Huyo dikteta ni yupi unaye mzungumzia nahisi utakuwa unamzungumzia JPM lakini walikamatwa wakati wa kikwete.Raisi Samia Suluhu anafuata Sheria, ninyi mlozowea vya kunyonga vya kuchinja hamviwezi, ni zamu yenu sasa mutafute Nchi inayotawaliwa na Dikteta muhamie na Magodoro yenu.
Acha chuki binafsi yeye ndie aliewaweka ndani? Takbirr, Mdame presdent hongera sanaa .Jiwe aliposhauriwa na Lissu na Lowasa awatoe mashekhee alitukana sana.
Kumwagia watu tindikali,kuchoma makanisa na kuwawa kwa yule padre hiyo dini yenu ndivyo inavyofundishaHiyo ni hatua njema kuwa dawa inayaingia vyema majahili.
Na bado!
Alikuwa hana jinsi, vuguvugu la Uamsho lilikuwa rahisi kuingiliwa na Vikundi vya Kigaidi kwa mfano angalia Msumbiji kulikuwa na Vuguvugu la Wananchi wa Cabo Delgado kuhusu Gesi yao, Magaidi walilitumia lile Vuguvugu na sasa hawadai tena mgao wa gesi na Ajira, bali wanasema wanataka kusimamisha Dola ya Kiisilamu katika Msumbiji.Kumbe Kikwete naye alikuwa na fitina? Au ulifikiri walifungwa na JPM?😀😀😀
👆aka kamama katakuja kutupeleka pabaya watu walikuwa na mashtaka ya wazi kabisa hata rohoni mwake huyu rais uchwara anajua walitenda
Samia ndio aliwaweka ndani?amewezaje kuwatoaAcha chuki binafsi yeye ndie aliewaweka ndani? Takbirr, Mdame presdent hongera sanaa .
Wewe ndio Mdinisamia ameonyesha udini wa wazi
Aliewaweka nani?na kwanini asiwatoeSamia ndio aliwaweka ndani?amewezaje kuwatoa
Kumwagia watu tindikali,kuchoma makanisa na kuwawa kwa yule padre hiyo dini yenu ndivyo inavyofundisha
samia ameonyesha udini wa wazi
Hasidi hakosi sababu.Ushahidi mkishindwa kuwasilisha kinachobakia ni majungu na fitna tu.
Kashakujibu mkuu???
Mitano ipi tena wewe mbugilaDini yetu ipi mburula wewe?
Ushahidi mkishindwa kuwasilisha kinachobakia ni majungu na fitna tu.
Wacheni majungu acheni haki kutamalaki!
"Viva mama Samia Suluhu. Tuko nawe. Kwa mwendo huu. Mitano tena ya haki itakuhusu.
unakata mashehe hawakutenda sababu mahakama imewachia kwa msukumo wa kidini toka juu kabisaWewe ndio Mdini
"Mbugila" ndiyo nini kwenye ile lugha ya lile genge?Mitano ipi tena wewe mbugila
Kwani yeye ndiye aliwaweka mahabusuHapo Kikwete atakuwa kavimba kama chura
Chadema, Tundu Lissu,Mbowe,Maria Sarungi na wengine wengi ambao sio Waisilamu walikuwa wanapiga kelele hata kwa Mwendazake ili Mashekhe wa Uamsho na wale wengine waliosondekwa kwenye Gereza la Arusha waachiwe Huru.unakata mashehe hawakutenda sababu mahakama imewachia kwa msukumo wa kidini toka juu kabisa
👇unakata mashehe hawakutenda sababu mahakama imewachia kwa msukumo wa kidini toka juu kabisa
Bora hata huyo katika 100 aliyochukua amerudisha 2 kuliko hawa magaidi walioshinda waliyoyatenda kwa msukumo wa samia👇
Kisutu: Mahakama yamhukumu Mfanyabiashara Herbinder Seth Kulipa fidia ya Tsh. 26.9 bilioni
Leo 16/06/2021 12:45 Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemhukumu, mmiliki wa kampuni ya kufua umeme ya IPTL, Harbinder Seth kulipa fidia ya Sh26.9 bilioni baada ya kupatikana na hatia ya kujipatia Sh309 bilioni kwa njia ya udanganyifu. Pia, mahakama hiyo imemhukumu kifungo cha...www.jamiiforums.com
Kwahiyo Raisi Samia pia ni Singasinga?