Mashallah Zarina Hassan kaolewa

Kuchelewa kupo hata kwa wanaume, umazaa mtoto wa kwanza na miaka 45, si utaitwa Babu na huyo mwanao
 
Inawezekana ni zaidi ya hizo[emoji28]
Japo mimi nazungumzia kule alikomjengea Mama yake...
Possible kabisaa...
Nadhani wasanii wa bongo Kwa Hela Hakim aka Nassib Abdul[emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526]anaongoza
Ana vitega uchumi vingi ACHA nyumba za Kigoma hukoo
Tuwekeni tu unaafiki pembeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…