Mashehe wana hoja kuhusu umri wa kuolewa

Mashehe wana hoja kuhusu umri wa kuolewa

Huyu Shehe na wenzake wakaombe uraia kwenye nchi zinazofuata sharia za dini ya Kiislamu kwa Tanzania haiwezekani na haitatokea, kikatiba ni nchi isiyofungamana na dini yoyote ile na analijua hilo tumuombe Mwenyezi Mungu na Serikali yetu tukufu kwa kulitambua jambo hili muhimu tangu mwanzo kwa ustawi wa taifa letu, mwisho (amani yetu bado tunaipenda).
Labda ukweli unaoukataa ni kwamba nchi yako mwenyewe ilikuwa ikitumia sheria hii. Wakati mimi ninazaliwa utaratibu ulikuwa hivyo, sema leo hii wanadamu wamebadili mfumo wa ndoa, ndio maana kuna thread nyingi humu za kulia lia tu kuhusu ndoa hata isieleweke chanzo ni nini.

Hawa mashehe wala hawahitaji kuhama nchi kama unavyotamani iwe, wametumia uhuru wao wa kikatiba kutoa maoni yaombele ya tume halali kabisa iliyoundwa kukusanya maoni kutoka makundi mbalimbali ya kijamii.

Pia huo mustakabali unaousema ni upi? Labda unieleweshe hilo kwanza, mustakabali wa taifa letu ni upi? Kumbuka baada ya kufungwa sheria ya elimundipo na masomo ya afya ya uzazi yakaanza kwa sababu vibinti vinabalehe vikiwa mashuleni halafu vinajiingiza kwenye mapenzi. Tena leo hii ukimpa mimba mwanafunzi adhabu yake ni miaka 30 jela, unadhani hawa mabinti wanabakwa? Halafu baada ya sheria hii kufeli kutatua tatizo tumegeukia kudai binti akishajifungua arudI shuleni kuendelea na masomo, kwa nini apate mimba wakati ni MTOTO?

Huku wanauana kwa KUTETEA HAKI ZA MTOTO halafu wanaandaa mazingira ya WATOTO HAO kuzalia mashuleni!! Huoni huu nao ni mkanganyiko mkubwa? Kuna haja ya kufafanua sheria ya kumlinda mtoto wa kike inakusudia kumlinda dhidi ya nini? Kama na kujamiiana hilo halipo na limekubalika kwenye jamii. Kitu pekee inachosimamia sheria hii ni HAKI YA KUPATA ELIMU basi. Kwamba binti ana hak8 ya kupata elimu na kuwa na maisha yake mwenyewe, sio vinginevyo.

Huku kuna wadau wanadai waache mabinti wafanywe na watoto wenzao, hebu tazama fikra hizo!! Kwa nini mtoto wa kike alihitaji usimamizi? Sababu kuu ni kwamba thamani ya mwanamke inashuka kwa 1. Umri 2. Vitendo vya ngono. Mwanamume thamani yake inapanda kadri siku zinavyokwenda akiwa anajijengea mazingira mazuri. Leo hii binti anafundishwa kupandisga thamani yake kwa njia ya elimu pamoja na mambo mengine yatakayomfanya atambulike kwenye jamii (kuwa staa). Sasa mifumo hii yote IMEFELI PAKUBWA lijapo suala la ndoa, asilimia kubwa ya wanawake wa namna hii hawafit kwenye mfumo wa ndoa, ndio sababu vilio vya ndoa hivi sasa vimetamalaki!!

Najua ni ngumu sana kueleza haya ukaeleweka, lakini Mungu alipomuumba mwwnamke alimpangia majukumu yake kama ilivyokuwa kwa mwanamke.
 
Kwahiyo tamaa za Daudi mnataka kuziambukiza kwetu!!! Waacheni waisrael waishi maisha yao na sisi tuishi kivyetu
sisi ni waamini tunajua tunachokiamini. Wewe shika lako mkuu wala huna uwezo kutunyamazisha, ok?
 
Watu wa zamani walikuwa wanachelewa kuvunja ungo na walikuwa wanaishi umri mrefu pia, sasa huwezi tofautisha zamani na sas
 
Mkuu umetoa elimu kubwa sana tatizo la waafrika wengi huwa ni wafuata mkumbo wa chochote kitakacho semwa na wazungu na ndio maana tumekuwa ni jamii inayo dharaulika.

Hao wazungu wanao tushinikiza kupitisha sheria ya miaka 18 wao kwenye nchi zao karibia zote wanaruhusu mabinti kuolewa chini ya miaka 18 kuolewa, mfano Uingereza anaye jiita baba wa demokrasia barani Ulaya sheria yao inaruhusu binti wa kuanzia miaka 16 kuolewa.

Nchi kama Japan binti kuanzia miaka 14 ni rukusa kuolewa ila sasa hivi wanataka kupandisha mpaka miaka 16.

Watu humu wanasema binti wa miaka 14 kuolewa ni ukatiri lakini hao hao ndo mabingwa wa kufanya navyo ngono na kuvipa mimba mwishowe kuviharibia maisha yao.

Watu wanasema binti wa miaka 14 hayawezi majukumu ya ndoa lakini hao hao waliolewa wakiwa na miaka 30 na ndoa zikawashinda.
 
Mkuu umetoa elimu kubwa sana tatizo la waafrika wengi huwa ni wafuata mkumbo wa chochote kitakacho semwa na wazungu na ndio maana tumekuwa ni jamii inayo dharaulika.

Hao wazungu wanao tushinikiza kupitisha sheria ya miaka 18 wao kwenye nchi zao karibia zote wanaruhusu mabinti kuolewa chini ya miaka 18 kuolewa, mfano Uingereza anaye jiita baba wa demokrasia barani Ulaya sheria yao inaruhusu binti wa kuanzia miaka 16 kuolewa.

Nchi kama Japan binti kuanzia miaka 14 ni rukusa kuolewa ila sasa hivi wanataka kupandisha mpaka miaka 16.

Watu humu wanasema binti wa miaka 14 kuolewa ni ukatiri lakini hao hao ndo mabingwa wa kufanya navyo ngono na kuvipa mimba mwishowe kuviharibia maisha yao.

Watu wanasema binti wa miaka 14 hayawezi majukumu ya ndoa lakini hao hao waliolewa wakiwa na miaka 30 na ndoa zikawashinda.
Pedophile mwingine huyu
Yani ma child molester kwa sasa mnajitangaza hadharani kama mashoga
 
Vitabu vya din vimepitwa na wakati , kuna haja ya kuandaa vingne vinavypatana na akili.

[emoji1787]sasa kama mtume alisema utabadilishaje hapo...labda tutafute loophole kama kitabu kimesema angalau kuanzia 14 years kwa iyo tunaeza sema inabidi iwe above kwa maisha ya sasa
Labda wasichana wa zamani waliwahi kupevuka kiakili na viungo vya uzaz
 
NARUDIA TENA, with due honest, kama unataka tujadili SIPENDI tabia ya kunakili maandiko ya Google na kutupia hapa,WEKA KWA LUGHA YAKO MWENYEWE, you have a brain bro!! Kuhusu Biblia wala usinichoshe, hicho ndicho kitabu cha rejea unacho nukuu, lakini kama kuna hoja toka google, onyesha hiyo rejea kisha ufafanue kwa mtazamo wako nami nitafafanua kwa nini Biblia imeandika vile utakavyonukuu. Hebu tuache ubishani wa kitoto turudi kwenye hoja ya msingi.

Thanks
He always like that linapokuja kwenye kujadili vifungu vya dini anaenda kucopy link linaa article ndefu badala ya ku summarise na kujadili hoja moja badala ya nyingine, mimi pia tulishawahi ku argue kuhusu Quran nilipomuomba aya akaniletea link inamaelezo marefu mfano wa kitabu niliamua kumuachia ushindi japo nilikuwa na uwezo wa kujibu hoja zake. kwasababu kama kucopy mimi pia nilikuwa ninanzo links ambazo zimejibu hoja zake kiundani na kwa maelezoa marefu sasa kwa style yake ya copy and paste na mimi nikifanya the same haukutakuwa na mjadala tena hapo ni vurugu.

My Rule
Not all arguments are worth winning ,mwachie ushindi mtu asiyetaka kujadili.
 
He always like that linapokuja kwenye kujadili vifungu vya dini anaenda kucopy link linaa article ndefu badala ya ku summarise na kujadili hoja moja badala ya nyingine, mimi pia tulishawahi ku argue kuhusu Quran nilipomuomba aya akaniletea link inamaelezo marefu mfano wa kitabu niliamua kumuachia ushindi japo nilikuwa na uwezo wa kujibu hoja zake. kwasababu kama kucopy mimi pia nilikuwa ninanzo links ambazo zimejibu hoja zake kiundani na kwa maelezoa marefu sasa kwa style yake ya copy and paste na mimi nikifanya the same haukutakuwa na mjadala tena hapo ni vurugu.

My Rule
Not all arguments are worth winning ,mwachie ushindi mtu asiyetaka kujadili.
Noted with thanks
 
Kwanza hesabu ya miaka ya zamani na sasa hivi ni tofauti unapoambiwa mtu zamani kaishi miaka elfu moja unaona ni sawa na hii ya kwetu miaka 1000 sio mchezo kwanza mtu alete hesabu walizokuwa wanatumia ili twende sawa.
 
Hao wazungu wanao tushinikiza kupitisha sheria ya miaka 18 wao kwenye nchi zao karibia zote wanaruhusu mabinti kuolewa chini ya miaka 18 kuolewa, mfano Uingereza anaye jiita baba wa demokrasia barani Ulaya sheria yao inaruhusu binti wa kuanzia miaka 16 kuolewa.
Watakuwa wamejifunza kwa wamasai wanapokuja kuwashangaa kule Ngorongoro
 
Ndugu, imekupasa kujifunza neno la Mungu. Kwa andiko lako unaonekana wewe ni bendera fuata upepo kama walivyo Wakristo wengi wa zama zetu.

Tukisema kila andiko LENYE PUMZI YA MUNGU tunamaanisha nini? Hebu soma tena bandiko lako ujishanhae hiyo mifano yako. Kaini kumuua Abeli ni andiko Mungu alibariki? Daudi kumuua ulia Mungu alibariki? Vipi kuhusu Hosea kuoa kahaba, hukusoma kama ilikuwa prophetic? Nimesema sana, Biblia sio aya za kukariri, you have to meditate on the word.

Kuhusu mabinti kuolewa wakivunja ungo, huoni ni Mungu mwenyewe ameweka mfano? Wewe ni nani kumjadili Mungu uamue kilicho bora!!? You are but flesh!! Adam na Hawa walifanya ujinga huu bustanini nawe wajua matokeo yake.

Leo ninakufundisha kweli ya maandiko, hakuna mahali Mungu alisema tuige lifestyle ya mtu, kwani hata hao waliosifiwa waliishi SAWA SAWA na neno la Mungu. Imetupasa kulishika neno, kwani ndilo uzima wetu. Acha kabisa tabia ya kuchuja neno la Mungu kwa jinsi unavyotaka, tabia hii ndio imeleta mkanganyiko kwenye mwili wa Kristo.

Nakupa challenge, nionyeshe ni kwa jinsi gani binti akiolewa baada ya kupindukia miaka 18 atakuwa mke bora nami nitakuonyesha KWA MFANO jinsi gani mabinti wakiolewa mapema wanakuwa wake bora sawasawa na maandiko.
Sawa mkuu,
Namshukuru kwa kunikosoa kwa kadiri ulivyoweza.
Kimtazamo na kihoja nakubaliana na wewe.
Nasema kimtazamo na kihoja, kwamba haya ni mapendekezo tuu kutokana na faida ulizobainisha kwamba ungependa iwe hivo.
Lakini kiimani, (kwamba ni maagizo ya Mungu tuyafuate),
Umeshindwa kuonesha ambayo kwayo Mungu ameagiza umri wa kuoa.
Una mifano kutoka kwenye biblia inayoonyesha hao watu walivyoishi, Jambo ambalo si lazima tuishi Kama wao.
Kadhalika neno ulilorefer Kama agizo la Mungu kwa wanadamu, umetafsiri Kama vile unatafsiri gazeti la udaku.
Kabisa kwa akili yako unaona Mungu kwenye kitabu Cha Ezekiel (mistari uliyojukuu)alikuwa anazungumzia swala la kuoa na kuolewa?
 
Sawa mkuu,
Namshukuru kwa kunikosoa kwa kadiri ulivyoweza.
Kimtazamo na kihoja nakubaliana na wewe.
Nasema kimtazamo na kihoja, kwamba haya ni mapendekezo tuu kutokana na faida ulizobainisha kwamba ungependa iwe hivo.
Lakini kiimani, (kwamba ni maagizo ya Mungu tuyafuate),
Umeshindwa kuonesha ambayo kwayo Mungu ameagiza umri wa kuoa.
Una mifano kutoka kwenye biblia inayoonyesha hao watu walivyoishi, Jambo ambalo si lazima tuishi Kama wao.
Kadhalika neno ulilorefer Kama agizo la Mungu kwa wanadamu, umetafsiri Kama vile unatafsiri gazeti la udaku.
Kabisa kwa akili yako unaona Mungu kwenye kitabu Cha Ezekiel (mistari uliyojukuu)alikuwa anazungumzia swala la kuoa na kuolewa?
Sio tu kwa akili yangu, wewe unaonyesha bado ni mchanga wa maandiko. Usipende kusomewa, soma maandiko mwenyewe uyatafakari.

Kuhusu kwamba Mungu ametoa amri umri wa kuoa, ni wapi ninesema hayo? Jifunze kusoma mada na kuelewa mkuu, usiwe unapotosja kilichosemwa. Mimi NIMEONYESHA tu kuwa hata kwenye Biblia mabinti waliolewa baada ya kuvunja ungo, hiyo sio amri. Jifunze kutofautisha. Lakini pia nina challenge ndogo tu kwako, Mariamu mama wa Yesu kama kweli unayachunguza maandiko unadhani inakadiriwa alimzaa Yesu akiwa na umri gani?

Mwisho tambua kuwa huzuiwi kuoa hata bibi kizee, waka hilo si dhambi. Kinachojadiliwa hapa ni UMRI AMBAO BINTI ANAWEZA KUINGIA KWENYE NDOA. Sasa akiolewa miaka thelathini baadaye hiyo sio hoja, bali akiolewa kabla ya kutimiza umri unaojadiliwa hapa ndipo litakuwa tatizo. Umeelewa mada?
 
Sio tu kwa akili yangu, wewe unaonyesha bado ni mchanga wa maandiko. Usipende kusomewa, soma maandiko mwenyewe uyatafakari.

Kuhusu kwamba Mungu ametoa amri umri wa kuoa, ni wapi ninesema hayo? Jifunze kusoma mada na kuelewa mkuu, usiwe unapotosja kilichosemwa. Mimi NIMEONYESHA tu kuwa hata kwenye Biblia mabinti waliolewa baada ya kuvunja ungo, hiyo sio amri. Jifunze kutofautisha. Lakini pia nina challenge ndogo tu kwako, Mariamu mama wa Yesu kama kweli unayachunguza maandiko unadhani inakadiriwa alimzaa Yesu akiwa na umri gani?

Mwisho tambua kuwa huzuiwi kuoa hata bibi kizee, waka hilo si dhambi. Kinachojadiliwa hapa ni UMRI AMBAO BINTI ANAWEZA KUINGIA KWENYE NDOA. Sasa akiolewa miaka thelathini baadaye hiyo sio hoja, bali akiolewa kabla ya kutimiza umri unaojadiliwa hapa ndipo litakuwa tatizo. Umeelewa mada?
Nimeeelewa,
Na hivi ndo nilitaka useme toka mwanzo, kuliko kutuleyea maandiko kutuambia Mungu aliagiza umri wa kuoewa..
 
Nimeeelewa,
Na hivi ndo nilitaka useme toka mwanzo, kuliko kutuleyea maandiko kutuambia Mungu aliagiza umri wa kuoewa..
Hukusoma, nadhani uliona kichwa cha habari tu ukakimbilia kukomenti
 
Back
Top Bottom