Mashaka makubwa kuhusu ujio wa ndege kubwa duniani Antonov 124 iliyotua na kuondoka KIA Desemba 22

Mashaka makubwa kuhusu ujio wa ndege kubwa duniani Antonov 124 iliyotua na kuondoka KIA Desemba 22

Nakumbuka aliyeanzisha hii mada aliandika "bye" tu.. alipoeleza kwa kichwa..

JF ipo juu sana ina nguvu.. naona na maelezo yametolewa..

JF Oyeeeeeee
 
Taarifa yabhao Kadco haijasema walikuja kushusha nini. Mara ya mwisho dege kama hilo lilileta mitambo ya kufaua umeme wa dharura, basi hata sasa watakuwa wameleta Dowans mpya!
 
Ufafanuzi wa mamlaka ndio umeniacha hoi zaidi nakuhisi kweli kunakitu
Yaani mimi ndio nimeshangaa kweli, yaani hawajasema mteja gami, mzigo gani.

Hayo ni majenereta ya kukodi ya kufua umeme wa dharura.

Mara ya mwisho liliwahi kuleta majenereta ya kukodi
 
Yaani mimi ndio nimeshangaa kweli, yaani hawajasema mteja gami, mzigo gani.

Hayo ni majenereta ya kukodi ya kufua umeme wa dharura.

Mara ya mwisho liliwahi kuleta majenereta ya kukodi
Picha limeanza
 
Taarifa yabhao Kadco haijasema walikuja kushusha nini. Mara ya mwisho dege kama hilo lilileta mitambo ya kufaua umeme wa dharura, basi hata sasa watakuwa wameleta Dowans mpya!
Inawezekana
 
Kuna ndege kubwa sana ilitua na kuondoka uwanja wa ndege wa Kilimanjaro tarehe 22 December!

Ndege ile ni miongoni mwa madege makubwa matano tu duniani (MAXIMUM S AIR CARGO) inaitwa Antonov AN -225

Dege hilo kama likiamua kubeba watu basi ni wastani wa watu siyo chini ya elfu tatu na zaidi!

Lakini kwakuwa ni la mizigo basi linauwezo wa kubeba kilo laki moja na elfu hamsini na sita (156,000kg)

Gharama ya kuendesha ndege hii inazidi mara kumi na tano (~18) ya gharama za kuendesha ndege ile kubwa kabisa ya Air Tanzania ambayo inakwenda China!

Swali na wasiwasi wangu je hiyo ndege kubwa namna ile inawezaje kuja kutua KIA kwa kubeba vi nguo vya watalii?

Nguo na mabegi ambayo yanaweza kubebwa na ndege za kawaida Leo hii yabebwe kwenye hilo dubwana kubwa namna hiyo kwa faida ya nani basi kuna watu wnapesa za kuchezea!

Siku zote madege na meli kubwa huwa tunaoneshwa picha za ndani likija na likiondoka lakini hili dege sijui hata lilikuja limebeba nini na liliondoka limebeba nini mimi sijui!

Labda wataalam mtusaidie kutuambia liliondoka limebeba nini!
maana hii nisawa na mtu ageuze BUS kuwa TAX halafu tuone kawaida! hata kama jeuri ya pesa Inatia mashaka!

Ukiunganisha na dot za mwamba aliyekuwa anasherekea bezidei mbugani juzikati mashaka yanazidi.

----
UFAFANUZI WA MAMLAKA YA USIMAMIZI WA UWANJA WA KIA

Kwa Russians ni kawaida sana hio antonov kuwa hired private, kama charter flight, this is so commoy among Russian tycoons, this can be seen so often in northern Africa beach destinations like sham elishekh , relax bro those are Russians the big spenders
 
Back
Top Bottom