Mashehe na Maaskofu wanaohangaika kumuombea Dua Paul Makonda wanajisikiaje anapotajwa waziwazi kushiriki kushambulia watu?

Mashehe na Maaskofu wanaohangaika kumuombea Dua Paul Makonda wanajisikiaje anapotajwa waziwazi kushiriki kushambulia watu?

CCM na serikali wame invest heavily kwa shetani huyo ili kulinda aibu yao. Lakini pamoja na hayo, taratibu jini linaanza kufosi kutoka ndani ya chupa....

Hivyo wanalipwa mapesa ili wamfanyie promotion na huo wanaofanyia wala hata siyo maombi bali uchawi uliopakwa chokaa ya "ibada" au "maombi" au "dini...."
Daaaah
 
Kwenye Biblia Takatifu kuna andiko husomwa mara nyingi kwenye misiba na hasa wakati wa Mazishi, linaandikwa hivi' Msitake kuzijua habari za waliolala mauti, maana mkizijua Mtasononeka, Sina hakika kama nimepatia, kwa vile mimi si mjuzi sana wa mambo haya.

Wajuzi wanasema andiko hili linatuelekeza Wanadamu kumuachia Mungu habari za waliokufa, hii ni kwa sababu wako tuliowaheshimu sana na kuwaeleza Shida zetu, Wakiwemo Mashehe na Maaskofu ambao wakifa Watachomwa moto kwa dhambi na udhalimu wao, hata kama walivaa majoho, Hivyo basi Mungu anatuasa tusijue walikopelekwa baada ya kifo, maana tukijua tutasononeka.

Najiuliza sana kuhusu hawa Maaskofu na Mashehe wanaomkaribisha Makonda Mazabauni huwa wanajisikiaje Mtu huyu Muuaji anapotajwa hadharani, Au Mungu wa watu hawa si huyu Mungu tunayemuabudu siye wengine?

PIA SOMA
- Tundu Lissu: Aliyeongoza Kikosi cha wauaji walioagizwa kuniua ni Paul Makonda, ndio maana Marekani ilimzuia
Waubwabwa hao
 
wanafiki na wazushi wakubwa ninyi.
hizo tuhuma za makonda mliwahi kizithibitisha?
Au ni smearing campaign mliyowahi kuanzisha kuficha uovu wenu?
Mmejifunza kuzusha mambo halafu kuyafanya viral na interational ili muendelee kupata fesha za wafidhili hisusani marekani.
 
Kwenye Biblia Takatifu kuna andiko husomwa mara nyingi kwenye misiba na hasa wakati wa Mazishi, linaandikwa hivi' Msitake kuzijua habari za waliolala mauti, maana mkizijua Mtasononeka, Sina hakika kama nimepatia, kwa vile mimi si mjuzi sana wa mambo haya.

Wajuzi wanasema andiko hili linatuelekeza Wanadamu kumuachia Mungu habari za waliokufa, hii ni kwa sababu wako tuliowaheshimu sana na kuwaeleza Shida zetu, Wakiwemo Mashehe na Maaskofu ambao wakifa Watachomwa moto kwa dhambi na udhalimu wao, hata kama walivaa majoho, Hivyo basi Mungu anatuasa tusijue walikopelekwa baada ya kifo, maana tukijua tutasononeka.

Najiuliza sana kuhusu hawa Maaskofu na Mashehe wanaomkaribisha Makonda Mazabauni huwa wanajisikiaje Mtu huyu Muuaji anapotajwa hadharani, Au Mungu wa watu hawa si huyu Mungu tunayemuabudu siye wengine?

PIA SOMA
- Tundu Lissu: Aliyeongoza Kikosi cha wauaji walioagizwa kuniua ni Paul Makonda, ndio maana Marekani ilimzuia
Binadamu huwa wanaenda na upepo, pili wanaependa dunia kuliko pepo, sababu ukiipenda pepo, utatenda haki, ukipenda dunia utaangalia maslai big up shehe Ponda
 
Wanamwombea ili kumridhisha! Lakini damu za watu alizomwaga (kama ni kweli) zinamlilia Mungu kutoka ardhini zikitaka kisasi juu aliyezimwaga.
 
Kwenye Biblia Takatifu kuna andiko husomwa mara nyingi kwenye misiba na hasa wakati wa Mazishi, linaandikwa hivi' Msitake kuzijua habari za waliolala mauti, maana mkizijua Mtasononeka, Sina hakika kama nimepatia, kwa vile mimi si mjuzi sana wa mambo haya.

Wajuzi wanasema andiko hili linatuelekeza Wanadamu kumuachia Mungu habari za waliokufa, hii ni kwa sababu wako tuliowaheshimu sana na kuwaeleza Shida zetu, Wakiwemo Mashehe na Maaskofu ambao wakifa Watachomwa moto kwa dhambi na udhalimu wao, hata kama walivaa majoho, Hivyo basi Mungu anatuasa tusijue walikopelekwa baada ya kifo, maana tukijua tutasononeka.

Najiuliza sana kuhusu hawa Maaskofu na Mashehe wanaomkaribisha Makonda Mazabauni huwa wanajisikiaje Mtu huyu Muuaji anapotajwa hadharani, Au Mungu wa watu hawa si huyu Mungu tunayemuabudu siye wengine?

PIA SOMA
- Tundu Lissu: Aliyeongoza Kikosi cha wauaji walioagizwa kuniua ni Paul Makonda, ndio maana Marekani ilimzuia
Kwani wao wenyewe ni wasafi? Husikii wakitoa Kafara hapa na pale?
 
Wanamwombea ili kumridhisha! Lakini damu za watu alizomwaga (kama ni kweli) zinamlilia Mungu kutoka ardhini zikitaka kisasi juu aliyezimwaga.
Kila siku makanisani kuombewa......ni psycholojia fulani ya Kujihisi Mtuhumiwa na mkosaji.....bila kutubu ataombewa sana ila amani hataipata
 
wanafiki na wazushi wakubwa ninyi.
hizo tuhuma za makonda mliwahi kizithibitisha?
Au ni smearing campaign mliyowahi kuanzisha kuficha uovu wenu?
Mmejifunza kuzusha mambo halafu kuyafanya viral na interational ili muendelee kupata fesha za wafidhili hisusani marekani.
Wee kapuku uko dunia ipi?
 
Kwenye Biblia Takatifu kuna andiko husomwa mara nyingi kwenye misiba na hasa wakati wa Mazishi, linaandikwa hivi' Msitake kuzijua habari za waliolala mauti, maana mkizijua Mtasononeka, Sina hakika kama nimepatia, kwa vile mimi si mjuzi sana wa mambo haya.

Wajuzi wanasema andiko hili linatuelekeza Wanadamu kumuachia Mungu habari za waliokufa, hii ni kwa sababu wako tuliowaheshimu sana na kuwaeleza Shida zetu, Wakiwemo Mashehe na Maaskofu ambao wakifa Watachomwa moto kwa dhambi na udhalimu wao, hata kama walivaa majoho, Hivyo basi Mungu anatuasa tusijue walikopelekwa baada ya kifo, maana tukijua tutasononeka.

Najiuliza sana kuhusu hawa Maaskofu na Mashehe wanaomkaribisha Makonda Mazabauni huwa wanajisikiaje Mtu huyu Muuaji anapotajwa hadharani, Au Mungu wa watu hawa si huyu Mungu tunayemuabudu siye wengine?

PIA SOMA
- Tundu Lissu: Aliyeongoza Kikosi cha wauaji walioagizwa kuniua ni Paul Makonda, ndio maana Marekani ilimzuia
Ulitaka awombe Mbowe na genge linaloendesha SACCOS?
 
Kwenye Biblia Takatifu kuna andiko husomwa mara nyingi kwenye misiba na hasa wakati wa Mazishi, linaandikwa hivi' Msitake kuzijua habari za waliolala mauti, maana mkizijua Mtasononeka, Sina hakika kama nimepatia, kwa vile mimi si mjuzi sana wa mambo haya.

Wajuzi wanasema andiko hili linatuelekeza Wanadamu kumuachia Mungu habari za waliokufa, hii ni kwa sababu wako tuliowaheshimu sana na kuwaeleza Shida zetu, Wakiwemo Mashehe na Maaskofu ambao wakifa Watachomwa moto kwa dhambi na udhalimu wao, hata kama walivaa majoho, Hivyo basi Mungu anatuasa tusijue walikopelekwa baada ya kifo, maana tukijua tutasononeka.

Najiuliza sana kuhusu hawa Maaskofu na Mashehe wanaomkaribisha Makonda Mazabauni huwa wanajisikiaje Mtu huyu Muuaji anapotajwa hadharani, Au Mungu wa watu hawa si huyu Mungu tunayemuabudu siye wengine?

PIA SOMA
- Tundu Lissu: Aliyeongoza Kikosi cha wauaji walioagizwa kuniua ni Paul Makonda, ndio maana Marekani ilimzuia
Wengine ni wao pia au pia huenda anatubu
 
wanafiki na wazushi wakubwa ninyi.
hizo tuhuma za makonda mliwahi kizithibitisha?
Au ni smearing campaign mliyowahi kuanzisha kuficha uovu wenu?
Mmejifunza kuzusha mambo halafu kuyafanya viral na interational ili muendelee kupata fesha za wafidhili hisusani marekani.
Kweli wewe jingaletu,zwazwa!
 
Back
Top Bottom