Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Ila wanao uwezo wa kutenga bajeti ya 300k + kwa ka vacation ka siku 4~5. Yanga raha wewe karibuWengi wao awana kazi ni wazururaji tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila wanao uwezo wa kutenga bajeti ya 300k + kwa ka vacation ka siku 4~5. Yanga raha wewe karibuWengi wao awana kazi ni wazururaji tu.
Sasa mbona hujaenda kama unapenda mteremko hivi? Au uko occupied na mtu mwingine aliyekulipia vyote hivoHata Mimi ningeenda kila kitu tumelipiwa kuanzia usafiri,malazi,viingilio uwanjani kwanini nisiende?
Huo ufukara wako ni mali yako wenzako wanafurahia maisha unabaki kusononekaWatakuja kukupopoa ila kiuhalisia katika watu ambao hawajielewi ni mashabiki wa Yanga, waangalie akili zao hata uwezo wao wa kufikiri utaona kuna shida pahala.
Na sijui kwanini wote wana akili za namna hiyo sijui ni ile Rangi au ndio Kuambukizana ujinga.
Sijawahi kuona Shabiki wa Yanga akawa mzima kichwani. Never
Njoo Getho nmelipa kila kitu [emoji533]Hata Mimi ningeenda kila kitu tumelipiwa kuanzia usafiri,malazi,viingilio uwanjani kwanini nisiende?
Mkiambiwa ukweli mnaanza kuleta habari za ufukara.. sasa ufukara umeingiaje hapa...Huo ufukara wako ni mali yako wenzako wanafurahia maisha unabaki kusononeka
Ukiwa fukara unaona watu wanachezea helaMkiambiwa ukweli mnaanza kuleta habari za ufukara.. sasa ufukara umeingiaje hapa...
Wakati wewe upo una hangaika na viroba vya mkaa huko sisi tupo huku tunatumia pesaWatakuja kukupopoa ila kiuhalisia katika watu ambao hawajielewi ni mashabiki wa Yanga, waangalie akili zao hata uwezo wao wa kufikiri utaona kuna shida pahala.
Na sijui kwanini wote wana akili za namna hiyo sijui ni ile Rangi au ndio Kuambukizana ujinga.
Sijawahi kuona Shabiki wa Yanga akawa mzima kichwani. Never
Sasa Rwanda nayo ni sehemu ya kujivunia umeenda kutumia pesa? Watu wenyewe mmeenda na hayo Makosta mabovu nauli ya kibakuli. Mmejazana kama Mbuzi wanaenda mnadaniWakati wewe upo una hangaika na viroba vya mkaa huko sisi tupo huku tunatumia pesa View attachment 2750875View attachment 2750877View attachment 2750878
Umasikini wako unakufanya unatukana watu bure popote ni ulaya ukiwa na hela ! pole na misuko suko usikate tamaa ipo siku uta enjoy kama sisiSasa Rwanda nayo ni sehemu ya kujivunia umeenda kutumia pesa? Watu wenyewe mmeenda na hayo Makosta mabovu nauli ya kibakuli. Mmejazana kama Mbuzi wanaenda mnadani
Haya bhana.. MKE wa Eng. HERSIUmasikini wako unakufanya unatukana watu bure popote ni ulaya ukiwa na hela ! pole na misuko suko usikate tamaa ipo siku uta enjoy kama sisi
Pole na dhikiHaya bhana.. MKE wa Eng. HERSI
Kutafuta hela mwisho miaka 24 kinachofuata ni matumizi na bataKijana ambaye yuko busy anapataje muda wa kuzurura wiki nzima.
Vijana 500 kwa wiki nzima hawako kazini ni hasara kwa taifa
Kutesa kwa zamuKijana ambaye yuko busy anapataje muda wa kuzurura wiki nzima.
Vijana 500 kwa wiki nzima hawako kazini ni hasara kwa taifa
We **** tuWatakuja kukupopoa ila kiuhalisia katika watu ambao hawajielewi ni mashabiki wa Yanga, waangalie akili zao hata uwezo wao wa kufikiri utaona kuna shida pahala.
Na sijui kwanini wote wana akili za namna hiyo sijui ni ile Rangi au ndio Kuambukizana ujinga.
Sijawahi kuona Shabiki wa Yanga akawa mzima kichwani. Never