Mashabiki wa Yanga ni jobless? Mnapata wapi muda wa kuzurura hadi Rwanda

Mashabiki wa Yanga ni jobless? Mnapata wapi muda wa kuzurura hadi Rwanda

Hilo mbona inajulikana zamani tangu walipoenda airport kumbeba hersi na kupokea wageni.
 
Wale mashabiki wengi wamejiajiri Mkuu, mfano wauza mitumba, usiumizwe na maisha ya mtu ambaye hajawahi kukuomba chumvi
 
Watanzania wengi wanaishi maishq ya kitumwa sana yaani inaweza ikapita miaka yeye ni kazi na kazi na yeye ukipata muda tembea ujue Dunia ilivyo...
 
Mtoa mada uko sahihi 100% ,kuna watu Nawajua kwenye huo msafara hawana kazi....yaani wadangaji , vijana wa misheni town hawana mbele wa nyuma....huwezi kuta mtu smart na biashara zake au kazi zake yuko kwenye coaster anaenda nchi jirani kisa mpira
 
Mtoa mada uko sahihi 100% ,kuna watu Nawajua kwenye huo msafara hawana kazi....yaani wadangaji , vijana wa misheni town hawana mbele wa nyuma....huwezi kuta mtu smart na biashara zake au kazi zake yuko kwenye coaster anaenda nchi jirani kisa mpira
Zahoro matelephone unamjua? kama hawana kazi wamepata wapi nauli? Wewe mwenye kazi unapata wapi mda kujadili watu wasio na kazi?
 
Kuna jamaa yangu kaenda,ana kampuni ya real estate,.anatusumbua sana,.anajilipa karibu million kumi kwa mwezi..
 
Back
Top Bottom