Mashabiki wa Simba SC tunahitaji kujitafakari

Mashabiki wa Simba SC tunahitaji kujitafakari

Sisi mashabiki wa simba tunaitaji kujitafakari, ifike mda tukubali kua wenzetu upande wa pili wamejipanga kutuzidi sisi kwenye huu msimu, kitu ambacho tulikua tunajidai nacho ni ushiriki wetu kwenye michuano ya kimataifa lakini baada ya kutupwa nje kwenye michuano hiyo kwa sasa tumeanza kuisoma namba

Sasa hivi tunapocheza na yanga hatuna jeuri ya kuwafunga zaidi tunakaza Mayele asitufunge ndio ushindi wetu huo, msimu huu tumekutana mara tatu, mechi ya kwanza ni ngao ya jamii tukapigwa kimoja cha mkwezi then kwenye ligi ya NBC tumekutana mara mbili na games zote tumetoa sare, jambo la kushangaza sisi mashabiki wa simba hua tunafuraia haya mtokeo utadhani sisi ndio tumeshinda ndio maana mashabiki wa yanga wanatudharau sana sasa hivi.

Timu yetu ya simba imesahau lengo la timu yoyote ile inapokutana na timu nyingene ni kuakikisha inaibuka na ushindi na sio kutafuta sare au kumzuia mchezaji flani asifunge halafu tuanze kujisifu eti flani mbona hakutetema leo.

Ndio mahana tunaonekana wote ni makolo tu ifike mda viongozi, wachezaji na mashabiki tujitafakari lengo la kuanzisha timu ni kupata ushindi na kubeba makombe na sio bla bla za sijui tumefika robo fainali club bingwa Africa au shirikisho. jamani tuache ukolo, kwanza wakiambiwa makipa ambao hawajafungwa na bwana fistone kalala mayele katika timu za hapa bongo je Manula hatajitokeza?
Wewe ni Shabiki wa Yanga bila shaka
Unataka kuniambia kwamba hata zile shoots on target kwenye lango la Yanga ilikuwa ni kumkaba Mayele?

Hao Yanga mbona hawajatufunga kama sisi tupo kumkaba mayele tu?
 
Sisi mashabiki wa simba tunaitaji kujitafakari, ifike muda tukubali kuwa wenzetu upande wa pili wamejipanga kutuzidi sisi kwenye huu msimu, kitu ambacho tulikua tunajidai nacho ni ushiriki wetu kwenye michuano ya kimataifa lakini baada ya kutupwa nje kwenye michuano hiyo kwa sasa tumeanza kuisoma namba

Sasa hivi tunapocheza na Yanga hatuna jeuri ya kuwafunga zaidi tunakaza Mayele asitufunge ndio ushindi wetu huo, msimu huu tumekutana mara tatu, mechi ya kwanza ni ngao ya jamii tukapigwa kimoja cha mkwezi then kwenye ligi ya NBC tumekutana mara mbili na games zote tumetoa sare, jambo la kushangaza sisi mashabiki wa simba hua tunafuraia haya mtokeo utadhani sisi ndio tumeshinda ndio maana mashabiki wa yanga wanatudharau sana sasa hivi.

Timu yetu ya Simba imesahau lengo la timu yoyote ile inapokutana na timu nyingene ni kuakikisha inaibuka na ushindi na sio kutafuta sare au kumzuia mchezaji flani asifunge halafu tuanze kujisifu eti flani mbona hakutetema leo.

Ndio mahana tunaonekana wote ni makolo tu ifike muda viongozi, wachezaji na mashabiki tujitafakari lengo la kuanzisha timu ni kupata ushindi na kubeba makombe na sio bla bla za sijui tumefika robo fainali club bingwa Africa au shirikisho. jamani tuache ukolo, kwanza wakiambiwa makipa ambao hawajafungwa na bwana fistone kalala mayele katika timu za hapa bongo je Manula hatajitokeza?
Sijawahi ona simba akifurahia sare yoyote zaidi ya USGN
 
Kudrop msimu mmoja tu maneno!Misimu yote minne simba iliyokuwa bingwa imeifunga yanga mara ngapi!Mkuu kipaumbele cha simba kwa sasa si kushindana na yanga
Hebu sema hiyo misimu Simba imemfunga yanga mechi zip?
 
Kwa kauli kama hizi inaonesha tayari mlishakubali kwamba simba ni timu kubwa barani Afrika na ndiyo Maana hamuamini kwamba timu ndogo kama Yanga inaweza kuchukua ubingwa mbele ya timu kubwa kama simba.
 
Hebu sema hiyo misimu Simba imemfunga yanga mechi zip?
Kwa hiyo misimu minne matokeo mazuri ya simba dhidi ya Yanga ni kama ifuatavyo :
1. Simba 1 , Yanga 0(Kagere)
2.simba 1, Yanga (Nyoni)
3.simba 4, Yanga 1(Fraga ,chama
Miquisson, mzamiru
4. Simba 1 , Yanga 0( Lwanga)

Matokeo mazuri ya Yanga dhidi ya simba kwa hiyo misimu minne
1.yanga 1 , simba 0 (morrison)
2.yanga 1,simba 0(mauya)
3.yanga 1, simba0 (mayele)

Mechi zilizobaki walitoka sare.

Je , kwa takwimu hizo nani mbabe kwa mwenzake ktk hiyo misimu4?
 
Back
Top Bottom