Tetesi: Masharti ya mikopo yameikumba Tanzania, kupata mkopo sharti Makamu wa Rais atokee upinzani

Tetesi: Masharti ya mikopo yameikumba Tanzania, kupata mkopo sharti Makamu wa Rais atokee upinzani

Mkuu,

Anayewapima hivi wapinzani ni ccm ama ni wananchi?

Kama ni ccm sawa, lakini wananchi walishawakataa nynyi ccm kwa sanduku la kura,

Huwa mnagalagazwa saana, hizo nguvu mnazotumia kupitia dola ndizo zinazowafanya kusema haya leo,

Lakini nyinyi mnaongoza nchi badala yaa!!
Kisamv,

Upinzani una hype kubwa maeneo ya mijini, ambapo pia CCM wanawafuasi wao na sio kidogo. Hivyo mjini ndio sehemu pekee wapinzani wanaweza kumenyana na CCM kwenye sanduku la kura. Ukitoka maeneo ya nje ya mji kidogo tu, watu huwaambii kitu kuhusu CCM. Wapinzani hawana wagombea wa kutosha wenye uwezo wa kuleta ushindani maeneo yote, isipokua tu wanajitahidi sana kuleta vurugu maaeneo ya majini maana ndio sehemu wamechagua kujenga taswira ya vyama vyao. Nikiangalia chama kikuu cha upinzani kwa karibu huwa najiuliza kwanini mwenyekiti habadiliki?, ni kwamba chama hakina imani na wanachama wengine? au ndio tuseme chama hakina mwenye ushawishi kama yeye? au labda yeye ndiye mwenye akili na nguvu kuliko mtu mwingine kwenye chama.

Huwezi kukiamini chama ambacho hakiamini katika misingi ya kidemokrasia, chama ambacho kinategemea mtu mmoja tu, ni hatari kwa maendeleo ya nchi. Upinzani bado sana Tanzania, inabidi wajipange.
 
Asanteni wazungu juu yahili, naombea liwe ni kweli.

Tulikuwa watoto mpaka tunataka kuzeeka, hatujawahi kuona nafuu ya maisha chini ya serikali inayoongozwa na ccm miaka zaidi ya 60.

Maji tu yamewashinda, umeme ndio usiseme, suala la afya ni jambo la anasa kwetu, ukiuumwa na huna pesa, hata kama ulikuwa ni wa kupona, ndio basi tena, hata ukipona, bili yake mtaichanga ukoo mzima na mtadaiwa bado".

Shule zetu sasa, mtoto anaingia shule hajui kusoma na kuandika, anasoma miaka saba anarudi hajui kusoma na kuandika, hii ndio CCM.

Kwa aina ya mkopo huu; walau watanzania twaweza anza kuuona mwezi na mambo yakaenda sawa!
Blessings in the disguise!

Ila kama Katiba ni hii hii utabadilisha chama na watu mambo yatabaki vile vile...Uzuri ni kuwa tutaondoa baadhi ya watu wnaaodhani wao ni royal families
 
Blessings in the disguise!

Ila kama Katiba ni hii hii utabadilisha chama na watu mambo yatabaki vile vile...Uzuri ni kuwa tutaondoa baadhi ya watu wnaaodhani wao ni royal families
Nafuu ya maisha inaonekana. Niliwahi kusafiri wakati wa mvua kwa roli na maiti ya mfanyakazi mwenzetu kutoka Dodoma Jumapili jioni tukafika Musoma Jumatano asubuhi wakati tulikuwa tunasafiri usiku na mchana. Sasa hivi Dodoma Musoma hata saa 10 hazifiki
 
Hatuwezi kuongozwa na chadema ng'o sisi sio wendawazimu..

Haitokuja tokea labda waunde chama kipya .
 
Hii itakuwa shida kwa upande mmoja, na sio shida kwa upande mwingine.

Shida itakuwa ni kukubali kuingiliwa na mabeberu. Hilo ni jambo baya zaidi linalofanana na lile la Rais kukubali kuchanjwa ili apate mikopo ya mabeberu.

Haitakuwa shida kwa kuwa vyama vya upinzani vipo vingi, na CCM haitashindwa kutengeneza pandikizi la kuliteua.

Lakini ajenda kuu ya jambo kama hili itakuwa ni kwa mabeberu kuendelea kutudhalilisha. Na pia watafanya mpango wa kumuua Rais wa CCM siku moja ili mpinzani achukuwe nchi.

Wameshatusoma kuwa tunaheshimu katiba ndo maana sasa hivi tunaongozwa na mwanamke. Katika hali ya kawaida mwanamke asingeweza kuwa Rais wa Tanzania hata ipite miak 100.

Sasa wanataka kutuingilia zaidi na kutuvuruga kabisa.

Demokrasia wanayopigia kelele wazungu haina maana sana kwetu sisi, zaidi ya kwao wao. Kwao itawasaidia sana kutuvuruga wakati wowote wakitaka kwa kumpa hela mtu wanayemtaka awe kiongozi wetu.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Hii itakuwa shida kwa upande mmoja, na sio shida kwa upande mwingine.

Shida itakuwa ni kukubali kuingiliwa na mabeberu. Hilo ni jambo baya zaidi linalofanana na lile la Rais kukubali kuchanjwa ili apate mikopo ya mabeberu.

Haitakuwa shida kwa kuwa vyama vya upinzani vipo vingi, na CCM haitashindwa kutengeneza pandikizi la kuliteua.

Lakini ajenda kuu ya jambo kama hili itakuwa ni kwa mabeberu kuendelea kutudhalilisha. Na pia watafanya mpango wa kumuua Rais wa CCM siku moja ili mpinzani achukuwe nchi.

Wameshatusoma kuwa tunaheshimu katiba ndo maana sasa hivi tunaongozwa na mwanamke. Katika hali ya kawaida mwanamke asingeweza kuwa Rais wa Tanzania hata ipite miak 100.

Sasa wanataka kutuingilia zaidi na kutuvuruga kabisa.

Demokrasia wanayopigia kelele wazungu haina maana sana kwetu sisi, zaidi ya kwao wao. Kwao itawasaidia sana kutuvuruga wakati wowote wakitaka kwa kumpa hela mtu wanayemtaka awe kiongozi wetu.
Hao mabeberu si wanatumia akili? Kwanini na sisi tusitumie akili ili siku za usoni watuheshimu?
Tatizo wao wanatumia akili, sisi tunatumia matumbo yetu kulinganisha matakwa yao na yetu...Hapo ndipo tunapoingia chaka
 
Asanteni wazungu juu yahili, naombea liwe ni kweli.

Tulikuwa watoto mpaka tunataka kuzeeka, hatujawahi kuona nafuu ya maisha chini ya serikali inayoongozwa na ccm miaka zaidi ya 60.

Maji tu yamewashinda, umeme ndio usiseme, suala la afya ni jambo la anasa kwetu, ukiuumwa na huna pesa, hata kama ulikuwa ni wa kupona, ndio basi tena, hata ukipona, bili yake mtaichanga ukoo mzima na mtadaiwa bado".

Shule zetu sasa, mtoto anaingia shule hajui kusoma na kuandika, anasoma miaka saba anarudi hajui kusoma na kuandika, hii ndio CCM.

Kwa aina ya mkopo huu; walau watanzania twaweza anza kuuona mwezi na mambo yakaenda sawa!
Tanzania haijawahi kuongozwa kwa amri kutoka Bretton woods institutions, 10 downing street, Washington au Brussels. Ni msingi ulijengwa na Mwalimu Nyerere na Mzee Karume. Tanzania inaheshimu mataifa yote duniani lakini msingi wa Uhuru wetu hatuingiliwi katika siasa zetu za ndani. #Tujadili mambo yetu kama Watanzania tusilete vitisho vya kuingiza wazungu.🙏🙏🙏
 
Tanzania haijawahi kuongozwa kwa amri kutoka Bretton woods institutions, 10 downing street, Washington au Brussels. Ni msingi ulijengwa na Mwalimu Nyerere na Mzee Karume. Tanzania inaheshimu mataifa yote duniani lakini msingi wa Uhuru wetu hatuingiliwi katika siasa zetu za ndani. #Tujadili mambo yetu kama Watanzania tusilete vitisho vya kuingiza wazungu.🙏🙏🙏
Kwa nguvu zipi ulizonazo za kuwapinga mabeberu mkuu!
 
Asanteni wazungu juu yahili, naombea liwe ni kweli.

Tulikuwa watoto mpaka tunataka kuzeeka, hatujawahi kuona nafuu ya maisha chini ya serikali inayoongozwa na ccm miaka zaidi ya 60.

Maji tu yamewashinda, umeme ndio usiseme, suala la afya ni jambo la anasa kwetu, ukiuumwa na huna pesa, hata kama ulikuwa ni wa kupona, ndio basi tena, hata ukipona, bili yake mtaichanga ukoo mzima na mtadaiwa bado".

Shule zetu sasa, mtoto anaingia shule hajui kusoma na kuandika, anasoma miaka saba anarudi hajui kusoma na kuandika, hii ndio CCM.

Kwa aina ya mkopo huu; walau watanzania twaweza anza kuuona mwezi na mambo yakaenda sawa!
We kisamvu ha kopo kweli yaani maisha yako yote unategemea serikali ndiyo ikuletee nafuu ya maisha waache kupeleka nafuu ya maisha kwao
 
Tanzania haijawahi kuongozwa kwa amri kutoka Bretton woods institutions, 10 downing street, Washington au Brussels. Ni msingi ulijengwa na Mwalimu Nyerere na Mzee Karume. Tanzania inaheshimu mataifa yote duniani lakini msingi wa Uhuru wetu hatuingiliwi katika siasa zetu za ndani. #Tujadili mambo yetu kama Watanzania tusilete vitisho vya kuingiza wazungu.🙏🙏🙏
Tatizo kuna mashimo yameshatobolewa ambamo panya wanaingia na kutoka
 
Mikopo ni initiative ya beberu mwenyewe kuzikamata masikio nchi maskini, kwa hiyo hakuna jipya hapo....
 
Haiwezi kusaidia chochote. Zenj makamu wa Rais ni uponzani imewasaidiaje hadi sasa?
 
Ni habari njema Sana hii kama itakuwa ya kweli
inategemea huyo mpinzani kuwa makamu wa raisi personal integrity yake ipo gado kiasi niga. kama alikuwa hana makochi kwao usitegemee atakujua wewe bila kutafuta makochi kwanza! wewe pigania katiba ya israel imtingishayo mtawala kama netanyahu mahakamani itutawale utaona uhondo !hao watoa mikopo wasisitishe mikopo mpaka nchi zote za africa ziwe na katiba imshitakiwayo raisi. hapo watatuokoa waafrica! wapulika iwe!
 
Back
Top Bottom