Mashariki ya kati: IDF ilituma zaidi ya ndege za kivita 100 Tehran kushambulia kambi za kijeshi zaidi ya 20

Tuonesheni na hizo ndege zilivyojamba kwenye anga la Irani. Maana juzi nasrallah mlionesha hadi dakika zake za mwisho 😁! Tuonesheni na ndege au ndo mnaedit mzigo kwanza kwenye fotoshop.🤣
Kila kitu kwa wakati wake.
 
Hakuna walichofanya, Cha kuchekesha Israel katuma ujumbe UAE wawaambie Iran wasijibu,huko Israel kwenyewe wanalimbana shambulio la kioga,lair lapid kamaind sana
Ndege 140 zemeenda zimepiga na zimerudi Israel hicho ndio muhimu zingine porojo tu.
 
Mkuu ujue Ayatollah akishasema huwa hatanii.

Licha ya Israel kufeli vibaya kwenye shambulizi lao tusubiri tamko la Ayatollah maana safari hii atazisaga kambi zote za kijeshi za Israel hakitabaki kitu.😂😂
 
Ndege 140,target 3, makombora yametunguliwa,ndege hazikuingia Iran,kila mtu duniani anaitaka Iran isilipize, ayatollah katulia tu akivuta uradi
Iko wapi Source yako? Mimi source yangu ni TIMES RADIO.

Huo uwezo wa kutuma Ndege 140 umeonyesha kuwa Ayatolah Air Defenses ni za Hovyo.

Ayatolah hawezi kutuma hata Ndege moja kwenye Anga la Israel ndege zake ni Phantom 5 alizonunua Shah wa Iran kutoka USA ni technology ya 1960s.

Israel sio kwamba hana Ballistic Missiles anazo sema ameamua kumuaibisha Ayatolah.
 
Hizo ndege za USA, zingine f16 toka ujerumani aliagiza juzi zikatia timu Saudia,na ndege hazikuingia Iran, zimetumia anga la Syria na Iraq,wamefanya awamu tatu za mashambulizi mpaka alfajiri watu wanamalizia swala,ilipaswa iwe kishindo kikubwa lakini wapi, Iran wenyewe walikua wanashangalia namna air defense yao ilivyofanya vizuri, Israel akili kumkichwa kwa Iran kwa Sasa,anajua Iran ni nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…