jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Kwa mazingira haya na kauli zenu hakika chuki ni kubwa isiyo na mantiki, anyway basi waislam nao washangilie yule mchungaji mbeya aliefungwa bila sabab ya muhimu.
Sent from my TECNO BC2c using JamiiForums mobile app
Mwenyezi mungu mwenyewe unamaanisha allah ndio wamuogope au?Majaji/waendesha mashtaka muogopeni Mwenyezi Mungu, life is too short. Msiwe na kibri na majivuno.
Hamas (wapalestina) ni kukundi cha kigaidi. Kingekuwa siyo kikundi cha kigaidi cha kiislamu kingetangaza vita.Kwani Israel na hamasi nani gaidi?hili kujua ukweli kwanza uache ushabiki
Kuna information huna .....lazima kuna kitu ndio maana wameondoka nao uzuri wenyewe wanajua sababu ipi....kama hskuna kesi ingine basi with time watawaachia....SHURA YA MAIMAMU TANZANIA
TAARIFA YA KESI ZINAZOENDELEA MAHAKAMA KUU YA TANZANIA
MASHEIKH 6, LEO IJUMAA TEREHE 1/12/2023, WAMESHINDA KESI LAKINI WAMECHUKULIWA TENA NA VYOMBO VYA DOLA
Masheikh hao ni sehemu ya mamia ya Waislamu walio kamatwa na serikali ya Tanzania mika 10, iliyopita na kufunguliwa mashtaka mbalimbali ya ugaidi.
Baada ya kukaa gerezani kwa zaidi ya miaka 9, leo wameshinda kesi katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam
Masheikh hao ni:
1. Fundi Khamisi Kamaka.
2. Issa Mussa Mustafa.
3. Eliasa Kalinda Kazana.
4. Athumani Khamisi Abeid.
5. Juma Rajab Mbonde. Na-
6. Issa Abdullah Kokoko.
Wamekua gerezani toka 2014.
Hata hivyo katika hali ya kushangaza baada ya Mahakama Kuu kuwaona hawana hatia wamechukuliwa na vyombo vya Usalama na kuondoka nao.
Shura ya Maimamu Tanzania inaendele kufuatilia kuchukuliwa tena watu hao na itatoa taafa baada ya kazi hiyo.
IMAM SHAABAN IBRAHIM, KAIMU AMIRI WA SHURA.
wale ni watu mashuhuri kwa namna moja ama nyingneHawa mashehe wanavyolindwa wakiwa wanaletwa hapo mahakamani unaweza sema ni alqaida
usimalize maneno.Mafisadi wapo nje mashehe wasio na hatia wanawasumbua.
Ilitakiwa Serikali iwalipe fidia hao mashehe kwa kuwakalisha ndani kwa uonevu
Mahakama zipo kisiasausimalize maneno.
kuwana hatia ama lah hilo ni swala la mahakama kusema.
thibitisha pasipo kuacha shakaMahakama zipo kisiasa
Tatizo la kwanza ni kuamini unachukiwa ni Ngumu kuondoa hii nadharia kichwani.Kwa mazingira haya na kauli zenu hakika chuki ni kubwa isiyo na mantiki, anyway basi waislam nao washangilie yule mchungaji mbeya aliefungwa bila sabab ya muhimu.
Sent from my TECNO BC2c using JamiiForums mobile app
Mafisadi wapo nje mashehe wasio na hatia wanawasumbua.
Ilitakiwa Serikali iwalipe fidia hao mashehe kwa kuwakalisha ndani kwa uonevu
Tatizo la kwanza ni kuamini unachukiwa ni Ngumu kuondoa hii nadharia kichwani.
Kwanini mtu awachukie waislam na sio wahindu, mabudha, wapagani na washirikina?
Watu wanaposema baadhi ya mapadri wana lawiti watoto, ni kwa kuwa wanawachukia Wakatoliki?
Mtu anaposema walokole wanapiga makelele ni kwa kuwa anawachukia walokole?
Mtu anaposema Mwamposa ni tapeli je anawachukia wakristo?
Kwanini hampendi watu wakawajibika kutokana na matendo yao ila mnapenda kuwapa Cover kwa ngao ya Udini?
Hana uhakika vipi wakati mahakama imeshathibitisha kuwa hawana hatia?msumbiji magaidi ya kiislam yanaua kwann usitumie muda wako kukosoa pia kuliko kutetea mtu huna ukakika wa unachotetea
Mahakama imethibitisha hawana hatia ndiomaana wakashinda kesi, wewe mgalatia usiye na akiliUnauhakika hawana hatia,tukikuita mahakamani unaweza kutoa ushahidi beyond doubt kuwa hawana hatia?
Mahakama imethibitisha hawana hatia ndiomaana wakashinda kesi, wewe mgalatia usiye na akili
Mfumo kristoNakwanini wamakamatwa tena?kama hawana hatia?
Mfumo kristo