Pre GE2025 Masheikh 12, waliokaa gerezani miaka 10, kwa tuhuma za Ugaidi waachiwa huru

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hiyo ndiyo kazi ya Serikali na vyombo vya dola. Huwezi kuita chombo cha dola halafu ukataka kiwe na reasoning kama ya madrassa. Hakuna kitu kama hicho duniani.
 
Cream ile yenyewe ilishapotezwa
Hii iloachiwa ni second layer
Suala la usalama wa taifa letu halifai kuchukuliwa kwa mahaba
Tuilinde Motherland kwa gharama yoyote ile
Ukiona mtu anashikwa kuna kitu sio bure
Makosa yapo ila hujulikana mapema tu kuna salafi walimfanansha wakamchukua baada ya week mbili ndevu zote sasa hataki
Tufunge saum tupate afya
 
Mimi nauliza wakuu kwa anayejua kwani waligaidi nini?? Haiwezekan mtu kukaa mahbusu hivi na hawakuwa na interest za kisiasa. Ugaidi wao walikua wanahusika vipi
 
Mimi nauliza wakuu kwa anayejua kwani waligaidi nini?? Haiwezekan mtu kukaa mahbusu hivi na hawakuwa na interest za kisiasa. Ugaidi wao walikua wanahusika vipi
Ndio swali wengi twajiuliza,hakuna aliyeweza kulijibu hadi sasa,ni bla bla tu,!!!,, kwanini isisemwe walifanya 1,2,3
 
Inasemekana wamerudishwa tena ndani kwa kupewa kesi nyengine hili likovipi?
 
Soma nilichoandika, hoja yangu ni kutoelewa kama una ufahamu ulipaswa kunielewesha sio mabishano.
Hakuna fidia.
Wameshitakiwa kwa ugaidi, serikali imesema haina nia ya kuendelea na kesi, hivyo kesi haijasikilizwa, haimaanishi hao si magaidi ila tu hawana nia, so hawawezi kushitaki maana so far ni watuhumiwa na wanaweza rudishwa ndani kesi ikaanza upya.
Samahani lugha ya awali ilikuwa kali kidogo.
 
warudi wakafanye ugaidi tena!nchi ya ovyo sana hii!watu wanafanya ugaidi, wanaua watu wasio na hatia halafu mnawaachia huru kweli!!?????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…