92 jerrie
JF-Expert Member
- Feb 28, 2022
- 7,273
- 16,705
Lazima niwachekee na wanafaida kwangu kama nilivyosema mwanzo hakuna secretari aliewahi niletea nyodo na mimi siweki ukauzu maana hauna faida yoyoteww endelea kuwachekea chief
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lazima niwachekee na wanafaida kwangu kama nilivyosema mwanzo hakuna secretari aliewahi niletea nyodo na mimi siweki ukauzu maana hauna faida yoyoteww endelea kuwachekea chief
Mimi ni secretary sijawahi kufanya huo ushenziHabari za asubuhi Wana JF,
Ma secretary wa ofisi wana dharau sana kisa ni chakula cha boss, anafanya kazi anavyojisikia, majibu yao ni shortcut sababu anaona ameshamteka boss hawezi kufukuzwa kazi.
Nilienda field mkoa X ofisi niliofikia kulikuwa na secretary mmoja she is beautiful Ila alikuwa na kiburi na dharau sana, ukichelewa ofisini atakusema utafikiri kampuni ni ya baba yake, tulikuja kujua kumbe ni mali ya boss.
Ma secretary mfanye kazi sio kuwatega maboss, sio wote baadhi yenu ni Malaya kwenye ofisi mnazofanyia kazi kila mtu ushadate naye ofisi nzima ushamaliza.
Naomba kuwasilisha.
Muda wako haujafika... ukifika lazima utaliwa 😅👍🏾Mimi ni secretary sijawahi kufanya huo ushenzi
100% uko sahihi.Habari za asubuhi Wana JF,
Ma secretary wa ofisi wana dharau sana kisa ni chakula cha boss, anafanya kazi anavyojisikia, majibu yao ni shortcut sababu anaona ameshamteka boss hawezi kufukuzwa kazi.
Nilienda field mkoa X ofisi niliofikia kulikuwa na secretary mmoja she is beautiful Ila alikuwa na kiburi na dharau sana, ukichelewa ofisini atakusema utafikiri kampuni ni ya baba yake, tulikuja kujua kumbe ni mali ya boss.
Ma secretary mfanye kazi sio kuwatega maboss, sio wote baadhi yenu ni Malaya kwenye ofisi mnazofanyia kazi kila mtu ushadate naye ofisi nzima ushamaliza.
Naomba kuwasilisha.
Huku tukiendelea kupokea vipigo vya masecretary????Mambo yao waachie wenyewe...
Hata mimi naona mikausho mikali inawanyimaga raha sana wanawake. Wanawaza huyu jamaa ananionajeFata yako mikausho mikali toa salamu tu...Maboss wengi chenga vitambi vikubwa kwa ngono ndo maana ynafilisika .Mtu analipwa pesa kibao ila bado ana madeni lukuki kazi kuhonga na kuwapa jeuri wale wavaa vimini
Haingilii bali ameeleza uhalisiaMtoa mada ndo unaingilia mambo ya watu. Mtu ana K na ndo silaha yake we unategemea nini?
Katibu muthasi mwenye maadili mazuriMimi ni secretary sijawahi kufanya huo ushenzi
Kweli kesho ni ndefu sanawaambie kuliwa sio mwisho wa safari
bado safari ni ndefu saana
Bora hata wewe Antonnia umesema kweli kuhusu hawa wanawake wenzakoWanakuaga na jeuri kweli
HahahaHabari za asubuhi Wana JF,
Ma secretary wa ofisi wana dharau sana kisa ni chakula cha boss, anafanya kazi anavyojisikia, majibu yao ni shortcut sababu anaona ameshamteka boss hawezi kufukuzwa kazi.
Nilienda field mkoa X ofisi niliofikia kulikuwa na secretary mmoja she is beautiful Ila alikuwa na kiburi na dharau sana, ukichelewa ofisini atakusema utafikiri kampuni ni ya baba yake, tulikuja kujua kumbe ni mali ya boss.
Ma secretary mfanye kazi sio kuwatega maboss, sio wote baadhi yenu ni Malaya kwenye ofisi mnazofanyia kazi kila mtu ushadate naye ofisi nzima ushamaliza.
Naomba kuwasilisha.