MENERIKI II
JF-Expert Member
- Oct 21, 2014
- 642
- 1,294
Huyo ndio Sheikh wetu wa Mkoa kwa sasa anaitwa SHEIKH WALID ELHAD KAWAMBWA.Bado sijapata jina la shehe huyu, lakini hakika kasema bila woga kwa kunukuu maandiko tunayoyaamini kuwa ni matakatifu.
Anayebisha anaye mpinga basi atuonyeshe naye kuwa shehe hapo kapotosha wala sio kweli. Hii inasaidia kuponya taifa maana kama jambo alilikataza mwenyezi Mungu kulifanya ni ubatili.
FaizaFoxy
View attachment 3145792
Tulikuwa naye kwenye mazishi ya Ustaadh Kambi pale Mji mkuu wa UnunioHuyo ndio Sheikh wetu wa Mkoa kwa sasa anaitwa SHEIKH WALID ELHAD KAWAMBWA.
Anapatikana Msikiti wa TIC MAGOMENI KICHANGANI(Magomeni mataa) ndio Imamu Mkuu.
Wanawachuoni ni warithi wa mitume na wamezisherehesha hadith na kuzi backup na aya za quran kama una ushahidi kinyume na hapo unaotokana na vyanzo hivyo viwili (quran na sahihi hadith) unaweza pia kuviweka hapa utuelimishe navyo .Wewe usilete mambo ya ndoa kwenye uongozi wa nchi.
Kwanini?Huyu Shehe akiendelea kuongoza Bakwata itakuwa ajabu sana!
Huyo ni quranist haamini hadithi mnajisumbua bure kubishana naeIpo bana Hadith imesema hivyo hamna nchi itakayofanikiwa kwa kuwa na kiongozi mwanamke asa we bishana for the sake of kubisha wakati we mwenyewe unajua
Hii ni kwa sababu Taasisi ya CCM haijawahi kupinga mambo ya CCMKwanini?
Maneno ya mwanazuoni au ya mtume yeyote yule hayapo juu ya Qur’an.Wanawachuoni ni warithi wa mitume na wamezisherehesha hadith na kuzi backup na aya za quran kama una ushahidi kinyume na hapo unaotokana na vyanzo hivyo viwili (quran na sahihi hadith) unaweza pia kuviweka hapa utuelimishe navyo .
kwanza unatakiwa kujua hadith aliyoitoa huyo shaikh ni sahihi na mtume muhammad (amani iwe juu yake) aliitoa pindi alipoletewa habari na abubakar(radhi ziwe juu yake ) kwamba ufalme wa irani ( kwa muda ule sassanid empire) uliwachagua watoto wa kike wa mfalme khosrow II (aliyekuwa amekufa) .kwa majina azarmidokhti khosrow na borandukhti(boran) khosrow kuwa viongozi wa juu ( yaani queens) .
Tunavyojua Allah (the almighty) meshatuambia katika surat najm kwamba
An-Najm 53:3
وَمَا يَنطِقُ عَنِ ٱلْهَوَىٰٓ
Swahili - Ali Muhsin Al-Barwani
Wala hatamki kwa matamanio.
An-Najm 53:4
إِنْ هُوَ إِلَّا وَحْىٌ يُوحَىٰ
Swahili - Ali Muhsin Al-Barwani
Hayakuwa haya ila ni ufunuo ulio funuliwa;
.
Uislam ni nwema sana.Ushoga huo. Na Muddy alimnyonya ulimi mtoto wa dada yake. Ni ushoga tu huo hamna kitu kingine.
Bakwata iliundwa na mwalimu Nyerere akishirikiana na Saleh MasasiHii ni kwa sababu Taasisi ya CCM haijawahi kupinga mambo ya CCM
BAKWATA iliundwa na Julius Nyerere akishirikiana Paulo Bomani
Na wewe siku hizi unawafata Arabuni?Wewe kwenye wajinga hakika unakula kichwa! Ni upumbavu mara dufu huu kukana maandiko
Huko uarabuni taifa Gani rais wake ni mwanamke? Nitajie
Translateيا مريم قنوطي لربك واسجدي واركعي مع الراكعين
Hiyo ni sala kamili
Chakaza ni Mungu gani huyo? Mbona una-abuse neno Mungu? Wewe na uinjinia wako unaamini hayo!!!!!!!!!!! DuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuBado sijapata jina la shehe huyu, lakini hakika kasema bila woga kwa kunukuu maandiko tunayoyaamini kuwa ni matakatifu.
Anayebisha anaye mpinga basi atuonyeshe naye kuwa shehe hapo kapotosha wala sio kweli. Hii inasaidia kuponya taifa maana kama jambo alilikataza mwenyezi Mungu kulifanya ni ubatili.
FaizaFoxy
View attachment 3145792
Quranist anasalije....Amna sehemu kwenye Quran imeeleza zile steps za kusali cjui kuinama kuinuka... So atuambie hivyo anavyosali kajifunzia wapiHuyo ni quranist haamini hadithi mnajisumbua bure kubishana nae
Uislamu ni ushetani. Muhamad alioa kitoto kidogo akawa ana kibaka. Akawa analelewa na jimama , akawa jangili anaua na kupora mali, anateka. Uislamu una ushetani mwingi wa kuua wengine, umejaa damu, kisasi,chuki na roho mbaya. Mimi nliukataa nikawaambia hata maiti yangu haiwezi kuwa muislamu. Wakanitenga.Uislam ni nwema sana.
Ushoga umeruhusiwa kanisani, bisha.
Al sio hoja, hoja ni hiyo aya aliotoa. Hiyo aya ipo au haipo?Huyo hayo ni maoni yake binafsi siyo mafundisho ya Kiislam. Kama haijatumika AI kumpachika maneno.
Hakuna sehemu Biblia imeruhusu Ushoga. Anyway mwanamke kuwa kiongozi inakatwaza msikitini.bisha? Mwanaume kuvaa nguo za kike inaruhusiwa msikitini.bisha? Mwanaume kubaka kitoto cha miaka 9 inaruhusiwa.bisha? Mwanaume kumnyonya ulimi mwanaume inaruhusiwa.bisha?muhamad alifanya yote haya....bisha tuweke mistari hapa.Uislam ni nwema sana.
Ushoga umeruhusiwa kanisani, bisha.
Aya haipo, tafsiri haipo. Kachomekea.Al sio hoja, hoja ni hiyo aya aliotoa. Hiyo aya ipo au haipo?
Unachokitetea kinajulikana waziHuyo hayo ni maoni yake binafsi siyo mafundisho ya Kiislam. Kama haijatumika AI kumpachika maneno.