Mashehe na Maaskofu wanaohangaika kumuombea Dua Paul Makonda wanajisikiaje anapotajwa waziwazi kushiriki kushambulia watu?

Mashehe na Maaskofu wanaohangaika kumuombea Dua Paul Makonda wanajisikiaje anapotajwa waziwazi kushiriki kushambulia watu?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Kwenye Biblia Takatifu kuna andiko husomwa mara nyingi kwenye misiba na hasa wakati wa Mazishi, linaandikwa hivi' Msitake kuzijua habari za waliolala mauti, maana mkizijua Mtasononeka, Sina hakika kama nimepatia, kwa vile mimi si mjuzi sana wa mambo haya.

Wajuzi wanasema andiko hili linatuelekeza Wanadamu kumuachia Mungu habari za waliokufa, hii ni kwa sababu wako tuliowaheshimu sana na kuwaeleza Shida zetu, Wakiwemo Mashehe na Maaskofu ambao wakifa Watachomwa moto kwa dhambi na udhalimu wao, hata kama walivaa majoho, Hivyo basi Mungu anatuasa tusijue walikopelekwa baada ya kifo, maana tukijua tutasononeka.

Najiuliza sana kuhusu hawa Maaskofu na Mashehe wanaomkaribisha Makonda Mazabauni huwa wanajisikiaje Mtu huyu Muuaji anapotajwa hadharani, Au Mungu wa watu hawa si huyu Mungu tunayemuabudu siye wengine?

PIA SOMA
- Tundu Lissu: Aliyeongoza Kikosi cha wauaji walioagizwa kuniua ni Paul Makonda, ndio maana Marekani ilimzuia
 
Kwenye Biblia Takatifu kuna andiko husomwa mara nyingi kwenye misiba na hasa wakati wa Mazishi, linaandikwa hivi' Msitake kuzijua habari za waliolala mauti...
20240925_222509.jpg
 
Mgonjwa akienda kwa Dr lazima aeleze shida yake kisha kufanyiwa vipimo na baadae matibabu. Sasa tatizo linakuja pale unapotoa maelezo ya uongo. Mf una maumivu makali kwenye uti wa mgongo lkn wewe unamuambia Dr una maumivu makali kichwani. Dr atahangaika na hicho kichwa bila mafanikio.

Sasa huyu jamaa anakwenda Madhabahuni kwa uongo wa kuficha ukweli. Watumishi wa Mungu hudhani jamaa kaenda kutubu. Lkn Toba atakayohitaji ni ya tatizo tofauti kabisa. Hapo unategemea nn??
 
Najiuliza sana kuhusu hawa Maaskofu na Mashehe wanaomkaribisha Makonda Mazabauni huwa wanajisikiaje Mtu huyu Muuaji anapotajwa hadharani, Au Mungu wa watu hawa si huyu Mungu tunayemuabudu siye wengine?
Halafu huyo huyo Makonda akiwa UVCCM, aliongoza kundi la wahuni wenzake kumpiga makofi hadharani waziri mkuu na makamo wa rais mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba...
 
Kwenye Biblia Takatifu kuna andiko husomwa mara nyingi kwenye misiba na hasa wakati wa Mazishi, linaandikwa hivi' Msitake kuzijua habari za waliolala mauti, maana mkizijua Mtasononeka, Sina hakika kama nimepatia, kwa vile mimi si mjuzi sana wa mambo haya.

Wajuzi wanasema andiko hili linatuelekeza Wanadamu kumuachia Mungu habari za waliokufa, hii ni kwa sababu wako tuliowaheshimu sana na kuwaeleza Shida zetu, Wakiwemo Mashehe na Maaskofu ambao wakifa Watachomwa moto kwa dhambi na udhalimu wao, hata kama walivaa majoho, Hivyo basi Mungu anatuasa tusijue walikopelekwa baada ya kifo, maana tukijua tutasononeka.

Najiuliza sana kuhusu hawa Maaskofu na Mashehe wanaomkaribisha Makonda Mazabauni huwa wanajisikiaje Mtu huyu Muuaji anapotajwa hadharani, Au Mungu wa watu hawa si huyu Mungu tunayemuabudu siye wengine?

PIA SOMA
- Tundu Lissu: Aliyeongoza Kikosi cha wauaji walioagizwa kuniua ni Paul Makonda, ndio maana Marekani ilimzuia
ni wachawi tu hao,
 
Kwenye Biblia Takatifu kuna andiko husomwa mara nyingi kwenye misiba na hasa wakati wa Mazishi, linaandikwa hivi' Msitake kuzijua habari za waliolala mauti, maana mkizijua Mtasononeka, Sina hakika kama nimepatia, kwa vile mimi si mjuzi sana wa mambo haya.

Wajuzi wanasema andiko hili linatuelekeza Wanadamu kumuachia Mungu habari za waliokufa, hii ni kwa sababu wako tuliowaheshimu sana na kuwaeleza Shida zetu, Wakiwemo Mashehe na Maaskofu ambao wakifa Watachomwa moto kwa dhambi na udhalimu wao, hata kama walivaa majoho, Hivyo basi Mungu anatuasa tusijue walikopelekwa baada ya kifo, maana tukijua tutasononeka.

Najiuliza sana kuhusu hawa Maaskofu na Mashehe wanaomkaribisha Makonda Mazabauni huwa wanajisikiaje Mtu huyu Muuaji anapotajwa hadharani, Au Mungu wa watu hawa si huyu Mungu tunayemuabudu siye wengine?

PIA SOMA
- Tundu Lissu: Aliyeongoza Kikosi cha wauaji walioagizwa kuniua ni Paul Makonda, ndio maana Marekani ilimzuia
CCM na serikali wame invest heavily kwa shetani huyo ili kulinda aibu yao. Lakini pamoja na hayo, taratibu jini linaanza kufosi kutoka ndani ya chupa....

Hivyo wanalipwa mapesa ili wamfanyie promotion na huo wanaofanyia wala hata siyo maombi bali uchawi uliopakwa chokaa ya "ibada" au "maombi" au "dini...."
 
Back
Top Bottom