Masekretari wengi wa ofisini wanaliwa na mabosi ndio maana wanadharau wateja

Masekretari wengi wa ofisini wanaliwa na mabosi ndio maana wanadharau wateja

Ndioo ,hili liko wazi... Anakuchokonoa, akiona umezubaaa, basi umempa tiketi.


Mwanamke lazima ajue hapa naongea na Mwanaume na akuheshimu kwakua wewe ni mwanaume.
kweli mkuu nature wanawake wanajua wanaume wako juu yao (hata kama sio ktk uhusiano wa kimapenzi) ndio sababu wanawake wengine ukimtreat kiaina (kiuabe fulani hata kama sio wapenzi) fulani wanahisi umefanyia vile kwasababu ni mwanamke kwahiyo umemu-undermine kwasababu ya jinsia yake.
 
Yaani ukimpa attention umekwisha kama umempa point ..
wanawake kwa kukosa attention ya wateja wanaume huwa wanaoneana hadi wivu maofisini. unaweza kuwa unaongea vizuri na mwenzake tena mazungumzo ya kawaida na pengine huyo unayeongea nae mwenzake yupo pembeni anasikia mnaongea kabisa vitu vya kawaida basi unaweza ukashangaa huyo aliyekaa pembeni akasikia wivu hata akakuchukia.
 
wanawake kwa kukosa attention ya wateja wanaume huwa wanaoneana hadi wivu maofisini. unaweza kuwa unaongea vizuri na mwenzake tena mazungumzo ya kawaida na pengine huyo unayeongea nae mwenzake yupo pembeni anasikia mnaongea kabisa vitu vya kawaida basi unaweza ukashangaa huyo aliyekaa pembeni akasikia wivu hata akakuchukia.
Wanaume wengi wangelifaham hili..hizi case za kulia Lia kisa mwanamke zisingekuwepo.


Unakutana na Demu anakujibu shits , ukiwa mjinga, utaanza kujitutumia ili uonekane we ni smart ili uendane na ubora wa mwanamke


Wewe mjibu shits hivohivo, fanya kama huna taimuu naye , yes.... Mjibu shits.... She is not only in the sea!!.


Ataufyaataa, atakuona huna naye shoboo, siku nyingine ukimsalimu atakua na Adabu !!.


Nawapa mifano

Huyu Bidada A, alinikuta nipo Kwa Ofisi ya mchepuko wangu fulan, nmekaa nmetulia zangu nakunywa Mirinda nyeusi ya baridi.

Demu kafika pale kapata huduma kasepa, Bidada ni mfupi kiasi Sasa amejaa matakooo balaa.


Kesho yake nilikua na kijisafadi, Sasa sehem nlokua nakwenda ilikua mpaka nipande Hice !!.

Lahaulaaa nikamkuta naye yuko ndani ya kigari, tukaslaimiana ,nikachukue naye.

Baadae nilikuja kumtomgoza ,aisee Demu alinichamba yuleee balaa, Mara wee kijana, Vijana siwapendi, Mimi natoka na Baba yakoo na mablaa blaaa mengi , akafikia wakat akaanza kuongea shits za kunivunjia Heshima.

Nilimpa shits hizooo Hatokaa kusahau .


Nikakaa kimyaa kama wiki mbili mbili ivi, mwenyewe akajaga kunitext ..
Et kanitext ,akawa ananihoji óhooo kweli umenipenda?? ( Nikajua tayari keshapoteza ule Uwezo wa kujiamin maana nimechukua attention yangu, Sasa anataka Nimpe attention upyaa). Nikawa nachomokaa, anajibu óhooo kwahiyo hunipendi... Namm najibu Sina neno hapooo
Screenshot_20230321_102519.jpg

Nmemsevu " Bidada kwenye Hice" maana so far Sijui jina lake Wala sijamuuliza na sitaki kujua.

Kiuhalisia Hawa Wanawake baadhi inabidi uende nao Kichwa Kichwa mpaka mwenyewe akutongoze Kwa kukuuliza maswali " Hivi unanipenda kweli?

Basi Leo nmefanya kumtext ,habari za asubuhii..

Kanijibu jibu..baadae akauliza.... ulikua unasemaje My?

Nikajua anataka nimwambie... Nimekumis, nahamu Nawewe, tuonane lini? Namimi nimemkwepaaaaaaaa ,asione Nina njaa naye , ofcoz Wanawake ni wengi !!!
Screenshot_20230321_101947~2.jpg





Huyu Bidada B, nilipomtongoza akaanza kuniambia Maneno mengi sana, Mara Sijui ana bwanake, Mara hawez toka namm,, Mara Mimi naonekana sijatulia, Mara nimkome Sanaa, Mara nisimtafute , na mablaa blaaa mengiiii sana , hawez nipa Mzigo na matusi matusi


Kama Kawa , nikapiga kimyaa wiki Kadhaa

Maajabu Toka Jumapili ananitafuta
Screenshot_20230321_102029~2.jpg


Anajifanya alikua ananisalimia, hapo anataka nianze kumshobokeaa Tena, namm najua anataka attention yangu na simpiiii.


Leo ,naye nimetext...habari za Asubuhi
Kaanza óhooo hujibu meseji ,óhooo nn
PhotoGrid_Site_1679384769868.jpg

najua hapo alitaka nianze zile habari za ,nmekumiss sanaz nakuona lini, usijaliii nakupendaa .



Yaan ipo Ivo, wakati unampa mwanamke attention, akajifanya kuidharau, ukishaiondoa, atakufuta mwenyewe



Mwanamke yoyote Chini ya Jua anataka mambo mawili

Attention na awe Desired !!
 
Wanaume wengi wangelifaham hili..hizi case za kulia Lia kisa mwanamke zisingekuwepo.


Unakutana na Demu anakujibu shits , ukiwa mjinga, utaanza kujitutumia ili uonekane we ni smart ili uendane na ubora wa mwanamke


Wewe mjibu shits hivohivo, fanya kama huna taimuu naye , yes.... Mjibu shits.... She is not only in the sea!!.


Ataufyaataa, atakuona huna naye shoboo, siku nyingine ukimsalimu atakua na Adabu !!.


Nawapa mifano

Huyu Bidada A, alinikuta nipo Kwa Ofisi ya mchepuko wangu fulan, nmekaa nmetulia zangu nakunywa Mirinda nyeusi ya baridi.

Demu kafika pale kapata huduma kasepa, Bidada ni mfupi kiasi Sasa amejaa matakooo balaa.


Kesho yake nilikua na kijisafadi, Sasa sehem nlokua nakwenda ilikua mpaka nipande Hice !!.

Lahaulaaa nikamkuta naye yuko ndani ya kigari, tukaslaimiana ,nikachukue naye.

Baadae nilikuja kumtomgoza ,aisee Demu alinichamba yuleee balaa, Mara wee kijana, Vijana siwapendi, Mimi natoka na Baba yakoo na mablaa blaaa mengi , akafikia wakat akaanza kuongea shits za kunivunjia Heshima.

Nilimpa shits hizooo Hatokaa kusahau .


Nikakaa kimyaa kama wiki mbili mbili ivi, mwenyewe akajaga kunitext ..
Et kanitext ,akawa ananihoji óhooo kweli umenipenda?? ( Nikajua tayari keshapoteza ule Uwezo wa kujiamin maana nimechukua attention yangu, Sasa anataka Nimpe attention upyaa). Nikawa nachomokaa, anajibu óhooo kwahiyo hunipendi... Namm najibu Sina neno hapooo
View attachment 2560163
Nmemsevu " Bidada kwenye Hice" maana so far Sijui jina lake Wala sijamuuliza na sitaki kujua.

Kiuhalisia Hawa Wanawake baadhi inabidi uende nao Kichwa Kichwa mpaka mwenyewe akutongoze Kwa kukuuliza maswali " Hivi unanipenda kweli?

Basi Leo nmefanya kumtext ,habari za asubuhii..

Kanijibu jibu..baadae akauliza.... ulikua unasemaje My?

Nikajua anataka nimwambie... Nimekumis, nahamu Nawewe, tuonane lini? Namimi nimemkwepaaaaaaaa ,asione Nina njaa naye , ofcoz Wanawake ni wengi !!!
Huyu Bidada B, nilipomtongoza akaanza kuniambia Maneno mengi sana, Mara Sijui ana bwanake, Mara hawez toka namm,, Mara Mimi naonekana sijatulia, Mara nimkome Sanaa, Mara nisimtafute , na mablaa blaaa mengiiii sana , hawez nipa Mzigo na matusi matusi


Kama Kawa , nikapiga kimyaa wiki Kadhaa

Maajabu Toka Jumapili ananitafuta
View attachment 2560176

Anajifanya alikua ananisalimia, hapo anataka nianze kumshobokeaa Tena, namm najua anataka attention yangu na simpiiii.


Leo ,naye nimetext...habari za Asubuhi
Kaanza óhooo hujibu meseji ,óhooo nn
View attachment 2560179
najua hapo alitaka nianze zile habari za ,nmekumiss sanaz nakuona lini, usijaliii nakupendaa .



Yaan ipo Ivo, wakati unampa mwanamke attention, akajifanya kuidharau, ukishaiondoa, atakufuta mwenyewe



Mwanamke yoyote Chini ya Jua anataka mambo mawili

Attention na awe Desired !!
Nakuona MZEE WA VITOMBO unatoa ujuzi na uzoefu.
 
Wanaume wengi wangelifaham hili..hizi case za kulia Lia kisa mwanamke zisingekuwepo.


Unakutana na Demu anakujibu shits , ukiwa mjinga, utaanza kujitutumia ili uonekane we ni smart ili uendane na ubora wa mwanamke


Wewe mjibu shits hivohivo, fanya kama huna taimuu naye , yes.... Mjibu shits.... She is not only in the sea!!.


Ataufyaataa, atakuona huna naye shoboo, siku nyingine ukimsalimu atakua na Adabu !!.


Nawapa mifano

Huyu Bidada A, alinikuta nipo Kwa Ofisi ya mchepuko wangu fulan, nmekaa nmetulia zangu nakunywa Mirinda nyeusi ya baridi.

Demu kafika pale kapata huduma kasepa, Bidada ni mfupi kiasi Sasa amejaa matakooo balaa.


Kesho yake nilikua na kijisafadi, Sasa sehem nlokua nakwenda ilikua mpaka nipande Hice !!.

Lahaulaaa nikamkuta naye yuko ndani ya kigari, tukaslaimiana ,nikachukue naye.

Baadae nilikuja kumtomgoza ,aisee Demu alinichamba yuleee balaa, Mara wee kijana, Vijana siwapendi, Mimi natoka na Baba yakoo na mablaa blaaa mengi , akafikia wakat akaanza kuongea shits za kunivunjia Heshima.

Nilimpa shits hizooo Hatokaa kusahau .


Nikakaa kimyaa kama wiki mbili mbili ivi, mwenyewe akajaga kunitext ..
Et kanitext ,akawa ananihoji óhooo kweli umenipenda?? ( Nikajua tayari keshapoteza ule Uwezo wa kujiamin maana nimechukua attention yangu, Sasa anataka Nimpe attention upyaa). Nikawa nachomokaa, anajibu óhooo kwahiyo hunipendi... Namm najibu Sina neno hapooo
View attachment 2560163
Nmemsevu " Bidada kwenye Hice" maana so far Sijui jina lake Wala sijamuuliza na sitaki kujua.

Kiuhalisia Hawa Wanawake baadhi inabidi uende nao Kichwa Kichwa mpaka mwenyewe akutongoze Kwa kukuuliza maswali " Hivi unanipenda kweli?

Basi Leo nmefanya kumtext ,habari za asubuhii..

Kanijibu jibu..baadae akauliza.... ulikua unasemaje My?

Nikajua anataka nimwambie... Nimekumis, nahamu Nawewe, tuonane lini? Namimi nimemkwepaaaaaaaa ,asione Nina njaa naye , ofcoz Wanawake ni wengi !!!
View attachment 2560186





Huyu Bidada B, nilipomtongoza akaanza kuniambia Maneno mengi sana, Mara Sijui ana bwanake, Mara hawez toka namm,, Mara Mimi naonekana sijatulia, Mara nimkome Sanaa, Mara nisimtafute , na mablaa blaaa mengiiii sana , hawez nipa Mzigo na matusi matusi


Kama Kawa , nikapiga kimyaa wiki Kadhaa

Maajabu Toka Jumapili ananitafuta
View attachment 2560176

Anajifanya alikua ananisalimia, hapo anataka nianze kumshobokeaa Tena, namm najua anataka attention yangu na simpiiii.


Leo ,naye nimetext...habari za Asubuhi
Kaanza óhooo hujibu meseji ,óhooo nn
View attachment 2560179
najua hapo alitaka nianze zile habari za ,nmekumiss sanaz nakuona lini, usijaliii nakupendaa .



Yaan ipo Ivo, wakati unampa mwanamke attention, akajifanya kuidharau, ukishaiondoa, atakufuta mwenyewe



Mwanamke yoyote Chini ya Jua anataka mambo mawili

Attention na awe Desired !!
mkuu Carlos The Jackal umetoa mfano mzuri sana huu. big up sana mkuu.
kabisa yaani mwanamke hata ukimuangalia usoni vibaya baada ya yeye kukufanyia wewe dharau, nilichoshajifunza hatokuchukia bali atakosa amani moyoni mwake kwa wewe kutokumpa attention.

Mimi kuna manzi nilimuelewa nikamtokea akawa ananizungusha yaani ile "sitaki nataka", akafika wakati mpaka akani-block/unblock kwenye simu, akawa pia hapokei simu (baada ya kuni-unblock) zangu kabisa licha ya mimi kumpigia mara kibao. Basi siku moja nikapanda hasira nikamtumia sms ya kumchana kwajinsi hasivyopokea simu zangu kwanini hasiniambie ukweli, pia nikamwambia kwenye sms kwamba "sina haja tena ya kumn'gania n'gania" kwasababu wanawake wapo wengi.

Kilchofuata alijibu sms yangu akaniambia mimi nilikuwa natarajia kuwa nae lakini haitowezakana kuwa nae kwasababu ana boyfriend wake baada ya hiyo sms yake akani-block tena. Nikamtumia text kwenye number yake nyingine kumtakia kila la heri, kisha nika-delete namba zake zote. nIkaacha kabisa kumtafuta.

Siku moja nikaenda kwa gari yangu (huyo manzi anaijua gari)kazini kwa huyo manzi na mwanangu mmoja kupata huduma fulani, mimi sikuteremka kwenye gari ila mwenzangu ndio akateremka. akaingia ndani ya jengo kisha tukaondoka. Wakati tumefika pale, yule manzi kumbe aliiona gari na akamuona mwanangu ndio ameteremka, mwanangu hamjui hata huyo manzi ila nilichoshangaa baada ya manzi kuona tu gari na kutoniona nikaona anaanza kutoka machozi, mimi nikashangaa huyu analia nini tena mbona zimepita siku nyingi tangu mawasiliano mimi na yeye yamevunjika. Tukaondoka zetu na mwanangu, baadaye usiku na kesho yake huwezi amini yule manzi alini-beep mara mbili kwa namba nyingine ya kuazima sijui hata kwa lengo gani.

Baada ya hapo nilikwenda kazini kwao mara mbili huyo manzi, kuniona tu manzi akawa ananifuata kujaribu kunisalimia ila mimi nikawa nam-respond kwa kuonesha sitaki tena mazoea na yeye.

Huyu manzi alijua nilimpenda sana kwahiyo akaona sitoweza kabisa kuacha kumfuatilia lakini ndio alikuja kushangaa niliondoka mazima kwake. Attention attention ndio kila kitu kwa hawa viumbe.
 
mkuu Carlos The Jackal umetoa bonge la mfano hapa. big up sana mkuu. kabisa yaani mwanamke hata ukimuangalia usoni vibaya baada ya yeye kukufanyia wewe ujinga, nilichoshajifunza hatokuchukia bali atakosa amani kwa wewe kupoteza attention kwake.

Mimi kuna manzi nilimuelewa nikamtokea akawa ananizungusha yaani ile "sitaki nataka", akafika wakati mpaka akani-block/unblock kwenye simu, akawa pia hapokei simu (baada ya kuni-unblock) kabisa licha ya mimi kumpigia mara kibao. Basi siku moja nikapanda hasira nikamtumia sms ya kumchana kwajinsi hasivyopokea simu zangu, pia nikamwambia kwenye kwamba "sina haja tena ya kumn'gania n'gania" kwasababu wanawake mbona wapo wengi.

Kilchofuata alijibu sms yangu akaniambia mimi nilikuwa natarajia kuwa nae lakini haitowezakana kwasababu anae tayari boyfriend wake kisha aka-block tena. Nikamtumia text kwenye number yake nyingine kumtakia kila la heri, ksiha nika-delete namba zake. nIkaacha kabisa kumtafuta.

Siku moja nikaenda kwa gari yangu (huyo manzi anaijua gari)kazini kwa huyo manzi na mwanangu mmoja kupata huduma fulani, mimi sikuteremka kwenye gari ila mwenzangu ndio akateremka. akaingia ndani ya jengo kisha tukaondoka. Wakati tumefika pale, yule manzi kumbe aliiona gari na akamuona mwanangu ndio ameteremka, mwanangu hamjui hata huyo manzi ila nilichoshangaa baada ya manzi kuona tu gari na kutoniona nikaona anaanza kutoka machozi, mimi nikashangaa huyu analia nini tena mbona zimepita siku nyingi tangu mawasialiano mimi na yeye yalipovunjika. Tukaondoka zetu, baadaye usiku na kesho yake huwezi amini yule manzi alini-beep tu kwa namba nyingine ya kuazima sijui hata kwa lengo.

Baada ya hapo nilikwenda kazini kwao mara mbili, kuniona tu manzi akawa ananifuata kujaribu kunisalimia ila mimi nikawa na-respond kwa kuonesha sitaki tena mazoea na yeye.

Huyu manzi alijua nilimpenda sana kwahiyo akaona sitoweza kabisa kuacha kumfuatilia lakini ndio alikuja kushangaa niliondoka mazima kwake. Attention attention ndio kila kitu kwa hawa viumbe.
Mkuu Mwanamke yoyote unayemtaka Once unapompa attention , usikawie kuiondoa kwake.

Ukiendeleaa kumpa maana yake, umempa Uhuru was Yeye kutumia Logic yake kuamua kua Nawewe au asiwe Nawewe... HILI NIKOSA AMBALO MWANAUME AHATAKIWI LIFANYA.


Ukishampa Attention, ichukue ,uirudishe kwake, alafu sikiliziaaa.


Yaan mwanamke ni kama mchezo was draft, kabila hukasukuma kete, Lazima ujue hatua tatu mbele inayofuata.

Pitia apa kidogo kwenye Huu Uzi wangu
Thread 'Fahamu madhaifu makubwa ya wanawake, unayoweza kuyatumia kumpata bila nguvu kubwa!' Fahamu madhaifu makubwa ya wanawake, unayoweza kuyatumia kumpata bila nguvu kubwa!

Nmeelezea kiunaga ubaga zaidi namna ya kucheza na Attention na Desire .
 
Mkuu Mwanamke yoyote unayemtaka Once unapompa attention , usikawie kuiondoa kwake.

Ukiendeleaa kumpa maana yake, umempa Uhuru was Yeye kutumia Logic yake kuamua kua Nawewe au asiwe Nawewe... HILI NIKOSA AMBALO MWANAUME AHATAKIWI LIFANYA.


Ukishampa Attention, ichukue ,uirudishe kwake, alafu sikiliziaaa.


Yaan mwanamke ni kama mchezo was draft, kabila hukasukuma kete, Lazima ujue hatua tatu mbele inayofuata.

Pitia apa kidogo kwenye Huu Uzi wangu
Thread 'Fahamu madhaifu makubwa ya wanawake, unayoweza kuyatumia kumpata bila nguvu kubwa!' Fahamu madhaifu makubwa ya wanawake, unayoweza kuyatumia kumpata bila nguvu kubwa!

Nmeelezea kiunaga ubaga zaidi namna ya kucheza na Attention na Desire .


Unaona kama huyu, ni Bidada fulan ivi BOSS

nilimtongoza akaniletea mba mbaa mbaa kibaooo , nikatemana naye.

Baada ya muda akajifanya kunitafuta Et "Hivi weeeee zils meseji zako za kijinga ulikuaga na maana gan?

Nikajua huyu keshajileta, nikashuka shuka naye huyo .


Nilikuja kumla, Siku hizi kananigandaa balaaa , Kila wiki lazima nimle Mara Moja .

Atazunguka na kazi zake weee, ila siku Moja ya wiki lazima anitafute nimle .
View attachment 2560245

Hapo anajifanya Et nmpelekee mdogomdogo ila moyon anamaanidisha motooo nimpelekee kwelikweli.


Yaan Wanawake bana, Kuna wakati wanajifanya wajanjaaa, kumbe ujanja wao tunaujua 🤣🤣🤣
Safi mkuu. nakwenda kuupitia huu uzi nipate madini.
 
kuna kitu naomba nikuulize mkuu Carlos The Jackal kwa faida ya wote pia.
kwanini ukishamjibu mwanamke mbovu (shiti) lazima baada ya hapo awe mnyonge kwako?
nazungumzia awa wanawake watoa huduma kwa wateja sehemu za kazi kama kwenye ofisi, n.k.
Duniani kote hamna mwanamke anayejiamin Physically yaan hata awe Miss Tanzania, hata ukutane na Demu Hawa wanaojisifia "Mimi ni Mzurii naninajijua ni mzuri"..


Wewe niamin hawajiamin kabisa 100% , Huwa ni Maneno yao tu.



Sasa , kwakua Huwa hawajiamin, 100% wanataegemea wapewe approval na wewe Mwanaume ..

Niamin, mwanamke hata avae mavazi ghari, hata ajipodoe vipi, hata awe mfanyakazi mzuri sana kazin , kama siku yake itaisha hajasifiwa na mwanaume juu ya uzuri au uchapaji kazi wake au kupendeza kwake...... Kwa mwanamke hiko ni kipigo Cha 7-0.

yaan Atabaki anajiuliza kwann hivi ?? 🤣🤣


Sasa , Mwanamke anaporanguliza dharau au majibu mabaya au chochote kile... LENGO LAKE ANATAKA AKUINGIZE KWENYE MTEGO WA WEWE UMPE ATTENTION, UMNYENYEKEE, UMUONE WAJUUU SANA ,ALAFU HAPOHAPO WEE MWANAUME UJIONE HUFAI, HUNA HADHI .



Ukifanya kosa ,akavipata hivo vitatu, basi hata siku ukimtongoza, Hatokaa kukubali.


yaan hata Hawa mademu wakujiona wazuri, ukimtongoza utasikia

👉Mie wanaume wengi wananitaka
👉nyie wanaume mbona Kila siku mnaniambia mie mzuri
👉wanaume mnatamaa Nyinyi, msione mwanamke mzuriiiii ,mnamtaka.

na mablaa blaaa kama hayo...


hayo yote wanakujibu ,ili uingie kwenye MTEGO WA KUMUONA YEYE NI MALIKIA, NAWEE NI FALA MMOJA HUNA HADHI .


👉👉HAKIKISHA MWANAMKE HAMPI IYO NAFASI, HAKIKISHA UMPI.

Akikujibu hivo ..wee chekaa.. alafu umjibu

hahahaha weee yaan ulivyo Wanaume wanakulilia sana?. Eeeh ?

mchomeker Stori ya uongo 'Jinsi ulivyopendwa na mwanamke mzuriii ukadate naye, ila ukaja Kumuacha Kwa sababu uliona huyo mwanamke Katanguliza uzuri mbelee ', ...alafu chomekea..... Toka nimuachee yaan Kila siku ananitafuta nakuomba Msamaha...... Nataka siku tukiwa chumban, Nikupe namba yake ,umpigie Umwambie akomeee kusumbua Mume wamtu "...




TUrusi kwenye suala lako la Msingi...


kitendo Cha kumjibu shits, kumedidimiza expectations zakeee kwako , yaan Mshale alorusha ,umeukwepa.

ataanza kujiona hafai, ni mbaya, hajakuvutia ndio maana hujamtetemekea.


sasa hiyo emotional signal Huwa Ina bypass subconscious mind ya mwanamke bila yeye kujijua, hatima yake humpelekea kua in Need naweee, yaan yeye atajikuta anakuhitaji ili ajisahihishe makosa, ajione mwenye kufaa na aliyekamilika.


all the way,. Huyo manzi ukija msalimia siku ingine, ataona kama ni bahati na asiichezee , na tegemea yeye Manzi kutafuta vinisababu vya kuanza !!.
 
Duniani kote hamna mwanamke anayejiamin Physically yaan hata awe Miss Tanzania, hata ukutane na Demu Hawa wanaojisifia "Mimi ni Mzurii naninajijua ni mzuri"..


Wewe niamin hawajiamin kabisa 100% , Huwa ni Maneno yao tu.



Sasa , kwakua Huwa hawajiamin, 100% wanataegemea wapewe approval na wewe Mwanaume ..

Niamin, mwanamke hata avae mavazi ghari, hata ajipodoe vipi, hata awe mfanyakazi mzuri sana kazin , kama siku yake itaisha hajasifiwa na mwanaume juu ya uzuri au uchapaji kazi wake au kupendeza kwake...... Kwa mwanamke hiko ni kipigo Cha 7-0.

yaan Atabaki anajiuliza kwann hivi ?? 🤣🤣


Sasa , Mwanamke anaporanguliza dharau au majibu mabaya au chochote kile... LENGO LAKE ANATAKA AKUINGIZE KWENYE MTEGO WA WEWE UMPE ATTENTION, UMNYENYEKEE, UMUONE WAJUUU SANA ,ALAFU HAPOHAPO WEE MWANAUME UJIONE HUFAI, HUNA HADHI .



Ukifanya kosa ,akavipata hivo vitatu, basi hata siku ukimtongoza, Hatokaa kukubali.


yaan hata Hawa mademu wakujiona wazuri, ukimtongoza utasikia

👉Mie wanaume wengi wananitaka
👉nyie wanaume mbona Kila siku mnaniambia mie mzuri
👉wanaume mnatamaa Nyinyi, msione mwanamke mzuriiiii ,mnamtaka.

na mablaa blaaa kama hayo...


hayo yote wanakujibu ,ili uingie kwenye MTEGO WA KUMUONA YEYE NI MALIKIA, NAWEE NI FALA MMOJA HUNA HADHI .


👉👉HAKIKISHA MWANAMKE HAMPI IYO NAFASI, HAKIKISHA UMPI.


Akikujibu hivo ..wee chekaa.. alafu umjibu

hahahaha weee yaan ulivyo Wanaume wanakulilia sana?. Eeeh ?

mchomeker Stori ya uongo 'Jinsi ulivyopendwa na mwanamke mzuriii ukadate naye, ila ukaja Kumuacha Kwa sababu uliona huyo mwanamke Katanguliza uzuri mbelee ', ...alafu chomekea..... Toka nimuachee yaan Kila siku ananitafuta nakuomba Msamaha...... Nataka siku tukiwa chumban, Nikupe namba yake ,umpigie Umwambie akomeee kusumbua Mume wamtu "...




TUrusi kwenye suala lako la Msingi...


kitendo Cha kumjibu shits, kumedidimiza expectations zakeee kwako , yaan Mshale alorusha ,umeukwepa.

ataanza kujiona hafai, ni mbaya, hajakuvutia ndio maana hujamtetemekea.


sasa hiyo emotional signal Huwa Ina bypass subconscious mind ya mwanamke bila yeye kujijua, hatima yake humpelekea kua in Need naweee, yaan yeye atajikuta anakuhitaji ili ajisahihishe makosa, ajione mwenye kufaa na aliyekamilika.


all the way,. Huyo manzi ukija msalimia siku ingine, ataona kama ni bahati na asiichezee , na tegemea yeye Manzi kutafuta vinisababu vya kuanza !!.
umeeleza vizuri sana mkuu Carlos The Jackal hili ni darasa kubwa sana. hawa viumbe, ni wanaume wengi hatujui tu kwamba kwenye nafsi zao wana weakness ya juu sana juu yetu, yaani huwa wanatuwazia sana tunavyowachukulia, ndio maana nimeshaona karibu kila mwanamke anayejibiwa shit na mwanaume huwa hajibu tena kwasababu tayari kuna kitu kimeanza kuingia kwenye ubongo wake. ila mwanamke ana nguvu ya kuendelea kujibizana shit na mwanamke mwenzake na si kujibizana na mwanaume. Kwasababu shit anazopewa na mwanamke mwenzake hazimuathiri kihisia tofauti na za mwanaume zinamuathiri si kidogo na kumnyon'gonyesha.
 
umeeleza vizuri sana mkuu Carlos The Jackal hili ni darasa kubwa sana. hawa viumbe, ni wanaume wengi hatujui tu kwamba kwenye nafsi zao wana weakness ya juu sana juu yetu, yaani huwa wanatuwazia sana tunavyowachukulia, ndio maana nimeshaona karibu kila mwanamke anayejibiwa shit na mwanaume huwa hajibu tena kwasababu tayari kuna kitu kimeanza kuingia kwenye ubongo wake. ila mwanamke ana nguvu ya kuendelea kujibizana shit na mwanamke mwenzake na si kujibizana na mwanaume. Kwasababu shit anazopewa na mwanamke mwenzake hazimuathiri kihisia tofauti na za mwanaume zinamuathiri si kidogo na kumnyon'gonyesha.
Mkuuu umenielewa vibaya.



Mwanamke akipewa shits na Mwanamke mwenzie, SIO habari yakumumiza.


Apewe shits nawanaume Sasa 🤣🤣
 
Back
Top Bottom