Wanajitoa akili hawa watoto wa humu JF mkuu.

Askofu wetu ameongozana na Mheshimiwa Lissu everywhere kutetea Uamsho huyu anataka alete ujinga wake hapa
 
Kikwete mpole sana, ingekuwa ni mimi kulingana na yale mahubiri yao ningewala vichwa ASAP sina mchezo na mtu anayehatarisha uhai wa watu wengine
Bado nafasi unayo mkuu maana mahubiri bado yapo.
 
Nina wasiwasi Umelewa wewe jamaa.

Yaani hili swali watu walikuwa wanaliuliza 2012 walipokamatwa wewe unaniuliza Leo???
Sijalewa.
Umeniuliza udini unaingiaje wakati tunajadili uwamsho kuachiwa nikakuliza unajua makosa waliyo shtakiwa nayo kama unajua basi ndio jibu kwanini udini unaingia hapa.
 
Nionyeshe familia moja tu inayoshindia mlo mmoja Zanzibar ili mimi nikuonyeshe familia 1000 zinazoishi maisha ya ajabu huko.
 
Kuna wengi haki zao zimepotea.Tundu Lissu atabaki kilema daima, Ben Saanane, Azory Gwanda haijulikani kama watarudi, Akwilina uhai wake uliporwa na hautarudi
Haki haipotei mkuu. Unachoweza kufanya ni kuichelewesha tu.

Haki isipopatikana duniani itapatikana mbinguni
 
Je hao wabakaji walikua wamehukumiwa au bado?
Acheni kujitoa ufahamu na kumtetea mwendazake, wabakaji wakina babu seya walikamatwa utawala upi na walitoka utawala upi?
 
Sijalewa.
Umeniuliza udini unaingiaje wakati tunajadili uwamsho kuachiwa nikakuliza unajua makosa waliyo shtakiwa nayo kama unajua basi ndio jibu kwanini udini unaingia hapa.
Hebu niache usinichoshe.

Kesho asubuhi hangover zikikutoka pitia tena haya maswali yako halafu nina uhakika utapata majibu na utajijibu mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…