Achana na siasa katika jambo hili Mbowe alikuwa akimpinga JPM leo hata mwaka hamna ameanza kuongea ukwel.
Wametoka kwa msukumo wa kidini
 
Hawa jamaa watatulia kwa muda ila baada ya mama kumaliza muda wake, hysee pataanza kuchimbika Kama awamu ile
 
We ni Mbishi bana kaa na Udini wako.
Wameyatenda yote walishtakiwa nayo ndo mana hali ilikuwa salama walipokuwa ndani sasa wametoka tena tutegeme mambo kujirudia tena
mimi siyo mdini.
 
Wameyatenda yote walishtakiwa nayo ndo mana hali ilikuwa salama walipokuwa ndani sasa wametoka tena tutegeme mambo kujirudia tena
mimi siyo mdini.
Hilo Vuguvugu lilizimwa na Raisi Kikwete na Raisi Samia kawatoa sasa hao wote ni Waisilamu kinachokuwasha wewe ni nini?
 
Hivi Mkwere ndo aliwaswaga jela au Mwendazake?
Any way sasa wakatulie na waache choko choko!
 
Hilo Vuguvugu lilizimwa na Raisi Kikwete na Raisi Samia kawatoa sasa hao wote ni Waisilamu kinachokuwasha wewe ni nini?
Kinacho niwasha ni haki kwa yale waliyo yatenda na haki kwa wale waliotendewa.
Ujasikia mmoja wa hao magaidi akiwashukuru marais wa pande zote wametoka kwa msukumo bali siyo kwa kupata haki yao.
Samia amefail samia mdini.
 
Kinacho niwasha ni haki kwa yale waliyo yatenda na haki kwa wale waliotendewa.
Ujasikia mmoja wa hao magaidi akiwashukuru marais wa pande zote wametoka kwa msukumo bali siyo kwa kupata haki yao.
Samia amefail samia mdini.
Sijui kama kuna ushahidi uliowahusisha na matukio hayo wangeshahukumiwa ila kuwaweka watu jela bila ya kuwahukumu ni kosa
 
Hapo Kikwete atakuwa kavimba kama chura
Kikwete mpole sana, ingekuwa ni mimi kulingana na yale mahubiri yao ningewala vichwa ASAP sina mchezo na mtu anayehatarisha uhai wa watu wengine
 
Kikwete mpole sana, ingekuwa ni mimi kulingana na yale mahubiri yao ningewala vichwa ASAP sina mchezo na mtu anayehatarisha uhai wa watu wengine
Walihatarisha uhai aa nani? hakuna mtu ameondoa uhai wa watu kama jiwe.
 
Na tangu hawa watu wahifadhiwe, hali ilikuwa shwari.
Magaidi wa msumbiji viongozi wake wengine wanatoke a Tanzania.
Leo hii, yanatukuta tena Watanzania.
Mungu Irehemu nchi ya Tanzania, maana bila Rehema ya Mungu kinachofuata ni kilio na kusaga meno.
mnafiki mkubwa wewe. Jiwe ametesa sana watu ndio maana Mungu kampa adhabu ya kifo. Bado nyie wahuni
 
Nyie warabu weusi ni shida Sana,Mungu akipenda huu muungano uvunjike hauna faida kwa wabara,ajira zenyewe tu Kama za ualimu mpaka tuwaajiri
Kweli kabisa hao warabu koko wamezidi kulia lia Sana na huyo goi goi wao aliyepo madarakani ebu watuachie nchi yetu Tanganyika waendeleze na siasa zao za maji taka Mara sisi waunguja Mara sisi wapemba tuna mafuta na kudumisha mila na desturi za kiarabu!huku wakila mlo mmoja kwa ck pengine na kushindia boflo! yahani wabunge tuwalipe sisi mshahara na kiinua mgongo watoto wao watumie Kodi zetu kuingia chuo kikuu ajira waajiriwe kwetu kwao sie wabara haturuhusiwi kuajiriwa Mara Zanzibar inaidai Tanganyika cjuhi sh ngpy lkn Zanzibar haidaiwi kwenye deni la taifa
 
Zamu ya sabaya bashite nao wasubirie ushahidi kukamilika kwa miaka sita hivi wachukue nafasi ya wazee wa escrow.Kulia ni kupokezana
🤣🤣🤣juzi Sabaya kukaa wiki tu wamelalamika hao utadhani mashoga. Sabaya wiki moja tu kakondeana kama anaumwa ngoma. Sijui huwa wanajionaje wanaposhabikia udhalimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…