Mashabiki wa Simba wang'oa viti uwanja wa Taifa baada ya mechi ya SC sFaxien

Wewe ni kuku
 
Si uhalisia kuwa mashabiki wa Simba hawakung'oa na kurusha viti?
Soma tena andiko lako mwanzo mwisho. Hakika utaona jinsi uliandika kwa hisi hasi dhidi ya Simba na Wala sio tukio halisi la uharibifu wa kiwania.

Fans wa Simba wao walireact baada ya hiko unachosema uharibifu/vurugu kianzishwa na wageni.
 
Soma tena andiko lako mwanzo mwisho. Hakika utaona jinsi uliandika kwa hisi hasi dhidi ya Simba na Wala sio tukio halisi la uharibifu wa kiwania.

Fans wa Simba wao walireact baada ya hiko unachosema uharibifu/vurugu kianzishwa na wageni.
Me sijasema nani alianzisha fujo
Ila hakuna sababu ya msingi ya kuvunja viti na kuharibu miundo mbinu ya uwanja kisa umechokozwa
Siku wakicholozwa sana si watauchoma moto uwanja sasa
 
Soma tena andiko lako mwanzo mwisho. Hakika utaona jinsi uliandika kwa hisi hasi dhidi ya Simba na Wala sio tukio halisi la uharibifu wa kiwania.

Fans wa Simba wao walireact baada ya hiko unachosema uharibifu/vurugu kianzishwa na wageni.
Kwahiyo viti vimeng"olewa au
 
Kwa hiyo kuvaa jezi ya Simba ndio uthibitisho?
Rage alikuwa sahihi kuwaiteni mbumbumbu
Yani mechi ya Simba ndo mwenyeji halafu mashabiki wa katika Tunisia kuja kuvunja viti uwanja wa Taifa
 
Msibishane wakati uo uwanja una CCTV camera Bado Kuna matukio mengi yaliyo rekodiwa yakionyesha wanao ng'oa viti na kurushiana.
Huitaji Maguvu video zipo mitandaoni
 
Msibishane wakati uo uwanja una CCTV camera Bado Kuna matukio mengi yaliyo rekodiwa yakionyesha wanao ng'oa viti na kurushiana.
Huitaji Maguvu video zipo mitandaoni
Aibu ziko dhahiri waliong'oa viti ni mashabiki wa Simba
Wanasema eti walichozwa
Sasa tungoje wachokozwe sana wakasirike, uwanja wauchome moto
 
Kichwa nundu...utalala hoii
Mechi 3 point 1
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…