Mashabiki wa Yanga SC toka jana mpaka leo mna hasira, sana tatizo ni nini?

Mashabiki wa Yanga SC toka jana mpaka leo mna hasira, sana tatizo ni nini?

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Hawa uto vipi kila ukimgusa shabiki wa hii timu utasikia sisi tuna medali nyie mna nini wana fokafoka tu 😆😆😆

Toka mama alipopigilia msumari kuhusu dogo Fei na leo Saidoo kaweka goli tano huku akimpumulia kisogoni Mayele hawa uto wamekuwa na makasiriko ya ajabu, nyie uto mna shida gani si mna medali? sasa makasiriko ya nini?🤣🤣

02E425BB-6E7A-4DFB-A314-0ECFCD128A77.jpeg
 
NTIBAZONKIZA ANAWASILIMIA UTO [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
KIATU KILE MSIMBAZI[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
 
Tena...

Aisee mikia mbona mnateseka..
 
Aaaa huyo sio shabiki wa yanga mzee, final caf, kombe la ligi mabingwa, fa final, mayele kiatu cafcc , stress za nini,
Kilichopo ni mashabiki qa makolo jana kauli ya rais kwa ndio kombe lao na kombe jingine wanalolipambania ni la mfungaji bora
 
Hawa uto vipi kila ukimgusa shabiki wa hii timu utasikia sisi tuna medali nyie mna nini wana fokafoka tu [emoji38][emoji38][emoji38]

Toka mama alipopigilia msumari kuhusu dogo Fei na leo Saidoo kaweka goli tano huku akimpumulia kisogoni Mayele hawa uto wamekuwa na makasiriko ya ajabu, nyie uto mna shida gani si mna medali? sasa makasiriko ya nini?[emoji1787][emoji1787]

View attachment 2648221
hivi huoni aibu kwa hayo magoli 5 kufungwa kwenye mechi moja?
 
Aaaa huyo sio shabiki wa yanga mzee, final caf, kombe la ligi mabingwa, fa final, mayele kiatu cafcc , stress za nini,
Ligi ya mabingwa?? Lipi hilooo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], afu hicho kiatu cha mayele kiko wapiii? Unaotaa wee.
 
Back
Top Bottom