Masharti ya Hamas kuanza kutekelezwa mwanzo.Malori 200 ya misaada kila siku kwa siku nne kuingia Gaza

Masharti ya Hamas kuanza kutekelezwa mwanzo.Malori 200 ya misaada kila siku kwa siku nne kuingia Gaza

Rabbi uchwara tambua haya:

1. Kuongelea haki hakuna u nasaba na mhanga.

2. HAMAS Hana vita na watoto, wanawake au wasiohusika.

3. Israel ni taifa pekee duniani lenye kuwakamata, kuwatesa na kuwafikisha watoto 12 - 17 kwenye court marshalls.

4. Pamoja na yote HAMAS hawakuwaua mateka.

5. Kwenye masharti ya HAMAS Israel ana lazimishwa kuwaachia wanawake na watoto anaowashikilia magerezani.

6. Kuwashikilia watoto magerezani ni uhalifu dhidi ya binadamu.

7. Nk

Yote hapo juu yanadhihirisha shwetwani ni nani.
Israel hakuua mateka ndio maana anao wengi na ndio baadhi yake wanabadilishana na Hamas. Unasema Hamas hana shida na wanawake na watoto, ila umejiuliza Hamas katoa wapi wanawake na watoto anabadilishana na Israel ?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Israel hakuua mateka ndio maana anao wengi na ndio baadhi yake wanabadilishana na Hamas. Unasema Hamas hana shida na wanawake na watoto, ila umejiuliza Hamas katoa wapi wanawake na watoto anabadilishana na Israel ?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app

1. Kumbe Israel anao mateka? Wa nini na kutokea wapi?

2. HAMAS hana shida na wanawake ndiyo maana kumwonyesha Israel hilo kawachukua wake na sasa anamwonyesha kulikoni kushikilia hao? Tuwaachie wote!

3. Unadhani bIla HAMAS kuwashikilia hawa Israel ingekubali mazungumzo ya kumwachia yeyote mikononi mwake?

4. Angetaka kuwauwa kama anavyouwa Israel na kuwanyima watu chakula wangeachiwa hawa hai na afya zao?

5. Aluta continua!

IMG_1567.jpg
 
Wewe kweli punguani wameuwa watoto 6000 kwa mabomu watoto 12000 wamefunikiwa na vifusi hapo ndiyo wanaubinadamu daaah,
Punguani ni wewe na uzao wako kwa kuwa na akili fupi na uwezo mdogo wa kutafakari. Wewe na punguani wenzako mshauriane muache kutumia watoto kama defense waambie punguani wenzio watoke mbele wapambane na IDF pinguani wahed
 
Back
Top Bottom