CARIFONIA
JF-Expert Member
- Aug 17, 2013
- 616
- 1,453
Sisi mashabiki wa simba tunaitaji kujitafakari, ifike muda tukubali kuwa wenzetu upande wa pili wamejipanga kutuzidi sisi kwenye huu msimu, kitu ambacho tulikua tunajidai nacho ni ushiriki wetu kwenye michuano ya kimataifa lakini baada ya kutupwa nje kwenye michuano hiyo kwa sasa tumeanza kuisoma namba
Sasa hivi tunapocheza na Yanga hatuna jeuri ya kuwafunga zaidi tunakaza Mayele asitufunge ndio ushindi wetu huo, msimu huu tumekutana mara tatu, mechi ya kwanza ni ngao ya jamii tukapigwa kimoja cha mkwezi then kwenye ligi ya NBC tumekutana mara mbili na games zote tumetoa sare, jambo la kushangaza sisi mashabiki wa simba hua tunafuraia haya mtokeo utadhani sisi ndio tumeshinda ndio maana mashabiki wa yanga wanatudharau sana sasa hivi.
Timu yetu ya Simba imesahau lengo la timu yoyote ile inapokutana na timu nyingene ni kuakikisha inaibuka na ushindi na sio kutafuta sare au kumzuia mchezaji flani asifunge halafu tuanze kujisifu eti flani mbona hakutetema leo.
Ndio mahana tunaonekana wote ni makolo tu ifike muda viongozi, wachezaji na mashabiki tujitafakari lengo la kuanzisha timu ni kupata ushindi na kubeba makombe na sio bla bla za sijui tumefika robo fainali club bingwa Africa au shirikisho. jamani tuache ukolo, kwanza wakiambiwa makipa ambao hawajafungwa na bwana fistone kalala mayele katika timu za hapa bongo je Manula hatajitokeza?
Sasa hivi tunapocheza na Yanga hatuna jeuri ya kuwafunga zaidi tunakaza Mayele asitufunge ndio ushindi wetu huo, msimu huu tumekutana mara tatu, mechi ya kwanza ni ngao ya jamii tukapigwa kimoja cha mkwezi then kwenye ligi ya NBC tumekutana mara mbili na games zote tumetoa sare, jambo la kushangaza sisi mashabiki wa simba hua tunafuraia haya mtokeo utadhani sisi ndio tumeshinda ndio maana mashabiki wa yanga wanatudharau sana sasa hivi.
Timu yetu ya Simba imesahau lengo la timu yoyote ile inapokutana na timu nyingene ni kuakikisha inaibuka na ushindi na sio kutafuta sare au kumzuia mchezaji flani asifunge halafu tuanze kujisifu eti flani mbona hakutetema leo.
Ndio mahana tunaonekana wote ni makolo tu ifike muda viongozi, wachezaji na mashabiki tujitafakari lengo la kuanzisha timu ni kupata ushindi na kubeba makombe na sio bla bla za sijui tumefika robo fainali club bingwa Africa au shirikisho. jamani tuache ukolo, kwanza wakiambiwa makipa ambao hawajafungwa na bwana fistone kalala mayele katika timu za hapa bongo je Manula hatajitokeza?