Masekretari wengi wa ofisini wanaliwa na mabosi ndio maana wanadharau wateja

Masekretari wengi wa ofisini wanaliwa na mabosi ndio maana wanadharau wateja

Habari za asubuhi Wana JF,

Ma secretary wa ofisi wana dharau sana kisa ni chakula cha boss, anafanya kazi anavyojisikia, majibu yao ni shortcut sababu anaona ameshamteka boss hawezi kufukuzwa kazi.

Nilienda field mkoa X ofisi niliofikia kulikuwa na secretary mmoja she is beautiful Ila alikuwa na kiburi na dharau sana, ukichelewa ofisini atakusema utafikiri kampuni ni ya baba yake, tulikuja kujua kumbe ni mali ya boss.


Ma secretary mfanye kazi sio kuwatega maboss, sio wote baadhi yenu ni Malaya kwenye ofisi mnazofanyia kazi kila mtu ushadate naye ofisi nzima ushamaliza.

Naomba kuwasilisha.
Mimi ni secretary sijawahi kufanya huo ushenzi
 
Habari za asubuhi Wana JF,

Ma secretary wa ofisi wana dharau sana kisa ni chakula cha boss, anafanya kazi anavyojisikia, majibu yao ni shortcut sababu anaona ameshamteka boss hawezi kufukuzwa kazi.

Nilienda field mkoa X ofisi niliofikia kulikuwa na secretary mmoja she is beautiful Ila alikuwa na kiburi na dharau sana, ukichelewa ofisini atakusema utafikiri kampuni ni ya baba yake, tulikuja kujua kumbe ni mali ya boss.


Ma secretary mfanye kazi sio kuwatega maboss, sio wote baadhi yenu ni Malaya kwenye ofisi mnazofanyia kazi kila mtu ushadate naye ofisi nzima ushamaliza.

Naomba kuwasilisha.
100% uko sahihi.
 
Fata yako mikausho mikali toa salamu tu...Maboss wengi chenga vitambi vikubwa kwa ngono ndo maana ynafilisika .Mtu analipwa pesa kibao ila bado ana madeni lukuki kazi kuhonga na kuwapa jeuri wale wavaa vimini
Hata mimi naona mikausho mikali inawanyimaga raha sana wanawake. Wanawaza huyu jamaa ananionaje
 
Mtoa mada ndo unaingilia mambo ya watu. Mtu ana K na ndo silaha yake we unategemea nini?
 
waambie kuliwa sio mwisho wa safari
bado safari ni ndefu saana
 
Habari za asubuhi Wana JF,

Ma secretary wa ofisi wana dharau sana kisa ni chakula cha boss, anafanya kazi anavyojisikia, majibu yao ni shortcut sababu anaona ameshamteka boss hawezi kufukuzwa kazi.

Nilienda field mkoa X ofisi niliofikia kulikuwa na secretary mmoja she is beautiful Ila alikuwa na kiburi na dharau sana, ukichelewa ofisini atakusema utafikiri kampuni ni ya baba yake, tulikuja kujua kumbe ni mali ya boss.


Ma secretary mfanye kazi sio kuwatega maboss, sio wote baadhi yenu ni Malaya kwenye ofisi mnazofanyia kazi kila mtu ushadate naye ofisi nzima ushamaliza.

Naomba kuwasilisha.
Hahaha
 
Mkuu hawa watu wana mitego hatari, kama sio roho mtakatifu sijui ningekuwa wapi sasa hivi.,,, nilikaimu ofisi miezi kama mitatu hivi ila upuuzi niliokutana nao mpaka niliwaonea huruma wazee wetu.
 
Back
Top Bottom