Mashaka makubwa kuhusu ujio wa ndege kubwa duniani Antonov 124 iliyotua na kuondoka KIA Desemba 22

Hiyo katiba wao ndiyo washika mpini unazani watageuzia kwao? Hilo sahau itakuja ya hovyo hovyo bora hata iliopo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mashine inayosifika kwa kuweza kubeba idadi kubwa ya wanyamapori imetua tena Kia sijajua safari hii wataenda wangapi? Ndugu zangu hapo JRO vipi? Mmeiona hiyo chuma?

View attachment 2458542
Humu kulivyo na mapoyoyo hata huu ushuzi watauchangia. Hii nchi kuna mapumbavu mengi sana. Anatokea mpuuzi kuleta uzushi km anaharisha wanatoka mapumbavu yanamwunga mkono. JF imevamiwa.
 
lumumba mnabadili gia angani
 
Hii inafanana na C-5 galaxy ya wamarekani, wenye uwezo wa kuwa nayo ni wamarekani wenyewe, uingereza, na washirika wao wa ghuba ya uarabuni....

Mmarekani na uingereza wanakutumia kwa matumizi ya kijeshi... hii itakuwa imetoka uarabuni wamekuja kuchukua vyao baada ya kuwatembezea bakuli.
 

Research inchi ambazo zina sifika Kwa utalii mkubwa kama wanaweza kufanya haya unayoyasema hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…