Masanja Mkandamizaji, Mrithi wa Kitenge na Hando EFM

Mbona ni kama hamna jipya hapo.

Haya aliyechoka kama Mamndenyi naye ni nani ?

Majizo loses more and more potential staffs
 

Well said kabisa
 
Wasafi na Efm wajifunze kwa clouds jinsi kipindi cha Ahsubui kilivyopangiliwa vizuri ...kina Masoud Kipanya Jinsi wanavyochambua Mambo vizuri.
Ila upande wa TV Kijjah hatoshei...kifupi amegeuza kipndi kama cha wadada wasaloon...soga tupu..blah blah mwanzo mwisho...baby Kabae arudi aise....au PJ ashike kipindi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…