Mashabiki wa Yanga SC walioenda Rwanda: Kutokujua kwetu Kiingereza kunatupa wakati mgumu hapa Kigali

Mashabiki wa Yanga SC walioenda Rwanda: Kutokujua kwetu Kiingereza kunatupa wakati mgumu hapa Kigali

Wanyarwanda na kiingereza wapi na wapi?
They can't speak English, afadhali ya watanzania.
Mtafute Mtangazaji wa Michezo Clouds FM Kipindi cha Sports Extra Yahaya Njenge ( alias ) Mkazuzu aliyesema haya na acha Kunihoji Mimi japo najua ni kweli Mashabiki wengi wa Yanga SC Kiingereza hawajui achilia mbali pia kuwa hata Shule tu Wengi wao hawana ila kwa Kuiba ( hasa kuwa Vibaka Vibaka ) hapa nina uhakika napo kwakuwa nimeshashuhudia Watu Wakilia Kuibiwa na Kuporwa katika Mikusanyiko yao.
 
Mleta Mada ni mbumbumbu pia hajui kua Rwanda kuna watu wachache wanao ongea English nadhani hawafiki ata asilimia 1ya watu wote.


Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Kama Wewe tu Kiingereza hukijui unategemea Mishabiki Mizuzu ya Timu yako iliyoambatana huko Kigali Rwanda wataijua?
 
"Alex Luambano kiukweli nchi ni nzuri na tumefika Salama hapa Kigali Rwanda, ila tatizo Kubwa tunalolipata ni wengi wetu kurokujua Lugha ya Kiingereza kiasi kwamba tunalanguliwa mno Bei ya Taxi" amesema Mtangazaji Mkazuzu wa Kipindi cha Michezo cha Sports Extra cha Clouds FM dakika chache tu zilizopita.

Kwahiyo mlidhani huko Rwanda wanaongea Kiswahili chenu cha Kariakoo na mkajazana kwa Uwingi kama Magunia ya Mahindi ya MUYAMA ONE katika Mabasi yenu 30 na kwenda wakati Wenzenu wanaongea Kifaransa msichokijua kabisa na Kiingereza ambacho Kinawatesa sasa huko Ugenini Israeli ya Afrika Rwanda?

Mashabiki wa Simba SC wanakubalika na wanaheshimika nchi zote wanazoenda kwakuwa kuanzia Wachezaji, Mashabiki na Viongozi wote wanaongea vyema kabisa Lugha ya Kiingereza tofauti na Wapuuzi Waliofurika Kigali Rwanda kumbe Kiingereza kinawapa shida na sasa Madereva wa Taxi wanawapiga tu kwa Kuwatoza Gharama ya Juu kwa safari fupi fupi tu za Viunga vya Jiji la Kigali.

Kudadadeki......!!
Kuhusu kiingereza mleta mada hapa umepotosha kwa 100%.
Mimi binafsi nimesikiliza Clouds Fm, na mtangazaji hakusema hilo. Amesema wanyarwanda wanazungumza kinyarwanda tu, na alipojaribu kufafanua akasema wanazungumza Kifaransa.

USAHIHI.
Rwanda kijamii ni nchi inayozungumza Kinyarwanda (mchanganyiko wa lugha ya Kitutsi, Kihutu, Kitwa), na miaka yote lugha ya kiofisi ni mbili (Kinyarwanda na Kifaransa). Kama wewe ni mnyarwanda hujakwenda shule vizuri na kuishi mjini, basi hata Kifaransa huwezi kuongea, utabakia kwenye kilugha tu (kinyarwanda).
Kuhusu Kiingereza, Rwanda wako nyuma zaidi, ndio sasa wanaanza kujifunza sasa baada ya Kagame kuridhia kiingereza kuwa lugha rasmi ya tatu kitaifa. Hata wasomi wa kinyarwanda wa kisomo cha juu walioishi na kujifunza kwenye nchi na vyuo vyenye kuongea kiingereza, bado kiingereza chao ni duni mnoo (kwenye matamshi (pronunciation), Usanifu (grammar) na mtitiriko (flow) kuliko hata kijana wa kitanzania aliyesoma na kumaliza shule za kata.

Kwenye kiingereza, mtu pekee anayeweza kumbambaisha mtanzania ni mzungu tu, wengine wote tunabanana fresh.
 
Duh ila kuna mambo miyeyusho sana kwani hawana google translator wakatumia
Yaani Mashabiki wa Yanga SC ambao 95% ni Lumpens ( Empty Sets ) halafu unategemea kweli wajue kutumia hiyo Google Translator yako Mkuu?

Mambo ya Google Translator sijui Google Map waambie ( tuambie ) Mashabiki wa Simba SC ambao tuna Elimu, Hela, Exposure Kubwa duniani na Passports zetu zimejaa tu Mihuri ya Borders na ile ya Viwanja vya Ndege vya Kimataifa.

Kama 75% ya Mashabiki wao Sifa yao Kubwa ni Kuiba ( Vibaka ) na Waporaji Mitaani na Masokoni leo kabisa unategemea watumie Google Translator ili wasipate shida ya Kimawasiliano huko waliko Ugenini?
 
Kuhusu kiingereza mleta mada hapa umepotosha kwa 100%.
Mimi binafsi nimesikiliza Clouds Fm, na mtangazaji hakusema hilo. Amesema wanyarwanda wanazungumza kinyarwanda tu, na alipojaribu kufafanua akasema wanazungumza Kifaransa.

USAHIHI.
Rwanda kijamii ni nchi inayozungumza Kinyarwanda (mchanganyiko wa lugha ya Kitutsi, Kihutu, Kitwa), na miaka yote lugha ya kiofisi ni mbili (Kinyarwanda na Kifaransa). Kama wewe ni mnyarwanda hujakwenda shule vizuri na kuishi mjini, basi hata Kifaransa huwezi kuongea, utabakia kwenye kilugha tu (kinyarwanda).
Kuhusu Kiingereza, Rwanda wako nyuma zaidi, ndio sasa wanaanza kujifunza sasa baada ya Kagame kuridhia kiingereza kuwa lugha rasmi ya tatu kitaifa. Hata wasomi wa kinyarwanda wa kisomo cha juu walioishi na kujifunza kwenye nchi na vyuo vyenye kuongea kiingereza, bado kiingereza chao ni duni mnoo (kwenye matamshi (pronunciation), Usanifu (grammar) na mtitiriko (flow) kuliko hata kijana wa kitanzania aliyesoma na kumaliza shule za kata.

Kwenye kiingereza, mtu pekee anayeweza kumbambaisha mtanzania ni mzungu tu, wengine wote tunabanana fresh.
Acha Kunipotezea muda Wewe Juha sawa? Nimemnukuu vyema kabisa Mtangazaji Yahaya Njenge ( alias ) Mkazuzu juu ya Mashabiki wengi wa Yanga SC kupata shida ya Kimawasiliano huko Kigali Rwanda kwakuwa hawajui Lugha ya Kiingereza na hili nitalitetea mpaka Kiama kije kwakuwa nimekisikia na nimemsikia mubashara akiripoti sawa?

Haya hii Taarifa ya Mashabiki wa Yanga SC kutokujua Lugha ya Kiingereza unaikataa / mnaikataa vipi na hii ya Pili niliyoileta hivi punde tu kuwa 85% ya Mashabiki wa Yanga SC walioenda Kigali Rwanda leo Wamelala ndani ya Mabasi yao kutokana na Kushindwa kulipa Gharama za Gesti na Loji ambazo ni juu Jijini Kigali na Wao hawana Hela?
 
Wewe msengelema, nani amekwambia yanga wameenda kuongea kiingeleza Rwanda.... Na kwa taarifa yako mpaka saizi warembo wa Kigali wanatematema mate nahisi tunaacha mbegu za uzao wa yanga hapa.... Siku unaambiwa yanga Wana timu kigali usishangae. Hivi Simba hawachezi mbona sioni taarifa zao 😀😀
 
Yaani Mashabiki wa Yanga SC ambao 95% ni Lumpen ( Empty Set ) halafu unategemea kweli wajue kutumia hiyo Google Translator yako Mkuu?

Mambo ya Google Translator sijui Google Map waambie ( tuambie ) Mashabiki wa Simba SC ambao tuna Elimu, Hela, Exposure Kubwa duniani na Passports zetu zimejaa tu Mihuri ya Borders na ile ya Viwanja vya Ndege vya Kimataifa.

Kama 75% ya Mashabiki wao Sifa yao Kubwa ni Kuiba ( Vibaka ) na Waporaji Mitaani na Masokoni leo kabisa unategemea watumie Google Translator ili wasipate shida ya Kimawasiliano huko waliko Ugenini?
Hiyo mihuri iliyojaa unaweza kuwa unaenda kugawa kinyeo chako😅, endeleeni kugawa vinyeo.
 
Watu wanalazimishwa ushabiki tu ila ukweli ubaki pale pale, Yanga wamefanya jambo kubwa sana. Kwenda na watu si chini ya 1500 sio kitu kidogo tofauti na walipenda na Basi 1 ambalo halijajaa. Wapeni maua yao na hiz blah blah hazisaidii kitu. Yale mazuri ya upande mwingine muyaige na sio kuyapuuza.
GENTAMYCINE akiion hii comment pichu itambana
 
Wangejua hata kutamka bonjou, comm_ent c`ava? Je mappelle dar es salaam, merci bier wasingepigwa bei ya juu, madreva tax wangewashitukia kuwa wanakijua kifaransa. Au wangejua hata kutamka what's up ma' nigger? Yanga shizzo ya dizzo up to america fans, wanyarwanda wangewaogopa kwa lugha
 
Genta anahangaika kinoma na Yanga[emoji28].

'Sridi' ya kumi hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
ANGALIZO

Ukijijua tu HUMPENDI na UNAMCHUKIA mno GENTAMYCINE na HUMKUBALI wala HUVUTIWI na MADA ( THREADS ) zake Kutwa hapa JamiiForums cha kufanya ni KUACHANA nae au MBLOKU ( IGNORE ) na endelea KUWASOMA MEMBERS wako ambao UNAWAPENDA, UNAWAKUBALI na unawaona ni BORA KWAKO na uniachie / uwaache wale MEMBERS Wanaonielewa waendelee KUHABARIKA, KUELIMIKA na KUBURUDIKA nami hapa JamiiForums.

Kitendo cha Kujijua huwa HUNIPENDI, HUNIKUBALI na HUVUTIWI na UWASILISHAJI Wangu hapa JamiiForums halafu bado tena UNAWASHWAWASHWA nami kama MBWA JIKE anayetaka KUPANDWA kunaonyesha kuwa UNANIKUBALI ( UNANIPENDA ) hadi KUMOYO na huku KUNICHUKIA Kwako ni KUZUGA tu.

Na bahati nzuri au mbaya nikianzisha MADA ( THREAD ) hapa huwa SIMUITI au SIMLAZIMISHI Mru Kusoma hivyo sitaki SHOBO za ki MAGOMENI MAPIPA KWA MACHENI.

Nimemaliza.
 
ANGALIZO

Ukijijua tu HUMPENDI na UNAMCHUKIA mno GENTAMYCINE na HUMKUBALI wala HUVUTIWI na MADA ( THREADS ) zake Kutwa hapa JamiiForums cha kufanya ni KUACHANA nae au MBLOKU ( IGNORE ) na endelea KUWASOMA MEMBERS wako ambao UNAWAPENDA, UNAWAKUBALI na unawaona ni BORA KWAKO na uniachie / uwaache wale MEMBERS Wanaonielewa waendelee KUHABARIKA, KUELIMIKA na KUBURUDIKA nami hapa JamiiForums.

Kitendo cha Kujijua huwa HUNIPENDI, HUNIKUBALI na HUVUTIWI na UWASILISHAJI Wangu hapa JamiiForums halafu bado tena UNAWASHWAWASHWA nami kama MBWA JIKE anayetaka KUPANDWA kunaonyesha kuwa UNANIKUBALI ( UNANIPENDA ) hadi KUMOYO na huku KUNICHUKIA Kwako ni KUZUGA tu.

Na bahati nzuri au mbaya nikianzisha MADA ( THREAD ) hapa huwa SIMUITI au SIMLAZIMISHI Mru Kusoma hivyo sitaki SHOBO za ki MAGOMENI MAPIPA KWA MACHENI.

Nimemaliza.
Kwahiyo Genta,Unataka tusitoe maoni kinzani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtafute Mtangazaji wa Michezo Clouds FM Kipindi cha Sports Extra Yahaya Njenge ( alias ) Mkazuzu aliyesema haya na acha Kunihoji Mimi japo najua ni kweli Mashabiki wengi wa Yanga SC Kiingereza hawajui achilia mbali pia kuwa hata Shule tu Wengi wao hawana ila kwa Kuiba ( hasa kuwa Vibaka Vibaka ) hapa nina uhakika napo kwakuwa nimeshashuhudia Watu Wakilia Kuibiwa na Kuporwa katika Mikusanyiko yao.
Mimi siwezi kuwatafuta watu waliokuja mjini ukubwani. Mimi ni mtoto wa mjini huwa siwasikilizi hao jamaa, nimeanza kuangalia mpira kwenye magazeti ya Uingereza tulikwa tunaletewa na mabaharia kabla DSTV haijaanza kurusha Premier. Nimemuona Isega, mahadhi, nyaga wakidaka na Chuma siku anastaafu Taifa nilienda na baba yangu.
Usiniambie habari za clouds, hao mimi huwa hata siwasikilizi au sijui kumwembo na double striker sijui diamond formation bull$hit.
Huku kuna Nyerere, Kikwete huko mna Kawawa na Al- marhum. Tuna hersi na Arafat nyie Mna Tarza na Mhene angalia CV hazi-match.
Halafu kuna mimi na wewe. C'mon bruh!
 
Back
Top Bottom