Maseneta wa Ufaransa wampongeza Rais Magufuli wasema ni kiongozi mwenye maono barani Afrika

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kiongozi wa maseneta wa Ufaransa waliopo nchini kujionea shughuli za maendeleo hasa mipango miji na miundombinu wamempongeza Rais Magufuli na serikali yake.

Kiongozi huyo amesema Rais Magufuli ni kiongozi mwenye maono na bara la Afrika linapaswa kujivunia.

Ujumbe huo wa maseneta 8 wa Ufaransa utakuwepo nchini kwa muda wa wiki moja na utatembelea miradi mbalimbali.

Source: Channel ten habari!
 
Kifua mbele
In God we Trust
 

Hivi mtu ukiwa na urefu wa futi nne na robo na akatokea mtu akakuita "super tall" utachekelea na kujisifia kuwa kweli wewe ni mrefu?
 
Wakiwakosoa mnawaita mabeberu,wakiwasifu mnawaita mbuzi? sijui nani amewaloga.
 

Attachments

  • 2297351_tapatalk_1580646729833.jpeg
    21.5 KB · Views: 1
  • 2304705_1581511485107.png
    236.6 KB · Views: 2
MTU MWENYE AKILI akiona anasifiwa na "adui" hushtuka! Beberu amsifu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…