Imole
JF-Expert Member
- Jan 8, 2021
- 1,438
- 4,053
- Thread starter
- #61
Yule dada kipindi chake huwa kama kipindi cha taifa kila unapopita utasikia watu wanakisikiliza.Kama majizo utapita kwenye huu uzi uyo dada veronica ndo anatakiwa alipwe zaid sijaona mwingine zaidi yake apo e fm ambae kipind chake kinasikilizwa zaidi