Wanaume wengi wangelifaham hili..hizi case za kulia Lia kisa mwanamke zisingekuwepo.
Unakutana na Demu anakujibu shits , ukiwa mjinga, utaanza kujitutumia ili uonekane we ni smart ili uendane na ubora wa mwanamke
Wewe mjibu shits hivohivo, fanya kama huna taimuu naye , yes.... Mjibu shits.... She is not only in the sea!!.
Ataufyaataa, atakuona huna naye shoboo, siku nyingine ukimsalimu atakua na Adabu !!.
Nawapa mifano
Huyu Bidada A, alinikuta nipo Kwa Ofisi ya mchepuko wangu fulan, nmekaa nmetulia zangu nakunywa Mirinda nyeusi ya baridi.
Demu kafika pale kapata huduma kasepa, Bidada ni mfupi kiasi Sasa amejaa matakooo balaa.
Kesho yake nilikua na kijisafadi, Sasa sehem nlokua nakwenda ilikua mpaka nipande Hice !!.
Lahaulaaa nikamkuta naye yuko ndani ya kigari, tukaslaimiana ,nikachukue naye.
Baadae nilikuja kumtomgoza ,aisee Demu alinichamba yuleee balaa, Mara wee kijana, Vijana siwapendi, Mimi natoka na Baba yakoo na mablaa blaaa mengi , akafikia wakat akaanza kuongea shits za kunivunjia Heshima.
Nilimpa shits hizooo Hatokaa kusahau .
Nikakaa kimyaa kama wiki mbili mbili ivi, mwenyewe akajaga kunitext ..
Et kanitext ,akawa ananihoji óhooo kweli umenipenda?? ( Nikajua tayari keshapoteza ule Uwezo wa kujiamin maana nimechukua attention yangu, Sasa anataka Nimpe attention upyaa). Nikawa nachomokaa, anajibu óhooo kwahiyo hunipendi... Namm najibu Sina neno hapooo
View attachment 2560163
Nmemsevu "
Bidada kwenye Hice" maana so far Sijui jina lake Wala sijamuuliza na sitaki kujua.
Kiuhalisia Hawa Wanawake baadhi inabidi uende nao Kichwa Kichwa mpaka mwenyewe akutongoze Kwa kukuuliza maswali "
Hivi unanipenda kweli?
Basi Leo nmefanya kumtext ,habari za asubuhii..
Kanijibu jibu..baadae akauliza....
ulikua unasemaje My?
Nikajua anataka nimwambie...
Nimekumis, nahamu Nawewe, tuonane lini? Namimi nimemkwepaaaaaaaa ,asione Nina njaa naye , ofcoz Wanawake ni wengi !!!
Huyu Bidada B, nilipomtongoza akaanza kuniambia Maneno mengi sana, Mara Sijui ana bwanake, Mara hawez toka namm,, Mara Mimi naonekana sijatulia, Mara nimkome Sanaa, Mara nisimtafute , na mablaa blaaa mengiiii sana , hawez nipa Mzigo na matusi matusi
Kama Kawa , nikapiga kimyaa wiki Kadhaa
Maajabu Toka Jumapili ananitafuta
View attachment 2560176
Anajifanya alikua ananisalimia, hapo anataka nianze kumshobokeaa Tena, namm najua anataka attention yangu na simpiiii.
Leo ,naye nimetext...habari za Asubuhi
Kaanza óhooo hujibu meseji ,óhooo nn
View attachment 2560179
najua hapo alitaka nianze zile habari za ,nmekumiss sanaz nakuona lini, usijaliii nakupendaa .
Yaan ipo Ivo, wakati unampa mwanamke attention, akajifanya kuidharau, ukishaiondoa, atakufuta mwenyewe
Mwanamke yoyote Chini ya Jua anataka mambo mawili
Attention na awe Desired !!