HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Kawaida ya umasikini wa akili, watu wanatafuta mapesa ili baadae wasisumbue watuKabisa jamaa ameshajipata, ila wabongo watakwambia poda na ufirimasoo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawaida ya umasikini wa akili, watu wanatafuta mapesa ili baadae wasisumbue watuKabisa jamaa ameshajipata, ila wabongo watakwambia poda na ufirimasoo.
NonsenseKawaida ya umasikini wa akili, watu wanatafuta mapesa ili baadae wasisumbue watu
Hamna Mtu anapenda hayo mambo watu tunapenda uchambuzi wa kina
Na kumbuka vipindi vya Ahsubui usikilizwa na watu wanaofatilia Mambo ya ustawi wa nchi so Mambo ya commedy hayana impact that why clouds wanazidi kuonekana Bora kila siku Ahsubui ni Muda wa watu makini Kupata habari za kina za nchi na uchambuzi
Ila upande wa TV Kijjah hatoshei...kifupi amegeuza kipndi kama cha wadada wasaloon...soga tupu..blah blah mwanzo mwisho...baby Kabae arudi aise....au PJ ashike kipindiWasafi na Efm wajifunze kwa clouds jinsi kipindi cha Ahsubui kilivyopangiliwa vizuri ...kina Masoud Kipanya Jinsi wanavyochambua Mambo vizuri.
Zipo hapoWanajua kucheza na akili zetu