Mashaka makubwa kuhusu ujio wa ndege kubwa duniani Antonov 124 iliyotua na kuondoka KIA Desemba 22

Mashaka makubwa kuhusu ujio wa ndege kubwa duniani Antonov 124 iliyotua na kuondoka KIA Desemba 22

shamba la bibi magu alilifanya listawi vizuri sasa wamekuja kulivunaaa kama kawaaa...!! yani ndege kubwa kama ile ije kuleta mizigo ya wataliii fwakeni kabisaa sijui wanatuonaje hawaa wahuniii...yani upigaji umerudi nje njeee.
 
shamba la bibi magu alilifanya listawi vizuri sasa wamekuja kulivunaaa kama kawaaa...!! yani ndege kubwa kama ile ije kuleta mizigo ya wataliii fwakeni kabisaa sijui wanatuonaje hawaa wahuniii...yani upigaji umerudi nje njeee.
Kuna mdau kasema! Lilikuwa services kwahiyo wanalifanyia testing mafundi
 
Tujadili nini sasa, mbuzi kwy gunia?

Tujadili wanyama hai?, Tanzanite?, mauwa?, wafanyakazi wa ndani?, makinikia?

Mlinzi wa.mipaka ya nchi ni nani? TRA au SUMA JKT?

Kama wanakamata ndege zetu na sisi pia tungejifidia na hiyo.
Sina hakika kama tuna sheria ya uhujumu uchumi na ile ya utaifishaji.
 
Rasilimali kwa ajili ya feature ya watoto wenu ba wajukuu zinaporwa wewe uko busyna utani? Ficheni ujinga wako
Limekuja limebeba kutuletea vibinti vya kizungu tuvinyandue na kuvipigiga miti kwa kupokezana mbugani huko
 
SIKU za karibuni kumezuka mjadala mkubwa sana kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii ikilionyesha dege kubwa linalodaiwa kuwa limepaki uwanja wa ndege wa KIA.

Dege hilo kwa mujibu wa wachambuzi wa mitandaoni wanadai kuwa huenda liko pale kwa lengo la kupakia wanyama kwenda uarabuni.

Msemaji Mkuu wa Serikali kuna umuhimu wa kujitokeza hadharani kuelezea suala hili ili kuondoa sintofahamu iliyopo kuhusu Dege hilo.
 
Ulitaka wabebe mizoga?

JF kuna umbeya kupitiliza
 
SIKU za karibuni kumezuka mjadala mkubwa sana kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii ikilionyesha dege kubwa linalodaiwa kuwa limepaki uwanja wa ndege wa KIA.

Dege hilo kwa mujibu wa wachambuzi wa mitandaoni wanadai kuwa huenda liko pale kwa lengo la kupakia wanyama kwenda uarabuni.

Msemaji Mkuu wa Serikali kuna umuhimu wa kujitokeza hadharani kuelezea suala hili ili kuondoa sintofahamu iliyopo kuhusu Dege hilo.
20221226_125459.jpg
 
Mikakati na mipango ya KIA KADCO kuongeza mzigo toka kilo milioni 3 inayopitia kiwanja cha ndege cha kimataifa cha Kilimanjaro hadi kufikia kilo millioni 4 mwaka 2022 / 2023 yaainishwa kwa kina.

Waandishi wa habari wakoshwa na kupiga makofi baada ya kusikia taarifa hiyo ya kina.
 
Back
Top Bottom