Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajizima dataTupo wengi sana, kupita mfano. Hata mama'ko ni Khalifa (t) au alikuamrisha weqe ufanye maovu uwache mema?
Labda huelewi maana ya neno Khalifa (t). Kila binadam mwenye kukataza maovu na kuamrisha mema ni Khalifa (t).
Kafanye homework yako urudi tena na jingine. Uislam ni mwema sana.
Hiyo maana yake umekosa hoja.Na yule aliyesema wanawake ni kama swala, mbuzi, punda, kondoo nk alitoa kwenye mwongozo huohuo au naye kazungumza chochote tu, nje ya mada though!
Cc Faiza Foxy
hapo utakuta wanagombania Malaya😅😅😅Huyu kakikimbia kiti
View attachment 3145916
Kinachozungumzwa kwa hivi sasa kinawahusu waisilamu walio hai pamoja na msikitini na nyumbani kwako.Kiongozi wa Juu ni Mtume Muhammad SAW pekee Kwa ndugu zetu Waislamu
Unajizima data
Waislam walio hai wako Afghanistan 🐼Kinachozungumzwa kwa hivi sasa kinawahusu waisilamu walio hai pamoja na msikitini na nyumbani kwako.
Hiyo maana yake umekosa hoja.
Niliwacha kuwashangaa kondoo zamani sana.
Hahahahaahapo utakuta wanagombania Malaya😅😅😅
Tumsilimishe uyoUislam una Madhehebu
Labda utufafanulie kwa Sababu Bakwata ina Viongozi Wengi tu Wanawake
Pili Tanzania siyo Nchi ya Kiislam hivyo Katiba waliotuachia Wamishioni ndio Mwongozo wa maisha ya watanzania
Leo umewasahau kondoo?Huyu ndio kondoo au muuliza swali?
NakaziaMimi mwenyew imani yangu ni Islam na hivyo ndivyo nilivyofundishwa kuwa mwanamke anaweza kuwa kiongizi ila sio ngazi ya juu kabisa labda itokee hakuna mwanaume hata mmoja mwenye sifa za kuongoza.
Nimekuwa nafatilia kwa miaka mingi maoni ya huyo mama naisi kabisa ana Uzanzibar na Uzanzibara mwingi sana hadi wakati mwingine anaonesha chuki za wazi.
Jaribu kutumia AI kumpachika maneno tofauti, tuone kama inawezekana.Huyo hayo ni maoni yake binafsi siyo mafundisho ya Kiislam. Kama haijatumika AI kumpachika maneno.
Kumbe bado umelala hoi. Hauna haja ya kujaribu ni kufanya tu. Umjuwe tu AI yupi wa kumtumia.Jaribu kutumia AI kumpachika maneno tofauti, tuone kama inawezekana.
Mchungaji MwamposaKumbe bado umelala hoi. Hauna haja ya kujaribu ni kufanya tu. Umjuwe tu AI yupi wa kumtumia.
Hayo mambo yanafanywa na wajukuu zangu wa darasa la tatu siku hizi.