Masekretari wengi wa ofisini wanaliwa na mabosi ndio maana wanadharau wateja

Masekretari wengi wa ofisini wanaliwa na mabosi ndio maana wanadharau wateja

Mimi sisemi kwamba hao ma secretary hawana hizo tabia ila kwa upande wangu sijawahi ingia ofisi secretary akaniletea nyodo au kiburi kwanza hakikisha na ww huna muonekano wa kua na kiburi au dharau imagine unaingia ofisi ya watu husalimii unauliza nimemkuta fulani unatarajia huyo secretary atakupokeaje mwingine anapeleka barua za maombi ya kazi inakua kama vita kafika kaacha barua kasepa na secretary nae anazikalia imeisha hiyo.

Niliendaga ofisi moja town mmiliki wa ofisi yupo ghorofa ya mwisho nikafika nikamkuta dada mmoja mziri yuko safi sana nikamsalimia mwanzo alitaka kuleta nyodo ila kwakua nilifika kwenye dawati lake na kumsalimia na kumuuliza hali ndipo nikaomba kumuona boss basi alikua ananiangalia as if nimekosea njia boss aliporuhusu niingie akawa anaskia tunavyopiga stor na kicheka nilipotoka nikamuaga vizuri siku nyingine naenda pale nikamsalimia tena na kumjulia hali alichangamka sana akijua fika sina nyodo na boss ni mshkaji wangu mpka leo yule dada ananiheshimu sana.

Hatujui kuishi na watu tumejawa viburi lawama alafu tuliletewa nyodo tunakua wakwanza kulalama kama tumeonewa.

Haikupunguzii kitu kusalimiana vizuri na secretary au mlinzi kwenye eneo fulani na kuna siri kubwa sana ya mafanikio ukijua kuishi vizuri na walinzi na ma secretary hawa watu wanaweza kupa picha halisi ya kampuni au ofisi unayotaka kuingia na wanaweza push jambo lako likafika sehemu sahihi
 
Mimi sisemi kwamba hao ma secretary hawana hizo tabia ila kwa upande wangu sijawahi ingia ofisi secretary akaniletea nyodo au kiburi kwanza hakikisha na ww huna muonekano wa kua na kiburi au dharau imagine unaingia ofisi ya watu husalimii unauliza nimemkuta fulani unatarajia huyo secretary atakupokeaje mwingine anapeleka barua za maombi ya kazi inakua kama vita kafika kaacha barua kasepa na secretary nae anazikalia imeisha hiyo.

Niliendaga ofisi moja town mmiliki wa ofisi yupo ghorofa ya mwisho nikafika nikamkuta dada mmoja mziri yuko safi sana nikamsalimia mwanzo alitaka kuleta nyodo ila kwakua nilifika kwenye dawati lake na kumsalimia na kumuuliza hali ndipo nikaomba kumuona boss basi alikua ananiangalia as if nimekosea njia boss aliporuhusu niingie akawa anaskia tunavyopiga stor na kicheka nilipotoka nikamuaga vizuri siku nyingine naenda pale nikamsalimia tena na kumjulia hali alichangamka sana akijua fika sina nyodo na boss ni mshkaji wangu mpka leo yule dada ananiheshimu sana.

Hatujui kuishi na watu tumejawa viburi lawama alafu tuliletewa nyodo tunakua wakwanza kulalama kama tumeonewa.

Haikupunguzii kitu kusalimiana vizuri na secretary au mlinzi kwenye eneo fulani na kuna siri kubwa sana ya mafanikio ukijua kuishi vizuri na walinzi na ma secretary hawa watu wanaweza kupa picha halisi ya kampuni au ofisi unayotaka kuingia na wanaweza push jambo lako likafika sehemu sahihi
Hakuna sio kwa wote...jambo la kwanza ambalo huwa ni kama kanuni kwangu kila mahala ninapokua namsalimia mtu kwanza "kwema" halfu naendelea kuweka kauzu mpaka mwisho..
Sasa unafika sehemu unamsalimia mtu ila yupo busy na tiktok au instagram
 
Hakuna sio kwa wote...jambo la kwanza ambalo huwa ni kama kanuni kwangu kila mahala ninapokua namsalimia mtu kwanza "kwema" halfu naendelea kuweka kauzu mpaka mwisho..
Sasa unafika sehemu unamsalimia mtu ila yupo busy na tiktok au instagram
Kwema alafu unaweka kauzu 😂😂😂😂 pole sana asee
 
Hakuna sio kwa wote...jambo la kwanza ambalo huwa ni kama kanuni kwangu kila mahala ninapokua namsalimia mtu kwanza "kwema" halfu naendelea kuweka kauzu mpaka mwisho..
Sasa unafika sehemu unamsalimia mtu ila yupo busy na tiktok au instagram
cusomer care ya wanawake wengi huwa ni mbovu sana sehemu za kutoa huduma. Labda ukute mtoa huduma ni mama wa umri kuanzia 46+ ndio anaweza kuwa na care nzuri kwa wateja
 
bro mteja ni mfalme
Kwahiyo uliwa mfalme ndio usiishi vizuri na watu. Iko hivi kiburi hakina tofauti sana na msimamo kwahyo kama huna akili nzuri unaweza hisi una misimamo kumbe kiburi. Mfano kwa waliopanda ndege za kimataifa watanipa ushahidi kuna wafanyakazi mule ndani wana ukarimu sana na wateja wapo wwnye hela ndefu sana ila watja hawaweki ukauzu kisa wanahitaji kuwa wafalme kiburi ni tabia na kiburi ni upungufu wa kujiamini pia kiburi ni uzezeta. Unaleta ukauzu kwa secretari ambae ndio anapokea barua zako hapo unakua na akili au matope
 
Kwahiyo uliwa mfalme ndio usiishi vizuri na watu. Iko hivi kiburi hakina tofauti sana na msimamo kwahyo kama huna akili nzuri unaweza hisi una misimamo kumbe kiburi. Mfano kwa waliopanda ndege za kimataifa watanipa ushahidi kuna wafanyakazi mule ndani wana ukarimu sana na wateja wapo wwnye hela ndefu sana ila watja hawaweki ukauzu kisa wanahitaji kuwa wafalme kiburi ni tabia na kiburi ni upungufu wa kujiamini pia kiburi ni uzezeta. Unaleta ukauzu kwa secretari ambae ndio anapokea barua zako hapo unakua na akili au matope
ndege za kimataifa zinahudumiwa na wahudumu ambao ni raia wa nchi gani? hapa tunazungumzia wanawake wa kitanzania waliopo kwenye organization zilizopo Tanzania. mkuu unadhani hatujui hata customer care ya jirani zatu wakenya walio wengi ni nzuri zaidi kuliko yetu.
hapa kwetu kuna wadada wanakuthaminisha kwanza umefika kwa usafiri gani, umevaaje ndio wakupe value yako.
 
ndege za kimataifa zinahudumiwa na wahudumu ambao ni raia wa nchi gani? hapa tunazungumzia wanawake wa kitanzania waliopo kwenye organization zilizopo Tanzania. mkuu unadhani hatujui hata customer care ya jirani zatu wakenya walio wengi ni nzuri zaidi kuliko yetu.
hapa kwetu kuna wadada wanakuthaminisha kwanza umefika kwa usafiri gani, umevaaje ndio wakupe value yako.
Sikatai ila tuishi na watu vizuri malalamiko yatapungua sana
 
Pale GSM lumumba kwa yule shetani mdogo wake na GSM mwenyewe juu kabisa ofisi ya bwa.mdogo anayejiita "Counselor Salaah" kuna ka-secretary ka kiarabu kanaitwa "Sabrina" kana nyodo na dharau utadhani kanakunya keki ya chocolate na kukojoa asali... naona bwamdogo ameshagakatomba mara kadhaa na kukazibua mtaro maana si kwa nyodo zile 😄👍🏾

Mademu wakiliwaga na matajiri bana... sijui huwaga wanajionaje 😅😅😅🙌🏾
 
11am queen dr
Pale GSM lumumba kwa yule shetani mdogo wake na GSM mwenyewe juu kabisa ofisi ya bwa.mdogo anayejiita "Counselor Salaah" kuna ka-secretary ka kiarabu kanaitwa "Sabrina" kana nyodo na dharau utadhani kanakunya keki ya chocolate na kukojoa asali... naona bwamdogo ameshagakatomba mara kadhaa na kukazibua mtaro maana si kwa nyodo zile 😄👍🏾

Mademu wakiliwaga na matajiri bana... sijui huwaga wanajionaje 😅😅😅🙌🏾
watu kama huyo dada career yao huwa inaharibika baada ya muda mfupi kwasababu ana godfather tu.
 
Back
Top Bottom