Mzalendo Uchwara
JF-Expert Member
- Jan 26, 2020
- 4,437
- 13,836
Nimekaa sana kwenye vikao na hao jamaa, ni wanafiki wenye akili za kutosha kuficha unafiki wao, hususani kwenye issue official.Nilishawahi kupokea wazungu nkawawekea African Music hawakuipenda na waliniambia live, "hii hatujaipenda".
Nkawawekea nyimbo za kizungu wakasema hapa "bien".