Masheikh wa Uamsho wafutiwa kesi, warejea uraiani
Chadema, Tundu Lissu,Mbowe,Maria Sarungi na wengine wengi ambao sio Waisilamu walikuwa wanapiga kelele hata kwa Mwendazake ili Mashekhe wa Uamsho na wale wengine waliosondekwa kwenye Gereza la Arusha waachiwe Huru.

Huo udini wa Raisi Samia umetoka wapi? wewe ndio unataka kufanya kuwa ni Issue ya Dini.
Wanajitoa akili hawa watoto wa humu JF mkuu.

Askofu wetu ameongozana na Mheshimiwa Lissu everywhere kutetea Uamsho huyu anataka alete ujinga wake hapa
 
Nina wasiwasi Umelewa wewe jamaa.

Yaani hili swali watu walikuwa wanaliuliza 2012 walipokamatwa wewe unaniuliza Leo???
Sijalewa.
Umeniuliza udini unaingiaje wakati tunajadili uwamsho kuachiwa nikakuliza unajua makosa waliyo shtakiwa nayo kama unajua basi ndio jibu kwanini udini unaingia hapa.
 
Nyie warabu weusi ni shida Sana,Mungu akipenda huu muungano uvunjike hauna faida kwa wabara,ajira zenyewe tu Kama za ualimu mpaka tuwaajiri

Kweli kabisa hao warabu koko wamezidi kulia lia Sana na huyo goi goi wao aliyepo madarakani ebu watuachie nchi yetu Tanganyika waendeleze na siasa zao za maji taka Mara sisi waunguja Mara sisi wapemba tuna mafuta na kudumisha mila na desturi za kiarabu!huku wakila mlo mmoja kwa ck pengine na kushindia boflo! yahani wabunge tuwalipe sisi mshahara na kiinua mgongo watoto wao watumie Kodi zetu kuingia chuo kikuu ajira waajiriwe kwetu kwao sie wabara haturuhusiwi kuajiriwa Mara Zanzibar inaidai Tanganyika cjuhi sh ngpy lkn Zanzibar haidaiwi kwenye deni la taifa
Nionyeshe familia moja tu inayoshindia mlo mmoja Zanzibar ili mimi nikuonyeshe familia 1000 zinazoishi maisha ya ajabu huko.
 
Kuna wengi haki zao zimepotea.Tundu Lissu atabaki kilema daima, Ben Saanane, Azory Gwanda haijulikani kama watarudi, Akwilina uhai wake uliporwa na hautarudi
Haki haipotei mkuu. Unachoweza kufanya ni kuichelewesha tu.

Haki isipopatikana duniani itapatikana mbinguni
 
Je hao wabakaji walikua wamehukumiwa au bado?
Acheni kujitoa ufahamu na kumtetea mwendazake, wabakaji wakina babu seya walikamatwa utawala upi na walitoka utawala upi?
 
Sijalewa.
Umeniuliza udini unaingiaje wakati tunajadili uwamsho kuachiwa nikakuliza unajua makosa waliyo shtakiwa nayo kama unajua basi ndio jibu kwanini udini unaingia hapa.
Hebu niache usinichoshe.

Kesho asubuhi hangover zikikutoka pitia tena haya maswali yako halafu nina uhakika utapata majibu na utajijibu mwenyewe
 
Back
Top Bottom