Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Ni muda wa kuweka kando tambo za Kimaskini , ni muda wa kuachana na ufukara.
Tukutane kwa khanjbay tupige hela, sio hela ya kitoto, tutapiga hela ndefu huku tukishangilia kono la nyani lililotutoa kwenye ufukara.
Enyi madogo, Frank Wanjiru, Labani og, Half american na wengineo tumieni fursa jmosi mtanishukuru.
Binafsi nimetenga milioni 1 ya kubet, sina mashaka, amphibian watashinda nami nitapiga hela ndefu ya khanjbay.
Fursa huwa haiji mara mbili.
Tukutane kwa khanjbay tupige hela, sio hela ya kitoto, tutapiga hela ndefu huku tukishangilia kono la nyani lililotutoa kwenye ufukara.
Enyi madogo, Frank Wanjiru, Labani og, Half american na wengineo tumieni fursa jmosi mtanishukuru.
Binafsi nimetenga milioni 1 ya kubet, sina mashaka, amphibian watashinda nami nitapiga hela ndefu ya khanjbay.
Fursa huwa haiji mara mbili.