johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Umeshapanic bwashee!He is not informed and to the worse not knowledgeable! Hata Idd Amin alipewa ukuu wa OAU!
Maendeleo hayana chama bwashee!Nilivyoona ID ya mleta mada nikaachana hata na kuisoma make ni wazi kuwa it's another propaganda handout befitting only the trashcan.
Mipango miji na miundo mbinu! Haikosi wamemsifia baada ya kupita pale Jangwani baada ya ile mvua ya majuzi.
Hii haina tofauti na ile hadithi ya "joho la mfalme ni maridadiiiii!!" kumbe yuko uchi na yeye ndio anazidi kutembea kwa madaha
Sent using Jamii Forums mobile app
Maendeleo hayana chama bwashee!
Kiongozi wa maseneta wa Ufaransa waliopo nchini kujionea shughuli za maendeleo hasa mipango miji na miundombinu wamempongeza Rais Magufuli na serikali yake.
Kiongozi huyo amesema Rais Magufuli ni kiongozi mwenye maono na bara la Afrika linapaswa kujivunia.
Ujumbe huo wa maseneta 8 wa Ufaransa utakuwepo nchini kwa muda wa wiki moja na utatembelea miradi mbalimbali.
Source: Channel ten habari!
Inategemea anakulinganisha na nini!Hivi mtu ukiwa na urefu wa futi nne na robo na akatokea mtu akakuita "super tall" utachekelea na kujisifia kuwa kweli wewe ni mrefu?
He is not informed and to the worse not knowledgeable! Hata Idd Amin alipewa ukuu wa OAU!
Si huwa mnasema mabeberu wanajua kila kitu kinachoendelea hapa tz?He is not informed and to the worse not knowledgeable! Hata Idd Amin alipewa ukuu wa OAU!
MTU MWENYE AKILI akiona anasifiwa na "adui" hushtuka! Beberu amsifu?Kiongozi wa maseneta wa Ufaransa waliopo nchini kujionea shughuli za maendeleo hasa mipango miji na miundombinu wamempongeza Rais Magufuli na serikali yake.
Kiongozi huyo amesema Rais Magufuli ni kiongozi mwenye maono na bara la Afrika linapaswa kujivunia.
Ujumbe huo wa maseneta 8 wa Ufaransa utakuwepo nchini kwa muda wa wiki moja na utatembelea miradi mbalimbali.
Source: Channel ten habari!