa vijana maana sio kwamba haupati uchambuzi unapata uchambuzi na commed kdg.
Maana fainali huwa ni uzeeni, usipowekeza sasa huko mbeleni utaomba omba watuVijana tupambaneee
Masanja - mwigizaji /comedian
Masanja - mfanya biashara - mchele etc
Masanja - mkulima - mpunga
Masanja - mchungaji wa mito ya baraka
Masanja - mtangazaji /mchambuzi wa habari
Masanja - etc
shughuli zote izo ni mifereji ya fedha kwake
Wasafi wanaumiaEFm wameanzisha UZI wao
Duuh! Gerald Hando kaenda wasafi? Ama kweli huu mchezo wa kula mbakishie BabaWameenda wasafi
Inaonekana Clouds kuna uhuru ndo maana watu kama AYO hawajatokaHamna Mtu anapenda hayo mambo watu tunapenda uchambuzi wa kina
Na kumbuka vipindi vya Ahsubui usikilizwa na watu wanaofatilia Mambo ya ustawi wa nchi so Mambo ya commedy hayana impact that why clouds wanazidi kuonekana Bora kila siku Ahsubui ni Muda wa watu makini Kupata habari za kina za nchi na uchambuzi
Mbona wewe naye unachapwa nje hatusemiHuwezi kuamini na pesa zote za masanja ila alichapiwa [emoji23][emoji23]wanawake bhn
Usilolijua ni kama usiku wa kizaDaah, very inspirational mshikaji anatupa somo kubwa vijana.
Ina drama sana,Masanja mmoja ni sawa na Kitenge, Hando na Zembwela. Masanja kaziba pengo mpaka mwanya na kashawafunika, ze comedy show yote kahamishia pale unacheka mwanzo mwisho.
Big up Majizo kwa kuwa mvumbuzi wa vipaji acha kuwang'ang'ania hao wazee hawana jipya tena.
View attachment 2597990