Masharti nafuu tunayopewa na China

China ni marafiki zetu wa enzi na enzi na kwa sasa wanajitanua zaidi duniani na wanaoushawishi mkubwa kuliko USA. Hawanaga kazi mbovu
Lakini USA ambao sio marafiki wenu ndio wanawapa condoms, wanawajengea vyoo, ARV, vyandarua bila kisahau ujenzi wa barabara!!

Na zaidi ya yote ndiye aliye tengeneza simu anayotumia magufuli.
 
Hivi Mordi si aliahidi kuwa watanunua tani kwa tani za choroko, dengu, korosho n.k?.....sijui ni kiasi gani imefikiwa.
 
Bagamoyo port haikuwa loan ilikuwa ni FDI
 
China ni marafiki zetu wa enzi na enzi na kwa sasa wanajitanua zaidi duniani na wanaoushawishi mkubwa kuliko USA. Hawanaga kazi mbovu
Kabisa aisee kama yutong zilivyo bora kuliko scania au foton zilivyo imara kuliko hilux vigo!!!
 
Kati ya mtu wa kuwa waangalifu naye duniani ni Mchina!!

Mchina bwana hakatai dili...na hamshindwani bei..hata ukitaka daraja ajenge kwa buku atalijenga tu. 😀😀😀
 
Hayo ndio masharti?
 
Sawa je mashrti nafuu toka China ni yapi?
 
Masharti nafuu ni kutokuhoji demokrasia na Utawala bora. Masharti magumu ni kuhoji mambo ya demokrasia na Utawala bora.
Kwahivo kwanini China inataka tusihoji mambo hayo?
 
Sasa bora lipi mkuu
 
Aisee mbona umegusa kila angle?
 
china ina mahesabu makali kwenye huo mkopo wa masharti nafuu
anyway wacha tuone vile tutaambiwa
 
Hivi Mordi si aliahidi kuwa watanunua tani kwa tani za choroko, dengu, korosho n.k?.....sijui ni kiasi gani imefikiwa.
Sifahamu wananunua kiasi gani, lakini ni rahisi sana kuangalia/check na Wizara, watakuwa na figures za mauzo ya mwaka jana na huu unaoisha.
 
Mkuu unafaidika vipi na kutujazia uongo mrefu namna hii hapa?
 
Stori yako haiendani na uhalisia
 
Sawa je mashrti nafuu toka China ni yapi?
Masharti nafuu kwa China ni kwamba utapata mkopo bila vizingiti, faster faster.na kwa riba ndogo.
Lakini kwa undani ukishindwa kulipa atakupa mbadala wake.Na huo mbadala atataka kitu kinachokuigizia faida amilikishwe yeye.
Kukopa harusi kulipa matanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…