datz
JF-Expert Member
- Nov 17, 2015
- 858
- 972
kwani walikamatwa kwa makosa gani?Mambo ya dini yanaingiaje hapa??
Hapa tunajadili suala la uamsho kuachiwa. Mambo ya dini yana mada zake mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani walikamatwa kwa makosa gani?Mambo ya dini yanaingiaje hapa??
Hapa tunajadili suala la uamsho kuachiwa. Mambo ya dini yana mada zake mkuu
Wanajitoa akili hawa watoto wa humu JF mkuu.Chadema, Tundu Lissu,Mbowe,Maria Sarungi na wengine wengi ambao sio Waisilamu walikuwa wanapiga kelele hata kwa Mwendazake ili Mashekhe wa Uamsho na wale wengine waliosondekwa kwenye Gereza la Arusha waachiwe Huru.
Huo udini wa Raisi Samia umetoka wapi? wewe ndio unataka kufanya kuwa ni Issue ya Dini.
Nina wasiwasi Umelewa wewe jamaa.kwani walikamatwa kwa makosa gani?
Salamu tayari huko nenda kamsikilize sheikh FaridHawa jamaa watatulia kwa muda ila baada ya mama kumaliza muda wake, hysee pataanza kuchimbika Kama awamu ile
Haya matope mengineHilo jina uamsho lifutwe rasmi
Bakwata tulieni hebu kwanza 😂😂😂😂😂😂Good, tuliwaombea msamaha
Bado nafasi unayo mkuu maana mahubiri bado yapo.Kikwete mpole sana, ingekuwa ni mimi kulingana na yale mahubiri yao ningewala vichwa ASAP sina mchezo na mtu anayehatarisha uhai wa watu wengine
Sijalewa.Nina wasiwasi Umelewa wewe jamaa.
Yaani hili swali watu walikuwa wanaliuliza 2012 walipokamatwa wewe unaniuliza Leo???
AnasemajeSalamu tayari huko nenda kamsikilize sheikh Farid
Nionyeshe familia moja tu inayoshindia mlo mmoja Zanzibar ili mimi nikuonyeshe familia 1000 zinazoishi maisha ya ajabu huko.Nyie warabu weusi ni shida Sana,Mungu akipenda huu muungano uvunjike hauna faida kwa wabara,ajira zenyewe tu Kama za ualimu mpaka tuwaajiri
Kweli kabisa hao warabu koko wamezidi kulia lia Sana na huyo goi goi wao aliyepo madarakani ebu watuachie nchi yetu Tanganyika waendeleze na siasa zao za maji taka Mara sisi waunguja Mara sisi wapemba tuna mafuta na kudumisha mila na desturi za kiarabu!huku wakila mlo mmoja kwa ck pengine na kushindia boflo! yahani wabunge tuwalipe sisi mshahara na kiinua mgongo watoto wao watumie Kodi zetu kuingia chuo kikuu ajira waajiriwe kwetu kwao sie wabara haturuhusiwi kuajiriwa Mara Zanzibar inaidai Tanganyika cjuhi sh ngpy lkn Zanzibar haidaiwi kwenye deni la taifa
kweli kabisa ata mimi namin watamweshimu mama kinafki akitoka tu watarudia vurugu zao.Salamu tayari huko nenda kamsikilize sheikh Farid
Ndio maana tulimuunga mkono Wizkid na davido wakati wa vurugu za polisi na wananchi huko NigeriaYeyote anayepigania haki kwa wanadamu hata kama ni mcheza mpira aungwe mkono.
Haki haipotei mkuu. Unachoweza kufanya ni kuichelewesha tu.Kuna wengi haki zao zimepotea.Tundu Lissu atabaki kilema daima, Ben Saanane, Azory Gwanda haijulikani kama watarudi, Akwilina uhai wake uliporwa na hautarudi
Maneno ya mkosaji hahahaHHahh.Kweli kabisa na 2025 asahau kabisa ata kuingia 3 bora ndani ya ccm yeye atakomea urais wa katiba tu.
Kwa hiyo wewe ukiulizwa unataka rais akufanyie nini?? Jibu lako itakuwa ni "aseme tumsifu yesu kristo"???Ndio maana unaskia eti nawasalimu kwa jina la muungano hiyo yote ni kukwepa kusema tumsifu yesu kristo manake hakuwahi hata kusema hivyo .
Acheni kujitoa ufahamu na kumtetea mwendazake, wabakaji wakina babu seya walikamatwa utawala upi na walitoka utawala upi?
Hawa wanaleta mapenzi tu yasiyo na hoja.Acheni kujitoa ufahamu na kumtetea mwendazake, wabakaji wakina babu seya walikamatwa utawala upi na walitoka utawala upi?
Hebu niache usinichoshe.Sijalewa.
Umeniuliza udini unaingiaje wakati tunajadili uwamsho kuachiwa nikakuliza unajua makosa waliyo shtakiwa nayo kama unajua basi ndio jibu kwanini udini unaingia hapa.
Dua la Kuku. Mother is there to stay.Kweli kabisa na 2025 asahau kabisa ata kuingia 3 bora ndani ya ccm yeye atakomea urais wa katiba tu.