Mashaka makubwa kuhusu ujio wa ndege kubwa duniani Antonov 124 iliyotua na kuondoka KIA Desemba 22

Achana na mwarabu, mwarabu hashindwi kitu wew, mtu anaangiza makontena 50,000 ya udongo kutoka nchi tofaut tofaut. ashindwe kuwalisha majani tembo, anaweza akayaoteshe yey mwenyew na akawalisha.
 
Ila hili nchi ni la kiboya. Huyo Mkurugenzi hakuhakiki barua yako kabla kuiachia.

Kulikuwa na haja gani ya kurudia tarehe ya kutua katika aya ya pili kama vile anaweka msisitizo kuwa ilishawahi kutua kabla ya tarehe 22???

Mchecheto wa kuficha ujangili mpaka wanachapia.

Inaelekea waarabu wanapenda sana wanyama pori maana kama sio Oman basi UAE.
 
Mtu akitembea na mkeo kwani anaondoka nayo? Si anapita tu na kujuachia we uendelee nayo sasa kwani we unaathirika nini?
 
Ni Mwakatobe au Mwakatombe. Wanyakyusa bhana! TRAB na TRAT.
 
Shida ni ndege kupakia? Ama hio barua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…