Mashabiki wa Simba acheni uvivu nendeni mpige kura kwa Chama muda umebaki mfupi

Mashabiki wa Simba acheni uvivu nendeni mpige kura kwa Chama muda umebaki mfupi

Acheni uvivu nendeni mkapige kura ndio makombe yenu msimu huu.[emoji1][emoji1]
 
Acheni uvivu nendeni mkapige kura ndio makombe yenu msimu huu.[emoji1][emoji1]
Kesho keshokutwa CAF na FIFA wakionekana wanaipa thamani zaidi Simba mnatafuta mchawi wakati ni nyie wenyewe.
 
Simba wampe Kanoute zawadi ya mchezaji wa mwezi kwenye lile shindano la Emirates.

Kwenye hili hatujamtendea haki maana CAF wametuletea uchonganishi ili tugawe kura zetu.
 
Kesho keshokutwa CAF na FIFA wakionekana wanaipa thamani zaidi Simba mnatafuta mchawi wakati ni nyie wenyewe.
Ndugu Mbumbumbu hakuna kupeana thamani kwenye mpira wa miguu, Wekezeni fedha na wataalamu matokeo yatakuja tu.

Sisi Yanga tuna vuna Mataji kwakua tuliwekeza kwenye viongozi sahihi walioleta wadhamini sahihi na wataalamu sahihi.

Hatuitaji kupiga kura Ili tushinde chochote zaidi ya uwekezaji na utaalamu.
 
Ndugu Mbumbumbu hakuna kupeana thamani kwenye mpira wa miguu, Wekezeni fedha na wataalamu matokeo yatakuja tu.
Sisi Yanga tuna vuna Mataji kwakua tuliwekeza kwenye viongozi sahihi walioleta wadhamini sahihi na wataalamu sahihi.
Hatuitaji kupiga kura Ili tushinde chochote zaidi ya uwekezaji na utaalamu.
Kwani hizo tuzo za wiki zimeanza leo na kwani wameanzisha Simba? Nyie ni watu wa ajabu sana.

Kwanza hauoni zinawapa motisha wachezaji kujituma zaidi maana profile zao zinaongezeka. Yaani mpaka haya mnahitaji kuelimishwa kweli?
 
Kwani hizo tuzo za wiki zimeanza leo na kwani wameanzisha Simba? Nyie ni watu wa ajabu sana.

Kwanza hauoni zinawapa motisha wachezaji kujituma zaidi maana profile zao zinaongezeka. Yaani mpaka haya mnahitaji kuelimishwa kweli?
Kule wenye akili ni wawili tu.
 
Kwani hizo tuzo za wiki zimeanza leo na kwani wameanzisha Simba? Nyie ni watu wa ajabu sana.

Kwanza hauoni zinawapa motisha wachezaji kujituma zaidi maana profile zao zinaongezeka. Yaani mpaka haya mnahitaji kuelimishwa kweli?
Uo ni upuuzi ulio anzishwa na wapuuzi kutafuta wapuuzi watakao waunga mkono.
Hakuna mchezaji anaye jitambua asuburie motivation za mchongo Ili awe Bora.
 
Kwani hizo tuzo za wiki zimeanza leo na kwani wameanzisha Simba? Nyie ni watu wa ajabu sana.

Kwanza hauoni zinawapa motisha wachezaji kujituma zaidi maana profile zao zinaongezeka. Yaani mpaka haya mnahitaji kuelimishwa kweli?
Wivu unamsumbua tu hana lolote
 
Uo ni upuuzi ulio anzishwa na wapuuzi kutafuta wapuuzi watakao waunga mkono.
Hakuna mchezaji anaye jitambua asuburie motivation za mchongo Ili awe Bora.
Povu kama lote,unakuwa na wivu na gubu kwa wachezaji kisa wamechaguliwa na CAF wakati kina Mayele wanatamani na wao walau wangekuwa wanachomoza anga hizi.
 
Povu kama lote,unakuwa na wivu na gubu kwa wachezaji kisa wamechaguliwa na CAF wakati kina Mayele wanatamani na wao walau wangekuwa wanachomoza anga hizi.
Unazifahamu tuzo za CAF lakini? Ivyo ni vitu vidogo vidogo ambayo CAF Wana wawekea mashabiki wenye akili ndogo.
Kwakua mbumbumbu fc kwenye mpira halisi wamepotea Sasa mnajifariji Kwa vitu vya ki puuzi.
 
Uo ni upuuzi ulio anzishwa na wapuuzi kutafuta wapuuzi watakao waunga mkono.
Hakuna mchezaji anaye jitambua asuburie motivation za mchongo Ili awe Bora.
Duh kazi kweli ipo
 
Unazifahamu tuzo za CAF lakini? Ivyo ni vitu vidogo vidogo ambayo CAF Wana wawekea mashabiki wenye akili ndogo.
Kwakua mbumbumbu fc kwenye mpira halisi wamepotea Sasa mnajifariji Kwa vitu vya ki puuzi.
Mishipa ya shingo imekukakamaa kisa wachezaji wa simba wamechaguliwa.Hatuna cha kukusaidia,baki na makasiriko yako,sisi ndiyo kwanza twaenda kupiga kura
 
Mechi moja tena dhidi ya timu dhaifu iliyokosa wachezajji wake 5 muhimu wa kikosi cha kwanza, haiwezi kumfanya CHAMA awe mchezaji bora wa Wiki.
Sijui kama unajua hesabu wewe! Anayetafutwa ni wa hizo "MECHI MOJA"! Wivu tu unakusumbua! Sina shaka umeshapigia kura upande wa pili!
 
Huyo mahmoud kahraba followers mil 3 twitter! Wala Hata hana habari na hiyo tuzo eti kujipigia debe kwenye page yake......

kama huyu mzambia mwenye followers 460k...
Kahraba akiamua......tweet moja tu ya kuomba kura....anamuacha mbali sana huyu nyang'au....

Ila wala hata! Hana habari kabisaa! Na hiyo tuzo ya kuku! Kwenye page yake👇👇
 

Attachments

  • Screenshot_20230322-162140.png
    Screenshot_20230322-162140.png
    55 KB · Views: 2
  • Screenshot_20230322-162347.png
    Screenshot_20230322-162347.png
    51.6 KB · Views: 2
  • Screenshot_20230322-162402.png
    Screenshot_20230322-162402.png
    42.1 KB · Views: 2
Huyo mahmoud kahraba followers mil 3 twitter! Wala Hata hana habari na hiyo tuzo eti kujipigia debe kwenye page yake......

kama huyu mzambia mwenye followers 460k...
Kahraba akiamua......tweet moja tu ya kuomba kura....anamuacha mbali sana huyu nyang'au....

Ila wala hata! Hana habari kabisaa! Na hiyo tuzo ya kuku! Kwenye page yake👇👇
Acha makasiriko. Tuambie kile tusichojua
 
Huyo mahmoud kahraba followers mil 3 twitter! Wala Hata hana habari na hiyo tuzo eti kujipigia debe kwenye page yake......

kama huyu mzambia mwenye followers 460k...
Kahraba akiamua......tweet moja tu ya kuomba kura....anamuacha mbali sana huyu nyang'au....

Ila wala hata! Hana habari kabisaa! Na hiyo tuzo ya kuku! Kwenye page yake[emoji116][emoji116]
Kunywa maji ya baridi upunguze munkari
 
Back
Top Bottom