Masanja Mkandamizaji, Mrithi wa Kitenge na Hando EFM

Masanja Mkandamizaji, Mrithi wa Kitenge na Hando EFM

Mbona ni kama hamna jipya hapo.

Haya aliyechoka kama Mamndenyi naye ni nani ?

Majizo loses more and more potential staffs
 
Hamna Mtu anapenda hayo mambo watu tunapenda uchambuzi wa kina
Na kumbuka vipindi vya Ahsubui usikilizwa na watu wanaofatilia Mambo ya ustawi wa nchi so Mambo ya commedy hayana impact that why clouds wanazidi kuonekana Bora kila siku Ahsubui ni Muda wa watu makini Kupata habari za kina za nchi na uchambuzi

Well said kabisa
 
Wasafi na Efm wajifunze kwa clouds jinsi kipindi cha Ahsubui kilivyopangiliwa vizuri ...kina Masoud Kipanya Jinsi wanavyochambua Mambo vizuri.
Ila upande wa TV Kijjah hatoshei...kifupi amegeuza kipndi kama cha wadada wasaloon...soga tupu..blah blah mwanzo mwisho...baby Kabae arudi aise....au PJ ashike kipindi
 
Back
Top Bottom