Naunga mkono hoja, jamii ina changamoto nyingi sana zinazohitaji mafundisho ili kuzitatua kuliko, kung'ang'ana kufundisha chuki dhidi ya wengine.

Kwa uchache tu, sasa wana kazi ya kuwafundisha vijana kuacha, zinaa, wanaume kuwa waaminifu kwa wake zao na kutunza familia, jamii iepuke wizi, rushwa, madawa ya kulevya, ulevi, mauaji, uchawi n.k.

Pia wakiwahamasisha wanajamii kupendana na kusameheana lea kweli Mwenyezi Mungu atawarehemu na kuwapa barka nyingi katika maisha haya na ahera.

Bismillahir Rahmaanir Rahiim
 
Strong feelings!
 
Kuna miCCM itataka kupata ujiko kwenye hili, wakati vyama vya upinzani vilipigia kelele sana kushinikiza serikali itende haki
 
Hongera sana Shehe Ponda ni wewe pekee kati ya wachache tulikusikia ukipaza sauti kwa uwazi bila ya kutetereka tikea yule aliepelekewa akae nao hajaaiaga dunia. Bila ya kuwasahau mashehe wengine waliopo vizuizini kwenye mikoa mbalimbali na pale arusha ambapo uwazi wake upo kweupe kabisa.
 
Ni bora walikuwa mahubusu kwenye utawala wa mwisilamu mwezao ingekuwa utawala wa mkristo yaani hapo yangeongelewa mengi hata mdoa ya muungano ungetikiswa kwa kiasi kikubwa
 
Umenena vyema sana. Na Mungu akujaze hekima zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…