Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni kukuMashabiki wa Simba wamefanya uharibifu mkubwa kwenye uwanja wa Taifa, baada ya mchezo kati ya Simba vs sc sFaxien
Hii imeleta picha mbaya mbele ya uso wa Kimataifa hasa Kwa watu waliostaarabika, kung'oa Viti na kurushia wageni raia wa Tunisia waliokuwa hawana siraha
Mashabiki hao wameng'oa mamia ya viti na kuharibu miundo mbinu ya uwanja
Tukumbuke serikali ipo katika ukaribati wa uwanja wa Taifa Kwa ajili ya maandaliz ya CHAN na CAF
Ukarabati huu unatumia Kodi za Watanzania wote, sio jambo jema serikali itumie Kodi zetu wavuja jasho na mashabiki wahuni waje waharibu miundo mbinu hii
Naomba serikali iwatake Simba kukarabati na kununua viti walivyong'oa na wazuiwe kutumia uwanja wa Benjamin Mkapa wahamie Bunju majarubani
Sisi walipa Kodi hatupo tayari kulipa Kodi zitengeneze miundo mbinu na Mashabiki wa Simba waje kuvunja viti
Soma tena andiko lako mwanzo mwisho. Hakika utaona jinsi uliandika kwa hisi hasi dhidi ya Simba na Wala sio tukio halisi la uharibifu wa kiwania.Si uhalisia kuwa mashabiki wa Simba hawakung'oa na kurusha viti?
Me sijasema nani alianzisha fujoSoma tena andiko lako mwanzo mwisho. Hakika utaona jinsi uliandika kwa hisi hasi dhidi ya Simba na Wala sio tukio halisi la uharibifu wa kiwania.
Fans wa Simba wao walireact baada ya hiko unachosema uharibifu/vurugu kianzishwa na wageni.
Ana matatizo ya akili huyoShenzi wewe uto
Watakuwa wamekasirika timu kukosa magoli ya wazi na kulazimisha ushindi kwa kubebwa! Walikuwa wanasema yaani sisi mpaka tubebwe?Ni wa simba na wamevalia nguo za simba embu mkuu zoom kidog uone
Shida yao mdomoWatakuwa wamekasirika tumult kukosa magoli ya wazi na kulazimisha ushindi kwa kubebwa! Walikuwa wanasema yaani sisi mpaka tubebwe?
Ni mashabiki wa timu ipi?Wale sio mashabiki WA Simba,acha upotoshaji
Kwa mbumbumbu hivyo ni vitu vya kawaida sanaSasa mkuu hivi kweli unautimamu wa akili?
Ni kama wewe ufaulu mitihani yako halafu baba ako akupige vibao
Tushinde sisi halafu tung'oe viti kwanini?
Weeekundu la magomeni au msimbazi?Unakaaa zwa au
Kwahiyo viti vimeng"olewa auSoma tena andiko lako mwanzo mwisho. Hakika utaona jinsi uliandika kwa hisi hasi dhidi ya Simba na Wala sio tukio halisi la uharibifu wa kiwania.
Fans wa Simba wao walireact baada ya hiko unachosema uharibifu/vurugu kianzishwa na wageni.
Kwa hiyo kuvaa jezi ya Simba ndio uthibitisho?Ni wa simba na wamevalia nguo za simba embu mkuu zoom kidog uone
sasa si ushasema jezi ya simbaKwa hiyo kuvaa jezi ya Simba ndio uthibitisho?
Aibu ziko dhahiri waliong'oa viti ni mashabiki wa SimbaMsibishane wakati uo uwanja una CCTV camera Bado Kuna matukio mengi yaliyo rekodiwa yakionyesha wanao ng'oa viti na kurushiana.
Huitaji Maguvu video zipo mitandaoni
Hapana ila uwezi kusema katika watu 30 walikuwa wanafanya vile wasiww mashabiki wa simba haya unataka kusema namungo ndio wamefanya fujo?Kwa hiyo kuvaa jezi ya Simba ndio uthibitisho?