Mashaka makubwa kuhusu ujio wa ndege kubwa duniani Antonov 124 iliyotua na kuondoka KIA Desemba 22

Mashaka makubwa kuhusu ujio wa ndege kubwa duniani Antonov 124 iliyotua na kuondoka KIA Desemba 22

Mashine inayosifika kwa kuweza kubeba idadi kubwa ya wanyamapori imetua tena Kia sijajua safari hii wataenda wangapi? Ndugu zangu hapo JRO vipi? Mmeiona hiyo chuma?

img-20221226-wa0012-jpg.2458542
Wenye biashara hiyo wamerudi madarakani na kinara wao anaongozs kwa rimoti.
 
wale wanaoliwa na simba na chui huwa sio urithi wenu? wanyama hawapo Tanzania tu, kule south africa kuna watu wanamiliki mbuga kabisa, mfano Kruger ni mbuga kama serengeti hivi inamilikiwa na familia ya mtu. zimbabwe kuna wanyama, botswana, zambia, kenya, uganda etc, savanah yote kuna wanyama. sehemu pekee unayotakiwa kuogopa kwamba wanyama wakienda watasavaivu ni baadhi ya maeneo ya Australia kule ambako kuna savanah climate achana na yale yenye jangwa.

najaribu kuongea hivi ili kujiburudisha nisiumie moyo kwasababu nisononeke au nisisononeke watabeba tu wanyama. kwani wale waliofika uarabuni wamefikaje? maisha ni mafupi utakufa utawaacha hao wanyama, we furahia maisha, mtu akikuumiza moyo potezea angalia namna unavyoweza kuwaza ufurahishe nafsi maisha yako yaendelee hasa kama hauna uwezo wowote kuzuia au kuwafanya kitu hao wenye mamlaka.
Akili yako aiseee, wewe utakuwa kwenye 80+
 
Mashine inayosifika kwa kuweza kubeba idadi kubwa ya wanyamapori imetua tena Kia sijajua safari hii wataenda wangapi? Ndugu zangu hapo JRO vipi? Mmeiona hiyo chuma?

img-20221226-wa0012-jpg.2458542
Unganisha doti...
Sisi tuliamua kukubali kuhamishwa kwenda huku maeneo husika ya Tanga nadhani tumetoa fursa Kwa upande ike ingine..
 
Huu ndio ujinga wa kufuata mkumbo.Mzushi anachukua picha Wikipedia na kudai ni KIA kwenye kichwa cha habari.Picha yenyewe ya ndege iliyowekwa ipo Czech Republic.
Bado manyumbu wakakurupuka na kuunga mkono huu uzushi.
Mbona maelezo ya kia wanasema ilikuwepo 22/12/2022
 
kuna uwezekano mkubwa wamekuja kubeba wanyama kupeleka uarabuni. lakini hata hivyo, basi tu, ukweli ni kwamba tunao wanyama wengi sana hata wakibeba hawapunguzi kitu, na hata wakipeleka kwao sio kwamba watalii wataisha kuja hapa kwasababu wanyama hapa wapo kwenye asili yao, kule wanapelekwa kuwa kama zoo, na watalii wengi wanapenda kuwaona wanyama katika asili yao. kama mtz sipendi wafanya hivyo lakini hata wakifanya hatuathiriki saaana.
Mmeanza kutetea ujinga ko kwa akili yako unazani taifa ndio linaenda kupata faida?? Pia unaamini hii ni nibiashara kama biashara zingine?

Watanzania sijui usomi wetu Uko wapi,Kuna mtu aliwapeleka chato tuu, weeee zilisikika kerere za kila aina afu Leo wanategemea kuvushwa ktk mipaka ya nchi anatokea mtu anasema wako wengi, ety ni sawa tuu .. dah safari yetu kama taifa ndefu sana.

Nlitegemea kusikia impact ya royal tour kuwa watalii watashuka kwenye hilo dege ,afu usikie ety wamekuja kubeba? Rip Magufuli
 
Hiyo ni ya abiria na imetua dar.

Inayozungumziwa ni ya mizigo na imetua kia karibu na mbuga za wanyama.

Kutokana na hapo awali kuwepo kwa kutukio kama hilo watu wana haki kuuliza baada ya kuona viashiria kama vya awali.
Ndege ya abiria isiyo na madirisha.
 
wale wanaoliwa na simba na chui huwa sio urithi wenu? wanyama hawapo Tanzania tu, kule south africa kuna watu wanamiliki mbuga kabisa, mfano Kruger ni mbuga kama serengeti hivi inamilikiwa na familia ya mtu. zimbabwe kuna wanyama, botswana, zambia, kenya, uganda etc, savanah yote kuna wanyama. sehemu pekee unayotakiwa kuogopa kwamba wanyama wakienda watasavaivu ni baadhi ya maeneo ya Australia kule ambako kuna savanah climate achana na yale yenye jangwa.

najaribu kuongea hivi ili kujiburudisha nisiumie moyo kwasababu nisononeke au nisisononeke watabeba tu wanyama. kwani wale waliofika uarabuni wamefikaje? maisha ni mafupi utakufa utawaacha hao wanyama, we furahia maisha, mtu akikuumiza moyo potezea angalia namna unavyoweza kuwaza ufurahishe nafsi maisha yako yaendelee hasa kama hauna uwezo wowote kuzuia au kuwafanya kitu hao wenye mamlaka.
We kalale tunaojua kupiga kerere acha tupige tuu ,ko ndio kusema hata mleta mada alipaswa kukaa kimya?? Leo tungejadili??
 
Haya ndiyo Yale matokeo ya kuhamisha wananchi Kwa nguvu pale Loliondo..... Wenye eneo Lao wamekuja kubeba twiga wao... Na wanyama wengineo.....

Mungu atunusuru...[emoji24][emoji24]
 
Back
Top Bottom