Mashabiki wa Morocco ninaamini mmeshamaliza kupakia mizigo yenu, ndege inaondoka baada ya swala ya Isha

Morocco kafungwa goal moja tu na tena la kujifunga.... Aise hii timu nyoko.
 
Ronaldo wako nje
 
Acha kupayuka ukiongozwa na dini wewe dogo. Morocco ni timu nzuri ila wanatembea kwenye bahati kubwa sana. Wamekoswa mno leo na lile ni jambo hatarishi. Sijui ni how long their luck will hold.
Hili pia linathibitisha huangalii mpira, Morocco wangekua makini Portugal alikuwa anakufa goli za kutosha, wamekosa goli mchezaji na kipa hana hata wa kumzonga, chance kubwa zaidi kwenye mechi.

Wote walikuwa na shot on target 3 na off target 6.
 
Hili pia linathibitisha huangalii mpira, Morocco wangekua makini Portugal alikuwa anakufa goli za kutosha, wamekosa goli mchezaji na kipa hana hata wa kumzonga, chance kubwa zaidi kwenye mechi.

Wote walikuwa na shot on target 3 na off target 6.
Yule jamaa anakosa sana magoli hata kwenye mechi na Spain alikosa nafasi za wazi. Ila lango la Morocco limekuwa kwenye presha kubwa tangu mwanzo wa mchezo mpaka mwisho.

Leo wameweza ku-hold lakini kwa staili ile sijui kama wataweza kufanikiwa kwa kucheza chini ya mashambulizi na presha kubwa vile.
 
Ronaldo wako nje
Mimi ni mshabiki mkubwa wa Messi na Argentina katika world cup hii, nimeandika sana. Ureno nilipenda wapite ili tuone mechi nzuri huko mbele kuliko hawa Morocco wanaokaa nyuma. Wapaki mabasi huwa siwapendi.
 
Hio ni tactic, as long as timu pinzani haitengenezi clear cut chances inafanya kazi. Ubelgiji, Canada, spain mpaka portugal imefanya kazi.

Kama wewe ni mpenzi wa mpira utakua ushaiona imetumika mamia ya mechi, sasa hivi Mourinho anatabasamu tu huko.
 
Hio ni tactic, as long as timu pinzani haitengenezi clear cut chances inafanya kazi. Ubelgiji, Canada, spain mpaka portugal imefanya kazi.

Kama wewe ni mpenzi wa mpira utakua ushaiona imetumika mamia ya mechi, sasa hivi Mourinho anatabasamu tu huko.
Hii tactic imetumika kwa mafanikio mpaka sasa hivi, lazima Morocco wapongezwe. Napenda leo ufaransa apite ili nione kama itaweza kufanikiwa kwa kukutana na timu zinazopress kwa nguvu na zinazoweza kupiga kross za juu na vichwa wakati wa kushambulia.

Hii mbinu imepelekea huyo Maurinho apotee kwenye mpira wa kisasa. Chelsea, Man utd, Tottenham, kote huko walimkataa kwasababu hii style inataka uwe na aina fulani ya wachezaji.
 
Umechelewa kutoa maoni haya. Au ndio kusema hukuuona huu uzi kabla ya mechi?
Mbona mkuu nilishaanzisha thread kitambo kuhusu Morocco upo jukwaa hili hili mimi sio shabiki maandazi.
 
Lakini uchawi wako haujafua dafu, na hapo ulipo unaona haibu utadhani umejinyea vile...
Nacheka sana, wanafki hii timu itawauweni, wallah.
 
Bado wapo sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…