Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Ukimtoa Masoud wengine ni wapiga domo tuWasafi na Efm wajifunze kwa clouds jinsi kipindi cha Ahsubui kilivyopangiliwa vizuri ...kina Masoud Kipanya Jinsi wanavyochambua Mambo vizuri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukimtoa Masoud wengine ni wapiga domo tuWasafi na Efm wajifunze kwa clouds jinsi kipindi cha Ahsubui kilivyopangiliwa vizuri ...kina Masoud Kipanya Jinsi wanavyochambua Mambo vizuri.
Masanja muuza powderVijana tupambaneee
Masanja - mwigizaji /comedian
Masanja - mfanya biashara - mchele etc
Masanja - mkulima - mpunga
Masanja - mchungaji wa mito ya baraka
Masanja - mtangazaji /mchambuzi wa habari
Masanja - etc
shughuli zote izo ni mifereji ya fedha kwake
alafu huku tandale tunasema ana hela za frimaso[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],Vijana tupambaneee
Masanja - mwigizaji /comedian
Masanja - mfanya biashara - mchele etc
Masanja - mkulima - mpunga
Masanja - mchungaji wa mito ya baraka
Masanja - mtangazaji /mchambuzi wa habari
Masanja - etc
shughuli zote izo ni mifereji ya fedha kwake
Umesema kwamba ?uchale chale na ucartoon
Kwa hio ndio kusema kwamba ?majority ya wasikilizaji wa wasaf na Efm ni vjana
Na hayo Mambo ndio yamefanyaje yaan ?ingekua hvo wakina maulid na utu uzima ule wasingekua wanajichetua
Kwa hio unazungumzia Mambo gani mkuu ?Na hayo mambo ndo yamekuza hizo radio mbili
Okay sawa Asante sana mkuu,uchale chale na ucartoon
Hakuna redio zinazosikilizwa zaidi kama wasafi ,Efm na clouds kwa sasa. Wamejitahidi kugusa kila rika huo ugoro unauona ndo unawafanya wapate matangazo mengi kuliko redio nyngne.Hii ni mada ya vijana wa Dar.
Hivyo viredio sijui EFM, Wasafi Fm mpaka kesho huwa najiuliza inakuwaje watu wa Dar mnapata muda wa kuvisikiliza wakati kutwa nzima vinatapika ugoro, umbeya na mizaha mitupu.
Kitenge ana vibe mzee, anachangamsha mazungumzo na point anaongea.Mm sielewag kwann kitenge huwa anapewa hype ivyo yaan yale mautan utan kama mtoto ndo yanafanya mumpende? On my opinion kipind cha veronica Frank kinasikilizwa kuliko vipind vyote vya kitenge kuwai kutokea