SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Kwa nchi iliyofeli kama Tanganyika ni sawa ili tuendelee kuzama kabisaHapa pana mtazamo tofauti kwa maulamaa. Wapo wanaosema nchi ikiongozwa na mfumo wa kiislamu mwanamke hafai kuongoza. Nchi ikiongozwa na mifumo iloofeli kama ya ulaya mwanamke sio kosa