Mashabiki Yanga watia aibu, wacheza uchi kushangilia kurudi kwa Fei Toto kambini

Mashabiki Yanga watia aibu, wacheza uchi kushangilia kurudi kwa Fei Toto kambini

Japo mimi ni shabiki wa Yanga ila hili siliungi mkono, wametudhalilisha sana na kuonekana sisi ni watu wenye ulimbukeni mkubwa wa mafanikio, tumeonekana sisi hatuna akili.

Mbona wenzetu Simba wamechukua kombe mara nne mfululizo na kufanikiwa kufika hatua za mbali michuano ya kimataifa ila hawajacheza uchi?

Tujirekebishe

Sijapenda, sijapenda, sijapenda nimeumia sana kuona jezi yetu inadhalilishwa vile[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
Kwa hiyo na wewe siku ukiamua kuwakusanya wenzako wawili watatu, mkavaa jezi za simba na kujirekidi mkicheza uchi; nitakuwa sahihi kuja na mada ya kuwahusisha mashabiki wa simba na huo upuuzi?

Hivi hata idadi tu ya mashabiki wa Yanga unaifahamu kweli?
 
Japo mimi ni shabiki wa Yanga ila hili siliungi mkono, wametudhalilisha sana na kuonekana sisi ni watu wenye ulimbukeni mkubwa wa mafanikio, tumeonekana sisi hatuna akili.

Mbona wenzetu Simba wamechukua kombe mara nne mfululizo na kufanikiwa kufika hatua za mbali michuano ya kimataifa ila hawajacheza uchi?

Tujirekebishe

Sijapenda, sijapenda, sijapenda nimeumia sana kuona jezi yetu inadhalilishwa vile[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
Mkuu hii video nnayo,yaani majamaa mpk wanawanyonya kinyeo madem
Kweli bongo sahv ni mwendo wa ufilauni....

Ova
 
Huna picha ww, umepata stry tu. Watu wamevaa tight na madera unaita uchi.

Watu wamebalikiwa maumbo hawapendi kukaa uchi. Umbo linaluhusu.
Bisha,unatak urushiwe video pm
Uone wanavyonyonyana mknd

Ova
 
Jamani mnafungulia mini nyuzi Kama hamtaki kutoa connection? So Bora mle kimya tu, dah nimechukia Sana aiseeee
Dah,mkuu unalia kwa uchungu...ingia mjini twitter ukajionee humu utakula ban la miaka....
 
Pia nimeingia Twitter sijauona mzigo, Tatizo tittle
Sampl hyooo tukiweka humu ban inatuhusu haha

Ova
Screenshot_20221228-163517_Photos.jpg
 
Kwa hiyo na wewe siku ukiamua kuwakusanya wenzako wawili watatu, mkavaa jezi za simba na kujirekidi mkicheza uchi; nitakuwa sahihi kuja na mada ya kuwahusisha mashabiki wa simba na huo upuuzi?

Hivi hata idadi tu ya mashabiki wa Yanga unaifahamu kweli?
Sasa pale kuna jezi za simba au za utopolo?

Jiheshimu mkuu......
Simba SC hawawezi kufanya ujinga huo,kwanini kila siku nyinyi tu...

1.Mama J

2.Kabwili akafukuliwa tope

3.Hii mpyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa


Utopolo hawajielewi.

Ova
 
Sasa pale kuna jezi za simba au za utopolo?

Jiheshimu mkuu......
Simba SC hawawezi kufanya ujinga huo,kwanini kila siku nyinyi tu...

1.Mama J

2.Kabwili akafukuliwa tope

3.Hii mpyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa


Utopolo hawajielewi.

Ova
Utopolo uhuni mwingi sana

Na vibao kata vyao

Ova
 
Sasa pale kuna jezi za simba au za utopolo?

Jiheshimu mkuu......
Simba SC hawawezi kufanya ujinga huo,kwanini kila siku nyinyi tu...

1.Mama J

2.Kabwili akafukuliwa tope

3.Hii mpyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa


Utopolo hawajielewi.

Ova
hapa utasemaje?
IMG_20220826_200500.jpg
 
Back
Top Bottom