Wenye biashara hiyo wamerudi madarakani na kinara wao anaongozs kwa rimoti.Mashine inayosifika kwa kuweza kubeba idadi kubwa ya wanyamapori imetua tena Kia sijajua safari hii wataenda wangapi? Ndugu zangu hapo JRO vipi? Mmeiona hiyo chuma?
![]()
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenye biashara hiyo wamerudi madarakani na kinara wao anaongozs kwa rimoti.Mashine inayosifika kwa kuweza kubeba idadi kubwa ya wanyamapori imetua tena Kia sijajua safari hii wataenda wangapi? Ndugu zangu hapo JRO vipi? Mmeiona hiyo chuma?
![]()
na hatuwezi ondoa kabisa uzoefu, kila taarifa ina msaada kujia jambo flani, hata kama sio ya kweliExperience doesnt count all the time. Ni vema ukapata taarifa sahihi ndege imekuja kufanya nn badala ya ku speculate
Hiyo ni ya abiria na imetua dar.
Akili yako aiseee, wewe utakuwa kwenye 80+wale wanaoliwa na simba na chui huwa sio urithi wenu? wanyama hawapo Tanzania tu, kule south africa kuna watu wanamiliki mbuga kabisa, mfano Kruger ni mbuga kama serengeti hivi inamilikiwa na familia ya mtu. zimbabwe kuna wanyama, botswana, zambia, kenya, uganda etc, savanah yote kuna wanyama. sehemu pekee unayotakiwa kuogopa kwamba wanyama wakienda watasavaivu ni baadhi ya maeneo ya Australia kule ambako kuna savanah climate achana na yale yenye jangwa.
najaribu kuongea hivi ili kujiburudisha nisiumie moyo kwasababu nisononeke au nisisononeke watabeba tu wanyama. kwani wale waliofika uarabuni wamefikaje? maisha ni mafupi utakufa utawaacha hao wanyama, we furahia maisha, mtu akikuumiza moyo potezea angalia namna unavyoweza kuwaza ufurahishe nafsi maisha yako yaendelee hasa kama hauna uwezo wowote kuzuia au kuwafanya kitu hao wenye mamlaka.
Wewe unadhani lile dude ni sawa na Zacharia trans.Kupaki imekuwa kosa!, labda dereva kabanwa na haja ndogo kashuka kuchimba dawa!, leteni habari kamili sio hizi za kipashkuna.
Tatizo sio kuuza tatizo hyo ela inaingia mfuko gani? Unadhani kinana pale juu yupo kwa ajili ya chama? Hzo ndo sector zake zoefu. Apewe uwaziri wa wanyama pori na utoroshwaji. Wizara mpya
Unganisha doti...Mashine inayosifika kwa kuweza kubeba idadi kubwa ya wanyamapori imetua tena Kia sijajua safari hii wataenda wangapi? Ndugu zangu hapo JRO vipi? Mmeiona hiyo chuma?
![]()
Mbona maelezo ya kia wanasema ilikuwepo 22/12/2022Huu ndio ujinga wa kufuata mkumbo.Mzushi anachukua picha Wikipedia na kudai ni KIA kwenye kichwa cha habari.Picha yenyewe ya ndege iliyowekwa ipo Czech Republic.
Bado manyumbu wakakurupuka na kuunga mkono huu uzushi.
Mmeanza kutetea ujinga ko kwa akili yako unazani taifa ndio linaenda kupata faida?? Pia unaamini hii ni nibiashara kama biashara zingine?kuna uwezekano mkubwa wamekuja kubeba wanyama kupeleka uarabuni. lakini hata hivyo, basi tu, ukweli ni kwamba tunao wanyama wengi sana hata wakibeba hawapunguzi kitu, na hata wakipeleka kwao sio kwamba watalii wataisha kuja hapa kwasababu wanyama hapa wapo kwenye asili yao, kule wanapelekwa kuwa kama zoo, na watalii wengi wanapenda kuwaona wanyama katika asili yao. kama mtz sipendi wafanya hivyo lakini hata wakifanya hatuathiriki saaana.
Ndege ya abiria isiyo na madirisha.Hiyo ni ya abiria na imetua dar.
Inayozungumziwa ni ya mizigo na imetua kia karibu na mbuga za wanyama.
Kutokana na hapo awali kuwepo kwa kutukio kama hilo watu wana haki kuuliza baada ya kuona viashiria kama vya awali.
We kalale tunaojua kupiga kerere acha tupige tuu ,ko ndio kusema hata mleta mada alipaswa kukaa kimya?? Leo tungejadili??wale wanaoliwa na simba na chui huwa sio urithi wenu? wanyama hawapo Tanzania tu, kule south africa kuna watu wanamiliki mbuga kabisa, mfano Kruger ni mbuga kama serengeti hivi inamilikiwa na familia ya mtu. zimbabwe kuna wanyama, botswana, zambia, kenya, uganda etc, savanah yote kuna wanyama. sehemu pekee unayotakiwa kuogopa kwamba wanyama wakienda watasavaivu ni baadhi ya maeneo ya Australia kule ambako kuna savanah climate achana na yale yenye jangwa.
najaribu kuongea hivi ili kujiburudisha nisiumie moyo kwasababu nisononeke au nisisononeke watabeba tu wanyama. kwani wale waliofika uarabuni wamefikaje? maisha ni mafupi utakufa utawaacha hao wanyama, we furahia maisha, mtu akikuumiza moyo potezea angalia namna unavyoweza kuwaza ufurahishe nafsi maisha yako yaendelee hasa kama hauna uwezo wowote kuzuia au kuwafanya kitu hao wenye mamlaka.
We ndio kizibo kwani umehakikishiwa kuwa imeondoka hivi hivi? Ko ako ka statement ndio kamekuweka huru?Kaka Msigwa asante kwa ufafanuzi maana kuna vizibo humu JF wanatabiria wanyama wetu.. sasa natoka kaka mie...
Huyu Baba Alifanya Kazi chap ChapR.i.P John
Reasoning capacity za watu wengi zimejaa moshi wa Sigara. Badala alete hoja mathubuti anaongea just simple tu.Ukiwa tahira, huwezi kuona shida endapo mamlaka tunazoziamini zinatoa taarifa za uongo!
👇Hiyo ni ya abiria na imetua dar.
Inayozungumziwa ni ya mizigo na imetua kia karibu na mbuga za wanyama.
Kutokana na hapo awali kuwepo kwa kutukio kama hilo watu wana haki kuuliza baada ya kuona viashiria kama vya awali.
Kiboko ni nyama safi sana na nitamu sana kiongoziHv hayo madude hayafai kula kama kitoweo, wawapelekee wabarbaigi wayale kuliko kuuza nje!